Kwa sasa kuna kila dalili Kamala Harris huenda atamshinda Trump kirahisi kabisa!

Wamarekani wanataka rais wnayeheshimu haki za watu na binadamu mfano ushoga, uhuru wa watu kuishi na kuhamia Marekani, uhuru wa kutoa mimba n.k. Yote haya Trump anayakataa.
Trump ndio Republican nominee wa kwanza kuleta ma-gay kwenye RnC mpaka wenye chama wakamshangaa 2016..jina lake anaitwa Peter Thiel. Rafiki yake Trump mkubwa ni lile transvertite Caitlin Jenner na anacheza naye golf mara kwa mara

Trump ni protectionists not an imperialist na hapo ndipo anapopigwa vita.

Vyama vya Marekani vinakuwa controlled na donors ambao ni ma-CEO wa makampuni makubwa. Wao ndio wanahamasisha uhamiaji in the disguise of free trade because Wanalipa wahamiaji ela ndogo uki-compare na wazawa..Jamaa hataki vita za kijinga ndio maana anapigwa vita,donors wa hivi ni watengeneza silaha za kivita..angalia Lloyd Austin alifanya kazi wapi kabla ya kuwa waziri wa Ulinzi..trade immigration,zimeharibu maisha ya wazawa na hapo ndipo kampeni yake ilipoanzia..haya mambo ya uchoko na utoaji mimba anaji-force kuyabeba ila hayaamini kwasababu anahitaji kura za evangelicals ndio kisa cha kumchagua Mike Pence mara ya kwanza
 
Tatizo jinsia ya 'KE' hawapendanagi na kuwaza kuinuana wao kwa wao.Duru ziliarifu Bi Hillary Clinton aliangushwa na Wanawake wenzie...ila walivyokuwa wana demuka na kujaa kwenye mikutano yake ya kampeni sasa!Kumbe wanamuzodoa rohoni:Kura waka mnyima.Ni kama Tanzania tu,Samia hatapata kura za Wanawake akigombea labda Viongozi wa UWT kama JOKATE na wenzake wa juu huko:Hata JF tu..Mfuatilieni- FAIZAFOX komenti zake pale anapo pandisha nyuzi Waziri DR.DOROTH GWAJIMA,anavyokuja kasi na kumpa makavu......!
 
ni wabaguzi tu wanaomuelewa, kura za maoni zinambeba Kamala. Trump atashindwa ni msela tu hana kaliba wala sifa za kuongoza nchi kubwa, mf kwenda Korea kaskazini na kupokewa na maafisa iliwakera sana raia wake
Kura za maoni zipi? Hizo za CNN?
Hivi kuna watu tangu mdanganywe na mauongo mliyolishwa kuhusu Trump bado mmekwama kwenye hilo tope? Uzuri kila anayetoka kwenye hilo tope hutoka kwa jitihada zake, hakuna wa kukukeamua ni juu yako
 
Umeongea vizur mkuu. Kamala, hawezi kumshinda mnyama Donald. Labda mtoa mada hapo juu, hajui vision na mission , na pia trend za dunia. Digital currency ndio Donald anatakiwa kuinua na sio huo ushoga.Na jana mnyama alikuwa, kwenye conference ya Bitcoin.
 
Nakumbuka Mtabiri Maarufu wa Bulgaria Baba Vanga ulimtabiria Trump but na kitakachotokea pia alikisema...!
 
Kamala atashinda Popular votes za Wananchi ila kimbuka tycoons wa USA wana chombo inaitwa Electoral college,hapo ndipo Trump atakapochukua nchi kama ilivyokuwa kwa Hillary Clinton!!
 
Wamarekani watafanya kosa jingine kumweka huyo mwanamke tena kosa kubwa sana ...mwanamke hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi hata akiwa na elimu kiasi gani maana tatizo kuu la mwanamke yoyote ni kukosa AKILI NA ROHO SHUPAVU YA UONGOZI
 
Wamarekani wanataka rais wnayeheshimu haki za watu na binadamu mfano ushoga, uhuru wa watu kuishi na kuhamia Marekani, uhuru wa kutoa mimba n.k. Yote haya Trump anayakataa.
Pamoja na hayo Trump atakuwa raisi wa marekani ila ataongoza kwenye mazingira magumu sanaaaa maana kwanza kuna next pandemic pili kuna global economic crisis vyote hivyo vitamkuta yeye akiwa raisi.
 
Huyo mjinga faizafoxy hampendi dr dorothy kwasababu ni mkristo...ashawahi kuandika humu kuwa samia ni muumini mwenzie
 
Mshikaji wake Roberts Roberts kiyosaki anashangilia tu mdaa mwamba anarudi ili waendelee kupiga ma dili.
 
Trump ndiye m'beba maono ya dunia kwa sasa . Trump ndiye rais ajaye wa marekani.
 
Mkuu pandemic ya nini tena? Korona inarudi?
Mkuu kuna next pandemic inakuja na hata Viongozi wakubwa wa dunia washasema na ndo maana if unafuatilia itakuwa ushasikia kitu inaitwa virus X yaan wanajaribu kuona je itakapokuja next pandemic mifumo yao imejiandaaje kukabiliana na hilo. Na kibaya ni kwamba hiyo next pandemic ni mbaya mnooo corona cha mdoli tu.
Mkuu kuna anguko kubwa mnooo la uchumi pia linakuja.
Najua kuna watu wataniona juha bin hamnazo ila yatakapotukia tutakumbushana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…