Kwa sasa kuna kila dalili Kamala Harris huenda atamshinda Trump kirahisi kabisa!

Kwa sasa kuna kila dalili Kamala Harris huenda atamshinda Trump kirahisi kabisa!

Kamala atashinda Popular votes za Wananchi ila kimbuka tycoons wa USA wana chombo inaitwa Electoral college,hapo ndipo Trump atakapochukua nchi kama ilivyokuwa kwa Hillary Clinton!!
Hillary Clinton alipoteza ushindi baada ya kupoteza jimbo la Florida (ambalo lina electoral college votes nyingi, nadhani 29) na Trump kushinda. Lakini mwaka 2020 pamoja na Trump kushinda tena jimbo la Florida lakini bado alipoteza urais kwa maana kuwa Biden alishinda urais bila kushinda Florida!

Kamala Harris anategemea kupambana mapema sana alichukue jimbo la Florida (Na hilli ndio lilonishtua na kuhisi huyu mama amepanga kuchukua nchi mapema sana!). Na style anayotumia ni kwenda mashinani huko Florida ambapo 30% ya wapiga kura wenye kuamua mshindi wapo. Harakati za Harris zimeanza leo huko Florida, na timu kampeni yake imejipanga kutumia siku 100 kuzisaka hizo kura. Mwitikio wa kuandikisha volunteers wa kufanya hizo shughuli unaelezwa kuwa mkubwa sana.

Let wait and see.
 
Kinyang'anyiro cha mbio za urais huko Marekani kimeshika kasi, na upepo wa kisiasa ukibadilika karibu kila wiki. Na sasa habari kubwa ni kuhusu Kamala Harris kuanza kuuvuta upepo wa kisiasa kuibeba Democrat.

Tangu mwanzoni Kamala Harris hakupewa nafasi yoyote ya kuwa mbadala wa Biden. Biden alipoanza kupoteza uungwaji mkono bado Kamala Harris hakupewa faida ya kuwa mbadala wa Biden na hata mara baada ya Biden kuhitimisha mbio zake na kutangaza kuachia ngazi huku akimpendekeza Kamala Harris kuwa mbadala wake bado watu wengi walikuwa na wasiwasi wa Kamala Harris kama ataweza kupambana na Trump na wengi wakisema wanasubiri kwanza kinyang'anyiro cha wagombea wa Democrat kifikie mwisho ili kujua nani ataweza kupitishwa!

Wiki moja tu baada ya Kamala Harris kutangaza kuingia kwenye kinyang'anyiro cha mbio za urais wa Marekani kwa tiketi ya Democrat tayari mawimbi ya bahari kwa upande wa Democrat yameanza kutulia na upepo umeanza kuvuma kwa kasi nzuri kumbeba mwanamama Kamala Harris. Hili halijatokea kwa bahati mbaya, lina sababu zake, na hapa tutalijadili.

Hizi ndio sababu za kwanini Kamala Harris huenda akamshinda Trump kirahisi tofauti na vile isivyotegemewa.

1. Wamerekani wengi bado wana imani kubwa na Democrat na mgombea yoyote kutoka Democrat wangeweza kumuunga mkono. Na huo ni mtaji mzuri wa Kamala Harris. Hali ni tofauti kwa Republican ambapo wanaamini bila Trump huenda republican isiambulie ushindi, hivyo yoyote mwenye nguvu, sifa na uwezo wa kukabiliana na Trump kwenye siasa za majukwaani basi automatically anawashinda Republican, na mwelekeo wa siasa za majukwaani kwa siku hizi chache unaonekana kuwa na neema kwa Kamala Harris.

2. Kamala Harris amepata bahati kubwa ya kuingizwa kwenye kinyang'anyiro kwa lazima na kupewa uungwaji mkono wa moja kwa moja na wademocrat wengi kabla ya kupitishwa kwenye misukosuko ya kuchuana na kuchafuana vilivyo na wagombea wengine wa Democrat katika kinyang'anyiro cha kuteuliwa. Inavyoonekana ni kama wademocrat wote wameamua wambebe Kamala Harris ili washinde. Siku zote umoja ni ushindi.

3. Wapiga kura wazuri na wenye kuamua mshindi wa kiti cha urais wa Marekani ni watu wenye msimamo wa wastani ambao wengi wao hawampendi Trump na walianza kupoteza imani kwa Biden kwa sababu ya matatizo ya uzee wake. Ujio wa Kamala Harris umewaamsha upya na kuwapa nguvu ya kwenda kupiga kura. Hii ndio habari njema kwa Democrat.

4. Wamerekani wengi huwa wanajivunia na kufurahia mnoo kuwa na Rais mwenye sifa, mwelekeo na mvuto katika ulimwengu wa kimataifa, wao huamini Rais wao ndio kioo cha kuwatambulisha wamerekani wote kidunia. Na katika hili wanataka kuthibitisha kwa kuwa na Rais wa kwanza mwanamke tena mwenye asili ya uafrika na uhindi ambaye ni Kamala Harris. Tofauti na hivyo itabidi wampe kura mtu mwenye sifa za utambulisho wa uhalifu na ubaguzi, yaani Trump.

5. Hoja zote za Republican zilizowapa positive political milleage dhidi ya Biden za Uzee, usahaurifu na udhoofu zimekufa kifo cha Mende. Kwa sasa inabidi Trump na Republican watengeneze agenda mpya za kutrend kwa kuwa katikati ya vita wamebadilishiwa adui ambaye yuko tofauti na adui wa mwanzo. Kwa sasa kibao kimebadilika, wamerekani wameanza kuhoji uzee, usafi wa kimaadili na utimamu wa Trump kama unastahili kukalia kiti cha urais wa Marekani.
Quote me after President Trump is sworn
 
Kinyang'anyiro cha mbio za urais huko Marekani kimeshika kasi, na upepo wa kisiasa ukibadilika karibu kila wiki. Na sasa habari kubwa ni kuhusu Kamala Harris kuanza kuuvuta upepo wa kisiasa kuibeba Democrat.

Tangu mwanzoni Kamala Harris hakupewa nafasi yoyote ya kuwa mbadala wa Biden. Biden alipoanza kupoteza uungwaji mkono bado Kamala Harris hakupewa faida ya kuwa mbadala wa Biden na hata mara baada ya Biden kuhitimisha mbio zake na kutangaza kuachia ngazi huku akimpendekeza Kamala Harris kuwa mbadala wake bado watu wengi walikuwa na wasiwasi wa Kamala Harris kama ataweza kupambana na Trump na wengi wakisema wanasubiri kwanza kinyang'anyiro cha wagombea wa Democrat kifikie mwisho ili kujua nani ataweza kupitishwa!

Wiki moja tu baada ya Kamala Harris kutangaza kuingia kwenye kinyang'anyiro cha mbio za urais wa Marekani kwa tiketi ya Democrat tayari mawimbi ya bahari kwa upande wa Democrat yameanza kutulia na upepo umeanza kuvuma kwa kasi nzuri kumbeba mwanamama Kamala Harris. Hili halijatokea kwa bahati mbaya, lina sababu zake, na hapa tutalijadili.

Hizi ndio sababu za kwanini Kamala Harris huenda akamshinda Trump kirahisi tofauti na vile isivyotegemewa.

1. Wamerekani wengi bado wana imani kubwa na Democrat na mgombea yoyote kutoka Democrat wangeweza kumuunga mkono. Na huo ni mtaji mzuri wa Kamala Harris. Hali ni tofauti kwa Republican ambapo wanaamini bila Trump huenda republican isiambulie ushindi, hivyo yoyote mwenye nguvu, sifa na uwezo wa kukabiliana na Trump kwenye siasa za majukwaani basi automatically anawashinda Republican, na mwelekeo wa siasa za majukwaani kwa siku hizi chache unaonekana kuwa na neema kwa Kamala Harris.

2. Kamala Harris amepata bahati kubwa ya kuingizwa kwenye kinyang'anyiro kwa lazima na kupewa uungwaji mkono wa moja kwa moja na wademocrat wengi kabla ya kupitishwa kwenye misukosuko ya kuchuana na kuchafuana vilivyo na wagombea wengine wa Democrat katika kinyang'anyiro cha kuteuliwa. Inavyoonekana ni kama wademocrat wote wameamua wambebe Kamala Harris ili washinde. Siku zote umoja ni ushindi.

3. Wapiga kura wazuri na wenye kuamua mshindi wa kiti cha urais wa Marekani ni watu wenye msimamo wa wastani ambao wengi wao hawampendi Trump na walianza kupoteza imani kwa Biden kwa sababu ya matatizo ya uzee wake. Ujio wa Kamala Harris umewaamsha upya na kuwapa nguvu ya kwenda kupiga kura. Hii ndio habari njema kwa Democrat.

4. Wamerekani wengi huwa wanajivunia na kufurahia mnoo kuwa na Rais mwenye sifa, mwelekeo na mvuto katika ulimwengu wa kimataifa, wao huamini Rais wao ndio kioo cha kuwatambulisha wamerekani wote kidunia. Na katika hili wanataka kuthibitisha kwa kuwa na Rais wa kwanza mwanamke tena mwenye asili ya uafrika na uhindi ambaye ni Kamala Harris. Tofauti na hivyo itabidi wampe kura mtu mwenye sifa za utambulisho wa uhalifu na ubaguzi, yaani Trump.

5. Hoja zote za Republican zilizowapa positive political milleage dhidi ya Biden za Uzee, usahaurifu na udhoofu zimekufa kifo cha Mende. Kwa sasa inabidi Trump na Republican watengeneze agenda mpya za kutrend kwa kuwa katikati ya vita wamebadilishiwa adui ambaye yuko tofauti na adui wa mwanzo. Kwa sasa kibao kimebadilika, wamerekani wameanza kuhoji uzee, usafi wa kimaadili na utimamu wa Trump kama unastahili kukalia kiti cha urais wa Marekani.
Wamarekani Bado hawaamini Katika Rais Mwanamke
 
Kumbuka tu, kwa sasa Trump ana miaka 78 (miaka mitatu tu pungufu ya umri wa Biden (miaka 81)), na ikitokea akafanikiwa kuwa mshindi maana yake muhula wake wa miaka minne utaisha akiwa na miaka 82, yaani mwaka mmoja zaidi ya umri wa Biden wa sasa wa miaka 81. Huwezi kumtenganisha Trump na uzee. Tangu Biden ajitoe, hoja ya uzee imegeuka kuwa mwiba dhidi ya Republican, hawataki tena kuizungumzia sana. Hii hoja ilianza tangu uchaguzi uliopita wakati Biden akiwa na miaka 77.
Story ya uzee inachochewa na mambo yake ya kukosea mambo, bado kwenye suala la uzee Trump anamuacha mbali Sana Biden
 
Kinyang'anyiro cha mbio za urais huko Marekani kimeshika kasi, na upepo wa kisiasa ukibadilika karibu kila wiki. Na sasa habari kubwa ni kuhusu Kamala Harris kuanza kuuvuta upepo wa kisiasa kuibeba Democrat.

Tangu mwanzoni Kamala Harris hakupewa nafasi yoyote ya kuwa mbadala wa Biden. Biden alipoanza kupoteza uungwaji mkono bado Kamala Harris hakupewa faida ya kuwa mbadala wa Biden na hata mara baada ya Biden kuhitimisha mbio zake na kutangaza kuachia ngazi huku akimpendekeza Kamala Harris kuwa mbadala wake bado watu wengi walikuwa na wasiwasi wa Kamala Harris kama ataweza kupambana na Trump na wengi wakisema wanasubiri kwanza kinyang'anyiro cha wagombea wa Democrat kifikie mwisho ili kujua nani ataweza kupitishwa!

Wiki moja tu baada ya Kamala Harris kutangaza kuingia kwenye kinyang'anyiro cha mbio za urais wa Marekani kwa tiketi ya Democrat tayari mawimbi ya bahari kwa upande wa Democrat yameanza kutulia na upepo umeanza kuvuma kwa kasi nzuri kumbeba mwanamama Kamala Harris. Hili halijatokea kwa bahati mbaya, lina sababu zake, na hapa tutalijadili.

Hizi ndio sababu za kwanini Kamala Harris huenda akamshinda Trump kirahisi tofauti na vile isivyotegemewa.

1. Wamerekani wengi bado wana imani kubwa na Democrat na mgombea yoyote kutoka Democrat wangeweza kumuunga mkono. Na huo ni mtaji mzuri wa Kamala Harris. Hali ni tofauti kwa Republican ambapo wanaamini bila Trump huenda republican isiambulie ushindi, hivyo yoyote mwenye nguvu, sifa na uwezo wa kukabiliana na Trump kwenye siasa za majukwaani basi automatically anawashinda Republican, na mwelekeo wa siasa za majukwaani kwa siku hizi chache unaonekana kuwa na neema kwa Kamala Harris.

2. Kamala Harris amepata bahati kubwa ya kuingizwa kwenye kinyang'anyiro kwa lazima na kupewa uungwaji mkono wa moja kwa moja na wademocrat wengi kabla ya kupitishwa kwenye misukosuko ya kuchuana na kuchafuana vilivyo na wagombea wengine wa Democrat katika kinyang'anyiro cha kuteuliwa. Inavyoonekana ni kama wademocrat wote wameamua wambebe Kamala Harris ili washinde. Siku zote umoja ni ushindi.

3. Wapiga kura wazuri na wenye kuamua mshindi wa kiti cha urais wa Marekani ni watu wenye msimamo wa wastani ambao wengi wao hawampendi Trump na walianza kupoteza imani kwa Biden kwa sababu ya matatizo ya uzee wake. Ujio wa Kamala Harris umewaamsha upya na kuwapa nguvu ya kwenda kupiga kura. Hii ndio habari njema kwa Democrat.

4. Wamerekani wengi huwa wanajivunia na kufurahia mnoo kuwa na Rais mwenye sifa, mwelekeo na mvuto katika ulimwengu wa kimataifa, wao huamini Rais wao ndio kioo cha kuwatambulisha wamerekani wote kidunia. Na katika hili wanataka kuthibitisha kwa kuwa na Rais wa kwanza mwanamke tena mwenye asili ya uafrika na uhindi ambaye ni Kamala Harris. Tofauti na hivyo itabidi wampe kura mtu mwenye sifa za utambulisho wa uhalifu na ubaguzi, yaani Trump.

5. Hoja zote za Republican zilizowapa positive political milleage dhidi ya Biden za Uzee, usahaurifu na udhoofu zimekufa kifo cha Mende. Kwa sasa inabidi Trump na Republican watengeneze agenda mpya za kutrend kwa kuwa katikati ya vita wamebadilishiwa adui ambaye yuko tofauti na adui wa mwanzo. Kwa sasa kibao kimebadilika, wamerekani wameanza kuhoji uzee, usafi wa kimaadili na utimamu wa Trump kama unastahili kukalia kiti cha urais wa Marekani.
Yaani mie nilishaamini Trump anaingia ikulu saa mbili asubuhi tena baada ya assassination attempt, ila mambo yamebasilika ghafla. Kamala anampeleka puta trump na PR wa Kamala wako very smart, wanacbeza na Gen Z na watu maarufu, sasa hivi ni kamala, kamala, kamala... .paka sasa kamala anashinda. Trump wamepoteana kabisa.. alafu kamala yuko VERY SMART ktk kuongea na kushawishi watu, ni kama Obama wa kike.... na ana kitu cha ziada, KUCHEKA.. KUCHEKA ni dawa....
 
Hata Trump anafanya makosa hayo hayo kama ya Biden ila ilikuwa kwa kiasi kidogo kuliko Bideni.

Hotuba yake ya kukubali kuwa mgombea ilijaa makosa yakiwemo kumuita makamu wa Rais Pence badała ya Harris.

Kwasasa camera zote zitaangazia uzee wake.
Pamoja na umri wake lakini Trump bado yuko vizuri sana kichwani. Haya uliyoorodhesha ni kujikwaa kunakoweza kufanywa na mtu yeyote hata mwenye umri mdogo. Ukitaka kujua Trump yuko vizuri basi lile jaribio la kutaka kuuawa lilianika kila kitu. Aliweza kufirikiri na ku-react kwa haraka na kwa namna ambayo inatakiwa. Japo marais huwa wanafundishwa wafanye nini linapotokea tukio kama lile, lakini kwa umri wake na kwa namna alivyofikiri kwa haraka, bado yuko vizuri kichwani.
 
Uwezekano wa kamala kupata kura nyingi kuliko mpinzani wake trump Unaweza ukafanikiwa endapo kama wahamiaji haramu wataruhusiwa kupiga kura, na sio vinginevyo.
 
Vikatuni vya utabiri vina nguvu gani ya kuamua nani awe rais wa USA?
Yaani watu waache kupiga kura kisa wanafuatilia vikatuni?

Mbona vikatuni vya Kipanya hapa Tz huwa vinatabiri fresh tu, mbona hatuvipi airtime?
Hujaelewa ninachozungumza soma tena vizuri utanielewa.
 
Kwa hiyo KAMALA atafanya USA ishinde kwenye vita na URUSI ?
Katka NCHI ha ksrael Kuna waisraeli takriban 6mil, sio kama katika nchi ya USA yenye waisraeli takriban 20mil, na wanao ushawishi wa kiuchum na kisiasa, hivyo rais wa USA akiwasaliti Hawa, nao watamsaliti pia katika kampeni zake. Pia tunafaham chama Cha democratic kimeshindwa kukwamua mchakato wa msaada wa USD 60Bil kwa Ukraine
Kwa hiyo KAMALA atafanya USA ishinde kwenye vita na URUSI ?

Kwa hiyo KAMALA atafanya USA ishinde kwenye vita na URUSI ?
Katika nchi ya Israeli Kuna waisraeli takriban 6mil, sio kama katika nchi ya USA yenye waisraeli takriban 20mil, na wanao ushawishi wa kiuchum na kisiasa hivyo rais wa USA akiwasaliti Hawa nao watamsaliti pia katika
Kwa hiyo KAMALA atafanya USA ishinde kwenye vita na URUSI ?

Kwa hiyo KAMALA atafanya USA ishinde kwenye vita na URUSI ?
Katika nchi ya Israeli Kuna waisraeli takriban 6mil, sio kama ilivyo Kwa nchi ya USA henye waisraeli takriban 20mil, na wanao ushawishi mkubwa kiuchumi na kisiasa na elimu kubwa kule USA, hivyo raisi wa USA akiwasaliti Hawa nao watamsaliti katika mbio zake za kampeni za Urais. Ipo wazi kuwa chama Cha democratic kimeshindwa kukwamua mchakato wa msaada wa takriban USD 60 za msaada wa kijeshi Kwa Ukraine katika binge la marekani.
 
Nani kasema Marekani haiwezi kuongozwa na Mwanamke?
Kama huku Afrika (ambapo mfumo dume umeota mizizi mirefu) kumekuwepo marais wanawake, nini kizuie USA isiwe na rais mwanamke?
Lini Marekani umewahi kuwa na raisi Mwanamke?.... Haijawahi na haitakuwa.....

Marekani imekuwa na raisi wa kwanza tangu 1777..... Mpaka leo hii 2024... Haijawawahi kuwa na raisi Mwanamke..... Na haitakuwa.....
 
Kinyang'anyiro cha mbio za urais huko Marekani kimeshika kasi, na upepo wa kisiasa ukibadilika karibu kila wiki. Na sasa habari kubwa ni kuhusu Kamala Harris kuanza kuuvuta upepo wa kisiasa kuibeba Democrat.

Tangu mwanzoni Kamala Harris hakupewa nafasi yoyote ya kuwa mbadala wa Biden. Biden alipoanza kupoteza uungwaji mkono bado Kamala Harris hakupewa faida ya kuwa mbadala wa Biden na hata mara baada ya Biden kuhitimisha mbio zake na kutangaza kuachia ngazi huku akimpendekeza Kamala Harris kuwa mbadala wake bado watu wengi walikuwa na wasiwasi wa Kamala Harris kama ataweza kupambana na Trump na wengi wakisema wanasubiri kwanza kinyang'anyiro cha wagombea wa Democrat kifikie mwisho ili kujua nani ataweza kupitishwa!

Wiki moja tu baada ya Kamala Harris kutangaza kuingia kwenye kinyang'anyiro cha mbio za urais wa Marekani kwa tiketi ya Democrat tayari mawimbi ya bahari kwa upande wa Democrat yameanza kutulia na upepo umeanza kuvuma kwa kasi nzuri kumbeba mwanamama Kamala Harris. Hili halijatokea kwa bahati mbaya, lina sababu zake, na hapa tutalijadili.

Hizi ndio sababu za kwanini Kamala Harris huenda akamshinda Trump kirahisi tofauti na vile isivyotegemewa.

1. Wamerekani wengi bado wana imani kubwa na Democrat na mgombea yoyote kutoka Democrat wangeweza kumuunga mkono. Na huo ni mtaji mzuri wa Kamala Harris. Hali ni tofauti kwa Republican ambapo wanaamini bila Trump huenda republican isiambulie ushindi, hivyo yoyote mwenye nguvu, sifa na uwezo wa kukabiliana na Trump kwenye siasa za majukwaani basi automatically anawashinda Republican, na mwelekeo wa siasa za majukwaani kwa siku hizi chache unaonekana kuwa na neema kwa Kamala Harris.

2. Kamala Harris amepata bahati kubwa ya kuingizwa kwenye kinyang'anyiro kwa lazima na kupewa uungwaji mkono wa moja kwa moja na wademocrat wengi kabla ya kupitishwa kwenye misukosuko ya kuchuana na kuchafuana vilivyo na wagombea wengine wa Democrat katika kinyang'anyiro cha kuteuliwa. Inavyoonekana ni kama wademocrat wote wameamua wambebe Kamala Harris ili washinde. Siku zote umoja ni ushindi.

3. Wapiga kura wazuri na wenye kuamua mshindi wa kiti cha urais wa Marekani ni watu wenye msimamo wa wastani ambao wengi wao hawampendi Trump na walianza kupoteza imani kwa Biden kwa sababu ya matatizo ya uzee wake. Ujio wa Kamala Harris umewaamsha upya na kuwapa nguvu ya kwenda kupiga kura. Hii ndio habari njema kwa Democrat.

4. Wamerekani wengi huwa wanajivunia na kufurahia mnoo kuwa na Rais mwenye sifa, mwelekeo na mvuto katika ulimwengu wa kimataifa, wao huamini Rais wao ndio kioo cha kuwatambulisha wamerekani wote kidunia. Na katika hili wanataka kuthibitisha kwa kuwa na Rais wa kwanza mwanamke tena mwenye asili ya uafrika na uhindi ambaye ni Kamala Harris. Tofauti na hivyo itabidi wampe kura mtu mwenye sifa za utambulisho wa uhalifu na ubaguzi, yaani Trump.

5. Hoja zote za Republican zilizowapa positive political milleage dhidi ya Biden za Uzee, usahaurifu na udhoofu zimekufa kifo cha Mende. Kwa sasa inabidi Trump na Republican watengeneze agenda mpya za kutrend kwa kuwa katikati ya vita wamebadilishiwa adui ambaye yuko tofauti na adui wa mwanzo. Kwa sasa kibao kimebadilika, wamerekani wameanza kuhoji uzee, usafi wa kimaadili na utimamu wa Trump kama unastahili kukalia kiti cha urais wa Marekani.
Kwanza lile zee nani analitaka? Likalee wajukuuu tuu 🤣🤣
 
Kinyang'anyiro cha mbio za urais huko Marekani kimeshika kasi, na upepo wa kisiasa ukibadilika karibu kila wiki. Na sasa habari kubwa ni kuhusu Kamala Harris kuanza kuuvuta upepo wa kisiasa kuibeba Democrat.

Tangu mwanzoni Kamala Harris hakupewa nafasi yoyote ya kuwa mbadala wa Biden. Biden alipoanza kupoteza uungwaji mkono bado Kamala Harris hakupewa faida ya kuwa mbadala wa Biden na hata mara baada ya Biden kuhitimisha mbio zake na kutangaza kuachia ngazi huku akimpendekeza Kamala Harris kuwa mbadala wake bado watu wengi walikuwa na wasiwasi wa Kamala Harris kama ataweza kupambana na Trump na wengi wakisema wanasubiri kwanza kinyang'anyiro cha wagombea wa Democrat kifikie mwisho ili kujua nani ataweza kupitishwa!

Wiki moja tu baada ya Kamala Harris kutangaza kuingia kwenye kinyang'anyiro cha mbio za urais wa Marekani kwa tiketi ya Democrat tayari mawimbi ya bahari kwa upande wa Democrat yameanza kutulia na upepo umeanza kuvuma kwa kasi nzuri kumbeba mwanamama Kamala Harris. Hili halijatokea kwa bahati mbaya, lina sababu zake, na hapa tutalijadili.

Hizi ndio sababu za kwanini Kamala Harris huenda akamshinda Trump kirahisi tofauti na vile isivyotegemewa.

1. Wamerekani wengi bado wana imani kubwa na Democrat na mgombea yoyote kutoka Democrat wangeweza kumuunga mkono. Na huo ni mtaji mzuri wa Kamala Harris. Hali ni tofauti kwa Republican ambapo wanaamini bila Trump huenda republican isiambulie ushindi, hivyo yoyote mwenye nguvu, sifa na uwezo wa kukabiliana na Trump kwenye siasa za majukwaani basi automatically anawashinda Republican, na mwelekeo wa siasa za majukwaani kwa siku hizi chache unaonekana kuwa na neema kwa Kamala Harris.

2. Kamala Harris amepata bahati kubwa ya kuingizwa kwenye kinyang'anyiro kwa lazima na kupewa uungwaji mkono wa moja kwa moja na wademocrat wengi kabla ya kupitishwa kwenye misukosuko ya kuchuana na kuchafuana vilivyo na wagombea wengine wa Democrat katika kinyang'anyiro cha kuteuliwa. Inavyoonekana ni kama wademocrat wote wameamua wambebe Kamala Harris ili washinde. Siku zote umoja ni ushindi.

3. Wapiga kura wazuri na wenye kuamua mshindi wa kiti cha urais wa Marekani ni watu wenye msimamo wa wastani ambao wengi wao hawampendi Trump na walianza kupoteza imani kwa Biden kwa sababu ya matatizo ya uzee wake. Ujio wa Kamala Harris umewaamsha upya na kuwapa nguvu ya kwenda kupiga kura. Hii ndio habari njema kwa Democrat.

4. Wamerekani wengi huwa wanajivunia na kufurahia mnoo kuwa na Rais mwenye sifa, mwelekeo na mvuto katika ulimwengu wa kimataifa, wao huamini Rais wao ndio kioo cha kuwatambulisha wamerekani wote kidunia. Na katika hili wanataka kuthibitisha kwa kuwa na Rais wa kwanza mwanamke tena mwenye asili ya uafrika na uhindi ambaye ni Kamala Harris. Tofauti na hivyo itabidi wampe kura mtu mwenye sifa za utambulisho wa uhalifu na ubaguzi, yaani Trump.

5. Hoja zote za Republican zilizowapa positive political milleage dhidi ya Biden za Uzee, usahaurifu na udhoofu zimekufa kifo cha Mende. Kwa sasa inabidi Trump na Republican watengeneze agenda mpya za kutrend kwa kuwa katikati ya vita wamebadilishiwa adui ambaye yuko tofauti na adui wa mwanzo. Kwa sasa kibao kimebadilika, wamerekani wameanza kuhoji uzee, usafi wa kimaadili na utimamu wa Trump kama unastahili kukalia kiti cha urais wa Marekani.
Trump must go Kuna uwezekano Pete Buttigueg akawa Mgombea Mwenza wa Harris Kamala
 
Biden hakupingwa kwa sababu ni mzee ila alipingwa kwa sababu ya kutokujitambua na uwezo mdogo wa akili...

Kumtambua Rais wa Ukraine zelensky kama Vladmir Putin
Kuanguka anguka ovyo
Kumuita makamu wake kamala harris "Vice president trump
Kushindwa kushuka jukwaani na kushikwa mkono..
Kushika mkono hewa...
Vyote hivyo ni sababu za uzee ambazo zitamkabili Trump 😆😆
 
Tatizo jinsia ya 'KE' hawapendanagi na kuwaza kuinuana wao kwa wao.Duru ziliarifu Bi Hillary Clinton aliangushwa na Wanawake wenzie...ila walivyokuwa wana demuka na kujaa kwenye mikutano yake ya kampeni sasa!Kumbe wanamuzodoa rohoni:Kura waka mnyima.Ni kama Tanzania tu,Samia hatapata kura za Wanawake akigombea labda Viongozi wa UWT kama JOKATE na wenzake wa juu huko:Hata JF tu..Mfuatilieni- FAIZAFOX komenti zake pale anapo pandisha nyuzi Waziri DR.DOROTH GWAJIMA,anavyokuja kasi na kumpa makavu......!
Changamoto kubwa Huwa ni wanawake yaani akili zao hapo zinawaza kwamba ni kumfaidisha mwanamke mwenzao 😆😆😆😆

Wangeamua kumsapoti mwenzio anashinda mapema saa 2 ila Sasa wengi watampigia Trump na Kamala atategemea kura za wanaume zaidi na wanawake wachache wanaojitambua.
 
Back
Top Bottom