Kwa sifa hizi, hata ingekuwa wewe….

Kwa sifa hizi, hata ingekuwa wewe….

Unalipa watu ili wakusifie kama ulitaka kuwa m-congoman si ungesema
 
IMG_20240823_101910.jpg
 
Hata ingekuwa ni wewe, uwezekano wa kuanza kujiona wewe ni mungu, ni mkubwa sana.

Unaweza hata kujiona huna kasoro yoyote ile.

Unaweza ukajiona wewe si binadamu wa kawaida:-….yaani wewe damu yako ni tofauti kabisa na damu za watu wengine. Labda una damu ya rangi ya njano.

Unaweza ukajiona wewe moyo wako umeumbwa tofauti kabisa na mioyo ya watu wengine.

Unaweza ukajiona wewe huna mishipa ya damu iliyotapakaa mwili mzima.

Unaweza ukajiona unao uwezo wa kutenganisha bahari zote zilizopo duaniani.

Unaweza ukajiona wewe mwili wako hauzalishi bakteria kama ilivyo miili yetu sisi wengine.

Unaweza ukajiona wewe unaweza tembea hewani. Yaani kanuni za nguvu za mvutano wewe hazikuhusu kabisa.

Kwa sifa hizo, hata wakitokea wapumbavu wanaotaka uwe Rais wa maisha, hutoweza kuwakemea. Utawafurahia tu.

Urais wa Tanzania ni wa kipekee sana. Labda unaweza tu kufananishwa na urais wa kule Korea ya Kaskazini.


View: https://youtu.be/1-9OC-HXD0M?si=x37ss3tYzZhP5jQU

Evolution ya mwafrika haijakamilika!! Pamoja na sifa zote hizi bado haridhiki na hukarahishwa na critics za watu wachache kuliko wanaompa sifa!!
 
Na tatizo kubwa ni kwa anaesifiwa yani anajisahau anajiona km malaika wa zamu, JPM alikuwa poa ila ndo aliyeleta hili kasheshe, kiasi kwamba kufa kwake ilikuwa km muujiza usiowezekanika, lakini maza hajifunzi ndo kwanza kamzidi hadi mwalimu wake,
 
Hiyo ndio Siasa mkuu na hayo ndio mambo yao.

Si unaona wenyewe wanavyofurahia??
 
Njaa na uchawa umetufikisha hapa.
Hawa wasanii ndio kundi la hovyo kuwahi kutokea.!
 
Hata ingekuwa ni wewe, uwezekano wa kuanza kujiona wewe ni mungu, ni mkubwa sana.

Unaweza hata kujiona huna kasoro yoyote ile.

Unaweza ukajiona wewe si binadamu wa kawaida:-….yaani wewe damu yako ni tofauti kabisa na damu za watu wengine. Labda una damu ya rangi ya njano.

Unaweza ukajiona wewe moyo wako umeumbwa tofauti kabisa na mioyo ya watu wengine.

Unaweza ukajiona wewe huna mishipa ya damu iliyotapakaa mwili mzima.

Unaweza ukajiona unao uwezo wa kutenganisha bahari zote zilizopo duaniani.

Unaweza ukajiona wewe mwili wako hauzalishi bakteria kama ilivyo miili yetu sisi wengine.

Unaweza ukajiona wewe unaweza tembea hewani. Yaani kanuni za nguvu za mvutano wewe hazikuhusu kabisa.

Kwa sifa hizo, hata wakitokea wapumbavu wanaotaka uwe Rais wa maisha, hutoweza kuwakemea. Utawafurahia tu.

Urais wa Tanzania ni wa kipekee sana. Labda unaweza tu kufananishwa na urais wa kule Korea ya Kaskazini.


View: https://youtu.be/1-9OC-HXD0M?si=x37ss3tYzZhP5jQU

Hiyo ndo sifa kubwa ya chawa
 
Back
Top Bottom