Namuona Putin akikosa kabisa shabaha kabisa ya vita hivi,sio kama anapenda ila tu imeandikwa US na mshirika wake mkubwa UK ndio serikali kuu ulimwengu kwa sasa.
Hakuna mnyama mwingine atakaetokeza na kuwazidi nguvu.
Kwenye biblia ule mchanganyiko wa
chuma na udongo wa mfinyanzi ni serikali dhaifu za kidemokrasia ambazo wapiga debe wake ni UK na USA.
Wanaotarajia kuwa Urusi kuwa itashinda kama @yerikonyerere watatoka na aibu. Urusi itashindwa na baadaye itakuwa kama mbwa koko tu ila hawezi kushinda serikali za magharibi.
Naomba nikupongeze kwa kuamini unabii
Pia naomba nikusahihishe vidole vya miguuni kuwa nusu udongo na nusu chuma ni mataifa 7 ya ulaya yaliyojikomboa kutoka dora ya kirumi, nusu udongo nusu chuma maana yake udongo na chuma haviwezi kuungana na kuwa kitu kimoja.
Ina maanisha mataifa ya ulaya hayatakuja kuungana na kuwa falme moja au mamlaka moja yenue nguvu duniani, uk, ufaransa, uteno, sapain, german, italy,, haya ni mfano tu. Ikumbukwe mataifa matatu yalimezwa kabisaa hadi leo hayapo.
UFUNUO 13:11-18 inaelezea unabii wa mnyama wa mwisho mwenye nguvu ambaye hatashushwa hadi Yesu atakaporudi, huyu anasaidiana na mnyama wa kwanza kwenye UFUNUO 11:1-10
LENGO NI NINI
USA ndiye atakayeeneza itikadi za serikali moja, ONE WORLD ODER, then siku moja ya kuabudu kwa kisingizio uchumi umeyumba hivyo siku zote sita tufanye kazi ila siku moja wote duniani tunatuhusiwa kuabudu, utaabudu usichokizoea, vitabu vyote vya Mungu vitabadirishwa na kuwepo kwa mafundisho mengine.
USA ndie atakauetia pumzi/nguvu yule mnyama wa kwanza kukamilisha unabii, LAKINI NYUMA YAO HAO WOTE ANAYEWAONGOZA NI JOKA/SHETANI UFUNUO 16:14
ATAFANIKIWAJE
UFUNUO 13:11-18 inaonyesha kuwa atakuwa mwenye nguvu na kuwatetemesha mataifa yote duniani, ataleta machafuko kwa kila nchi yenye upinzani kisha anajifanya kuja kusaidia kuleta sutuhishi akifanikiwa anapata uhalali wa kukutawala.
VITA YA URUSI NA UKRAINE ni moja ya njia ya kumzoofisha MRUSI ili yeye aendelee kuwa big power country, njia moja wapo ni kuchochea vita na nchi nyingine au ndani ya nchi yenyewe kwa kueneza propaganda.
USA anawapampu MAPRO WAKE UE na wengine na wanatii (HAPA KUNA JAMBO LA KUJIFUNZA) urusi hadi sasa uchumi wake umeyumba kwa kiasi kwa sababu ya vita ya muda mrefu, akidhoofu kabisaa ndipo USA huingilia na kuhitimisha lile lengo lake.
Akimuweza mtusi means CHINA, IRAN, N.KOREA n.k zotayumba pia mwisho zote zinajikuta ndani ya USA. Baada ya kufanikisha hili ndipo sasa ile ONE WORLD ORDER inajiweka wazi maana hata sasa ipo na inatenda kazi KAMA HUAMINI JIULIZE NCHI GANI INA NGUVU UN? angalia baraza la usalama, baraza la afya, na mengineyo angalia POSITION NA NGUVU YA USHAWISHI YA USA.
TUNAOAMINI UNABII tunaamini ya kwamba URUSI haitaanguka kabisaa maana ukisoma EZEKIELI 38 utaona URUSI ndani ya vita ya HARMAGEDON
vita hii wengi wataiona kimwili lakini itapiganwa kitoho zaidi maana shetani atatamani kufuta kizazi cha wanaomwabudu Mungu, ndipo Yesu atahitimisha uovu wote duniani NDIPO HAPO MWISHO WA YOTE UTAFIKA NA HUKUMU ITATOLEWA.
TUMRUDIE MUNGU TUACHE MAOVU[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]