ASIWAJU
JF-Expert Member
- Nov 18, 2022
- 1,938
- 1,632
Habari za saa members wote, leo kwa uchache ningependa kulizungumzia taifa kwa namna linavyo endeshwa.
Mpaka sasa ndani ya taifa letu la Tanzania taaluma nzima ya uongozi imepotea kabisa na siasa za kizandiki zimetamalaki kila pande.
Taifa hili limeshindwa kupata uongozi/viongozi kwa muda sasa toka awamu zilizo pita mpaka hii ya sasa, siasa na kundi kubwa la wanasiasa limetawala kwa kiasi kikubwa hapa nchini.
Ni ngumu kwa wanasiasa kuongoza nchi katika muelekeo ulio bora, kwao chaguzi na marumbano ya majukwaani ndivyo vitu wanaweza na sio swala uongozi wa nchi.
Hii hali ya mataifa kutawaliwa na wanasiasa kwa asilimia kubwa pia yana wakumba mataifa mengi sana hapa Africa na kwa kasi sasa Ulaya na marekani pia.
Mfano wa nchi pekee kwa ninayo ifahamu kwa haraka iliyo na uongozi/viongozi na sio wanasiasa ni China.
Mfumo wa China wa upatikanaji wa Uongozi/uongozi ndicho kitu pekee kinacho wabeba mpaka wao kushindwa kuzama kwenye huu mtego wa siasa na kundi kubwa la wanasiasa.
CASE STUDY:
1. Siasa
2. Wanasiasa
3. Uongozi
4. Viongozi
Napokea maoni yenu nyote
Mpaka sasa ndani ya taifa letu la Tanzania taaluma nzima ya uongozi imepotea kabisa na siasa za kizandiki zimetamalaki kila pande.
Taifa hili limeshindwa kupata uongozi/viongozi kwa muda sasa toka awamu zilizo pita mpaka hii ya sasa, siasa na kundi kubwa la wanasiasa limetawala kwa kiasi kikubwa hapa nchini.
Ni ngumu kwa wanasiasa kuongoza nchi katika muelekeo ulio bora, kwao chaguzi na marumbano ya majukwaani ndivyo vitu wanaweza na sio swala uongozi wa nchi.
Hii hali ya mataifa kutawaliwa na wanasiasa kwa asilimia kubwa pia yana wakumba mataifa mengi sana hapa Africa na kwa kasi sasa Ulaya na marekani pia.
Mfano wa nchi pekee kwa ninayo ifahamu kwa haraka iliyo na uongozi/viongozi na sio wanasiasa ni China.
Mfumo wa China wa upatikanaji wa Uongozi/uongozi ndicho kitu pekee kinacho wabeba mpaka wao kushindwa kuzama kwenye huu mtego wa siasa na kundi kubwa la wanasiasa.
CASE STUDY:
1. Siasa
2. Wanasiasa
3. Uongozi
4. Viongozi
Napokea maoni yenu nyote