Uchaguzi 2020 Kwa Siasa za Rais Magufuli mtu kama Lissu ndio anafaa kupambana naye. Lissu hana cha kupoteza tena hivyo hana hofu ya kumkabili jino kwa jino

May the Best competitor Win ............hamna habari za kuoneana huruma
 
sikuizi vijana wengi wapuuzi wapo CCM kusaka nyazifa
 
Mnahotaji taasisi imara na yenye kufuata sheria, ni chama gani Cha upinzani Hapa Tanzania ambayo ni taasisi imara, Huwezi kutegemea taasisi imara kwenye vyama ambavyo siyo taasisi imara
 
Magufuli hata kaa akanyage Ulaya na USA..sababu ukifika tu ukimalizana na Rais mwenyeji ni LAZIMA kuna press lazima uzi face utake usitake..

Sasa hayo maswali yanaweza mpeleka mtu mochware.
Umeongea ukweli mtupu, akikanyaga kule lazima abanwe na maswali. Na ndugu paschal Mayala anafahamu vizuri uwezo wa ndugu yetu vizuri ktk hiyo nyanja.
 
Mnahotaji taasisi imara na yenye kufuata sheria, ni chama gani Cha upinzani Hapa Tanzania ambayo ni taasisi imara, Huwezi kutegemea taasisi imara kwenye vyama ambavyo siyo taasisi imara
Umeandika tu ilimradi uonekane umeandika au? Kwa hiyo chama kama sio imara basi nchi haitakiwi kuwa na taasisi imara? Mambo mengine kama ni mazito kwa ubongo wako kuyaelewa ni bora kukaa kimya.
 
Mmeanza kubwaga manyanga[emoji28][emoji28]
Huo unafiki wa vyama vya upinzani mtaacha lini, uchaguzi ukipita mnaanza kufukuzana uchaguzi ukikaribia mnahaha kuungana, Huo ni unafiki wa level ya PhD
 
Umeandika tu ilimradi uonekane umeandika au? Kwa hiyo chama kama sio imara basi nchi haitakiwi kuwa na taasisi imara? Mambo mengine kama ni mazito kwa ubongo wako kuyaelewa ni bora kukaa kimya.
Kwahiyo tutegeme kuvuna maembe kwenye mchungwa. Toa boriti kwenye jicho lako kwanza
 
Kwahiyo tutegeme kuvuna maembe kwenye mchungwa. Toa boriti kwenye jicho lako kwanza
Wewe jamaa nakupuuza rasmi. Inaonekana unajua kusoma, kuandika na kuhesabu tu. Unachokiandika kinaakisi uelewa wako. Kujibishana na wewe ni sawa na kuongea na mtoto wa miaka 3.
 
Hii ni akili kubwa sana,hongera dada yangu,umeniongezea kitu asubuhi hii.
 
Wakufanya hivi?!
 
Kwa ulichokiandika unamaanisha kuwa Tundu Lissu anauwezo wa kupambana na JPM kwenye ukumbi wa ngumi au wa siasa.
Tuache utani JPM kwanza afanye siasa vipi wakati tayari yeye pekee ni political brand na siasa zake ni nimefanya A,B,C na naenda kumalizia D,E,F,G, n.k kwasababu tayari Mazingira ya kukamilisha niliyoyaahidi tayari nimeyatengeneza Mfano
1. Watumishi hewa Kwisha habari yake.
2. Vyeti Feki kwisha habari yake.
3. Siasa za uongo na ulaghai kwisha habari yake.
4. Watumishi kudharau Wananchi kwisha habari yake.
5. Mihimili kuheshikiana imeimarika.
6. Uharifu umepungua
7. Uropokaji na upotoshaji kwa kisingizio cha haki kwisha habari yake, ukipotosha lazima uthibitishe kwa mujibu wa sheria.
8. Wizi wa Madini na Maliasili ikiwemo Ardhi zilipendwa n.k.
Njoo kwa Tundu Lissu
Hoja 1. Nilipigwa Risasi na Watu wasiojulikana. ( Anasahau kama alipigwa na wanaojiita Kamati ya uhamasishaji/Redbrigade wanaolinda nafasi ya Mwenyekiti).
Hoja 2. Nitavunja Muungano kwa Maslahi ya Wazanzibar ( Anasahau zaidi ya anaowaita Wazanzibar wote tumekuwa koo moja na tunafamilia kubwa kwasababu sote ni Watanzania).
Hoja 3. Nitapandisha Mishahara: Wakati Watumishi wanapata nyongeza ya mshahara ambayo ni Siri ya Mtumishi ili kulinda uwezo wa kununua bidhaa mshara wa Mtumishi (Purchasing power).
Hoja 4. Kuminya Demokrasia: Wakati hata Mwenyewe kutwa anafanya siasa na anataka kuingia kwenye kinyang'anyiro cha Urais, Ubunge na Udiwani. Hoja yake ni ya kulialia wakati ni uongo.
Hoja 5. Uminywaji wa haki ya habari: Wakati hata yeye hiyo habari anaifikisha kutwa kwa Wananchi kutumia Vyombo vya habari.
Kwa ujumla hoja za kulaumu na kulialia , Atasahau kama Mbowe alibadili katiba na kuwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema, Mwenyekiti ameshawishi waliokuwa wanampinga wafukuzwe uanachama na kuwaita wasaliti, Ili uwe Mbunge Chadema lazima ukubali kukatwa mshahara na posho na Mwenyekiti n.k.
Matumizi ya Ruzuku ya Chadema haieleweki.
Mwenyekiti kila siku eti amekikuposha Chama. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ duuuuuu lazima Mtu ajikojoleeeee na kutonesha kidonda alichoshughulikiwa na kikosi Maalum cha Mbw.
 
Wapinzani mnapoteza muda tu. Magufuli ni mshnd tayari
 
Kwahiyo hoja ni kupambana na Magufuli na siyo Kuweza kutatua changamoto za wananchi
Million 50 kila KIJIJI Ahadi haijatimia hadi sasa


Ajira hakuna ukilinganisha na IDADI ya WAHITIMU kila mwaka



BUNGE halipo LIVE mwaka wa 5 sasa hatuna UELEWA wa KUTOSHA kuhusu MIRADI WANAYOISIFIA kila KUKICHA



TUWE SERIOUSLY Tz NI YETU SOTE
 


Jr[emoji769]
 
wanaweka jiwe tunaweka chuma aiseeeee tutaelewana tu.....Naskia lumumba hapakaliki now days
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…