Kwa sasa kuna kila dalili Kamala Harris huenda atamshinda Trump kirahisi kabisa!

Yuko vizuri kichwani kumshinda nani Sasa? Anamzidi Akili Kamala aliyewahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa USA?
 
🤣🤣🤣 we bhn fuatilia siasa zako za bongo.. marekani waachine wenyewe..

Mdahalo mmoja tuu ushatoa mshindi 🤣🤣 hirrary alishinda midahalo yote ila ikulu aliiona kwny picha tuu
 
Muwage na akiba ya maneno,
Leo hii upepo umerud tena kwa trump kwan duru zote za makisio ya uungwaji mkono na kura za kimtandao zinamuweka juu trump dhidi ya harris…

Pili : Usidhani marekani ni Tz, hawana imani kihivyo na jinsia ya kike eti awe kiongozi wa nchi. Rejea uchaguzi wa 2016 highest politician profile ya hillary haikumsaidia kumuangusha huyo unaemuita muhuni na mhalifu…

Hizo n chuku na baguzi za mtu mweusi kumuunga mkono mwny asili yake, eti alipitia misukosuko ya kura za maoni…

Usichokijua n kwamba harris alipita bila kupingwa kwan hakuna aliejitokeza kuchuana nae kwny kinyanganyilo cha kupeperusha bendera ya democratic..

Broo sukuma ndani beyonce, T - swift, cjui adele, niki minaji na bikini nyingine unazo zijua wewe,,, bt Trump atawala kisamvu cha kopo mapema sn…

Cz America need strong leader to make them stay stronger and harris cant fit the position
 
Rais WA USA huchaguliwa na majombo 6 yenye nguvu ya electorate college votes zinazotokana na popular vote na replican hushinda Mara Kwa Mara hayo majimbo.....trump atashindaa
Mwambie huyo mlima mwani…..
Maana anaendeshwa n hisia n sio uhalisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…