- Thread starter
- #41
huu ni ushauri hewa ulobase kwenye imagination na si uhalisia.Kwa ulivyoandika tu ,naweza kadiria umri wako ni 50's kelekea 60 hapo kwanza testosterone imeshuka kwa kiwango kikubwa mno ushauri wangu tulia na bi mkubwa hapo home
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu ni ushauri hewa ulobase kwenye imagination na si uhalisia.Kwa ulivyoandika tu ,naweza kadiria umri wako ni 50's kelekea 60 hapo kwanza testosterone imeshuka kwa kiwango kikubwa mno ushauri wangu tulia na bi mkubwa hapo home
mkuu hata utafiti ni maneno, bora hata ungenambia sijafuata procedure hadi nikapata hitimisho, pia mimi sijafanya utafiti wa kitaaluma ambao unahitaji process yakufuata procedure, mi nimefanya local research na nikaamua kushare hapa kama mtizamo
Kwa vile tu umekua ndio maana hata zamani haya Mambo yalikuwa yanafanyika kisirisiri na vile umegrow basi upatikanaiji Ni mrahisi, Sasa unakutana na wadangaji wanaotaka hela kwanini asikupanuliemkuu huu ni mtizamo wako japo hauakisi uhalisia, yaani siku za nyuma ke unampeleka gheto bt kuja kula mzigo inakua shughuli bt saivi mkifika tu anachanua shughuli inaendelea, mi kwa jicho langu naona kabisa kuna mvuto umepungua.
[emoji23][emoji23][emoji23]nilimwambia mleta mada kakua ndio maana anaona hyo Hali nakuona hamna jipyaKwa ulivyoandika tu ,naweza kadiria umri wako ni 50's kelekea 60 hapo kwanza testosterone imeshuka kwa kiwango kikubwa mno ushauri wangu tulia na bi mkubwa hapo home
kwa maneno haya basi wanawake wote wa zama hizi ni wadangaji maana hawana usumbufu tena kutoa tunda.Kwa vile tu umekua ndio maana hata zamani haya Mambo yalikuwa yanafanyika kisirisiri na vile umegrow basi upatikanaiji Ni mrahisi, Sasa unakutana na wadangaji wanaotaka hela kwanini asikupanulie
Kutoa uchi upate starehe sio udandagaji. Pia huwezi linganisha ulimbukeni wa ngono wakati una balehe na Sasa jinsi inavokuwa unazoea Hilo tendo banakwa maneno haya basi wanawake wote wa zama hizi ni wadangaji maana hawana usumbufu tena kutoa tunda.
kwa hiyo kulizoea tendo ndo kunasababisha likose mvuto?Kutoa uchi upate starehe sio udandagaji. Pia huwezi linganisha ulimbukeni wa ngono wakati una balehe na Sasa jinsi inavokuwa unazoea Hilo tendo bana
Ndio mkuu, hata vitu zamani ukiwa mtoto ulivokuwa unavitazama na ulivokuwa mtu mzima mtazamo ulichange sanakwa hiyo kulizoea tendo ndo kunasababisha likose mvuto?
right mkuuMchawi tekinolojia...
haya bhanaNdio mkuu, hata vitu zamani ukiwa mtoto ulivokuwa unavitazama na ulivokuwa mtu mzima mtazamo ulichange sana
Na kweli zamani watu walikua wanapigwa mieleka visimani na vichakaniKwa vile tu umekua ndio maana hata zamani haya Mambo yalikuwa yanafanyika kisirisiri na vile umegrow basi upatikanaiji Ni mrahisi, Sasa unakutana na wadangaji wanaotaka hela kwanini asikupanulie
Ni kweli sema Mambo yakifanyika kisiri na hakukuwa na mitandao ka Sasa hiviNa kweli zamani watu walikua wanapigwa mieleka visimani na vichakani
True story.,mada ifungwe😅Mkuu wewe ndo umebadilika...kwa vijana wa sasa hali ni ile ile ambayo wewe ulikuwa nayo enzi hizo.
Kadri unavyo kuwa mkubwa inakuwa rahisi kupata mwanamke wa kutoka naye. Lwa sababu mbalimbali kama kipato kuongezeka, uhuru kuongezeka lakini vile vile wigo kuongezeka. Unapo kuwa kijana mdogo mara nyingi unawinda wasichana wa rika lako au wadogo kidogo ambao ni upatikanaji wake ni shida. Lakini pia una vizia vi geto vya washkaji. Huwezi kutokea watu wazima maana watakwambia wewe mtoto una laana.
Lakini kadri umri unavyoongezeka unakuwa na wigo woote wa rika lako na chini...lakini pia kuna umri ukifika unakuwa na leseni ya kuendesha mzigo wowote.
mkuu ya vichakani inanoga kweli?Na kweli zamani watu walikua wanapigwa mieleka visimani na vichakani