Kwa sisi wapenzi wa kitimoto

Kwa sisi wapenzi wa kitimoto

Sasa nihamie wapi Mkaguzi?? ila mie sijawahi kuumwa tumbo ujue pale...sili kila siku kivileee!

Nimewahi kula pale mara nyingi, Ila nimebadilisha. Nyama wanaharakisha kupika, inakuwa ngumu, haiivi sawasawa. Kimara Resort (safari Resort) wanatengeneza vizuri sana
 
nenda kigogo weewe!....................... utapata kitu roho inapenda!
 
Siku hizi unahitaji kuwa mwangalifu na vitimoto. Kuna wengi wanaibiwa na kuuwawa kwa sumu ndio waliopo kwenye mabucha mnayoyasifia. Heri mie nae kula ndizi zilizochemshwa kwenye mafuta ya K-mo
 
kwa wapenzi wa nyama ya nguruwe.ktk kutafuta kitimoto kwa muda mrefu sasa nimegundua kuwa sehemu nyingi ambapo nguruwe anapikwa ni pachafu mazingira yake hayalidhishi.hii ni kwa nn.au kuna mtu humu anafahamu sehemu safi anapotengenezwa nikajinome

my web, mi nadhani wewe ndio unapenda uchafu. Nenda Diddy's Oysterbay, Rainbow Mbezi Beach, Ruddy's Farm Bahari Beach, Sinza kuna sehemu kibao safi, Mwenge, Kinondoni na Tegeta pia.
 
Last edited by a moderator:
mungu tupe ukomboz wa hii nchi kutoka mukononi mwa wale wanaofaidi maliasili zetu peke yao ila kamwe isije ukawapa nchi hawa chadema,mungu hii nchi itagawika vipande vpande.....ni wahuni tu hawa........aamiin!!!
 
my web, mi nadhani wewe ndio unapenda uchafu. Nenda Diddy's Oysterbay, Rainbow Mbezi Beach, Ruddy's Farm Bahari Beach, Sinza kuna sehemu kibao safi, Mwenge, Kinondoni na Tegeta pia.

dah....
 
Last edited by a moderator:
we yeser. subiri waje .huu uchafu uliotapika hapa jamvin utautoa
 
Nenda Aviation,njia panda kitunda kuna kitu ya kienyeji inapatikana hapo,safi sana haina mafuta nusu kama tani,uliza Alphonse
:clap2: :flypig:

Hata nyama ya tembo itakuwa inapatikana sana
 
mungu tupe ukomboz wa hii nchi kutoka mukononi mwa wale wanaofaidi maliasili zetu peke yao ila kamwe isije ukawapa nchi hawa chadema,mungu hii nchi itagawika vipande vpande.....ni wahuni tu hawa........aamiin!!!

Sikushangai,.. kama kuandika tu ndo hivyo, kufikiria je itakuwaje!?? MUKONONI
 
sasa twende wapi mkulu

Inategemea na sehemu ulipo ila joints zipo nyingi tu mkuu. Kwa mama kamche wengi wanaenda tu sababu ni rahisi kufika na parking otherwise they have got very poor quality hata migombani zote mbili wamewaacha mbali mno
 
Njoo hadi banana njia panda ya segerea kama kilometa moja kuna Mandao pub, utanikuta hapa kila jumamosi

ipo ya ukwel mkulu,ngoja niulize hapa ofisini kuna mtu anatoka mitaa hiyo anielekeze fresh.nitakuja jmos
 
Back
Top Bottom