Kwa sasa sioni Mtu Mwenye Nguvu na Bold Man kama Hayati Membe kuelekea 2025

Kwa sasa sioni Mtu Mwenye Nguvu na Bold Man kama Hayati Membe kuelekea 2025

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Katiba ya Chama iko wazi. Inapofika wakati wa uchaguzi mkuu wa Urais Madiwani na Wabunge basi ndani ya chama kila mwenye sifa anaruhusiwa kuchukua form na kugombea.

Endapo kama ana viwango na sifa takiwa basi Kamati Kuu ya CCM inaweza kumpitisha kama Mgombea wao. Achana na zile stori za Utamaduni mila na desturi kwamba aliyeko madarakani lazima aendelee.That is not documented anywhere. It lacks legibility.

Mwaka 2020 alitokea Kiongozi Shupavu, mwanachama mwenye weledi na anayejiamini Kamilius Benard Membe aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje ya Nchi.

Mtu yule alizua kashi kashi ya kutosha dhidi ya aliyekuwa Rais Wakati huo Hayati Dr John Pombe Magufuli.

Nimetafakali sana visa vile nika reflect 2025, je tunaye Mtu bold anayejiamini Kama Benard Membe tunapoelekea 2025?

Mimi nimetazama ndani ya ccm ya sasa simuoni hata mmoja.
 
Umetizama lakini hujaona, tizama Kwa makini,

Wapo wengi,

Gwajima ni the best of all!!
 
Who is Membe by the way?

Hii tamaduni iliyozuka ya kufufua misukule na mizuka mixer Mizimu ,inatoka wapi sijui!!
Membe was Strong, he was the second choice after Lowasa Mwaka 2015.

So you can think how Bold and influencial he was.

Achana na hawa waliobebwa tu na upepo wa 2020.
 
Membe was Strong, he was the second choice after Lowasa Mwaka 2015.

So you can think how Bold and influencial he was.

Achana na hawa waliobebwa tu na upepo wa 2020.
Kheri mbwa aliye hai kuliko Simba mfu, mzoga.

Tanzania yenye watu zaidi ya 60 ml tunao Bado watu bold zaidi ya huyo aliyenadi Nchi kupokea pesa za OAC Kutoka Kwenye fuko la Islam bila kujali masharti na Roho behind pesa hizo.

Gwajima ndiye mtu sahihi Kwa sasa.
 
Kheri mbwa aliye hai kuliko Simba mfu, mzoga.

Tanzania yenye watu zaidi ya 60 ml tunao Bado watu bold zaidi ya huyo aliyenadi Nchi kupokea pesa za OAC Kutoka Kwenye fuko la Islam bila kujali masharti na Roho behind pesa hizo.

Gwajima ndiye mtu sahihi Kwa sasa.
We ndio tule Nabii Jacob?

Hahaha
 
Back
Top Bottom