Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,650
Wewe unataka nyama au vyangu!?
Si ndo chachandu yake hiyo !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unataka nyama au vyangu!?
noah=mnyama=kitimoto=kufukuza majini=nguruwe
Njooni Kimara kwa Mungu Hakuna hapo ni mambo yote!
Sasa nihamie wapi Mkaguzi?? ila mie sijawahi kuumwa tumbo ujue pale...sili kila siku kivileee!
kwa wapenzi wa nyama ya nguruwe.ktk kutafuta kitimoto kwa muda mrefu sasa nimegundua kuwa sehemu nyingi ambapo nguruwe anapikwa ni pachafu mazingira yake hayalidhishi.hii ni kwa nn.au kuna mtu humu anafahamu sehemu safi anapotengenezwa nikajinome
mapepo machafu yaliamriwa na yesu kwenda kwa nguruwe!!!soma mathayo
kimara mwisho mkuu niambie nitimbe
Nenda Aviation,njia panda kitunda kuna kitu ya kienyeji inapatikana hapo,safi sana haina mafuta nusu kama tani,uliza Alphonse
:clap2: :flypig:
Njoo contena kitimoto mwake,shuka na njia ya aar hosptal
Njooni Kimara kwa Mungu Hakuna hapo ni mambo yote!
mungu tupe ukomboz wa hii nchi kutoka mukononi mwa wale wanaofaidi maliasili zetu peke yao ila kamwe isije ukawapa nchi hawa chadema,mungu hii nchi itagawika vipande vpande.....ni wahuni tu hawa........aamiin!!!
makontena mengi mjihuu. mkuu
sasa twende wapi mkulu
Njoo hadi banana njia panda ya segerea kama kilometa moja kuna Mandao pub, utanikuta hapa kila jumamosi