Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
- Thread starter
-
- #21
Rada haijui hiyo habari ya Osama au beberu. Tambua kuwa nchi yetu inatazamwa yote na mamlaka ya anga TCAA.Yaliingia madege Pakistan na maguvu yao ya Nuke kibindoni yakamkuta yaliyomkuta Osama bila kuonekana, ije kuwa shujaa wenu alikuja na muarobaini tena nao kutoka kwa beberu huko?
Tangu lini beberu alikuwa na jema kwetu au sasa haya ndiyo yale mambo yetu ya baniani mbaya ila kiatu chake?
Dhana potofu hizo.Ndege inaweza kuonekana kwenye rada Ila kuna vimemo kutoka Ikulu vikisindikiza ndege
Mada ya mawazo hasi ni mada mpya,uliyoiibua ww,Punguza mawazo hasi ya kuona unaibiwa wewe tu kila siku.
Nenda kazikwe nayeKuna watu hapa JF wanakariri habari za miaka ya nyuma halafu wanazileta sasa bila ya kujua nini haswa wanachokiandika.
Ni hawa wanaopenda kuandika habari za nchi kuibiwa, na habari za ndege kuonekana huko maporini. Hawa kuna mahali hawaelewi labda hawafahamu kuwa TZ ya sasa imenunua rada nne zinazotumika kuilinda nchi nzima kwa ujumla wake.
Bilioni takriban 67 zilitengwa na serikali ya awamu ya tano ya hayati JPM na zikanunuliwa rada nne kutoka kampuni moja ya Ufaransa, zikafungwa na zinafanya kazi ya kuilinda nchi.
Hakuna kinachoingia ndani ya anga la TZ kisionwe na rada hizo, hakipo kwa sasa na siku zijazo. Faida nyingine ya rada hizo ni kuongeza pato la taifa. Kila ndege inayokatiza katika anga letu inatazamwa moja kwa moja na mamlaka ya anga halafu invoice inatumwa kwa mamlaka ya anga ya nchi ambayo ndege inatoka.
Anga letu ni mali yetu kwa asilimia mia moja tofauti na miaka ile ambayo Paul Kagame alidhani anatuzidi akili alipo hodhi sehemu ya magharibi ya anga wakati sisi tupo tu.
Wanaoleta nyuzi za kichonganishi kwa kusema ndege zinatua huko porini waje na taarifa sahihi na zilizokamilika waachane na hizi kasumba za kufanya siasa nyepesi za kichonganishi.
Kwa sasa hakuna ndege inayoweza kutua ndani ya JMT bila ya kuonwa na mamlaka ya anga, hakipo kitu hicho. Hizi sio nyakati za zile ndege za kwenda mgodini kuchukua dhahabu kila alhamisi, zama hizo zimebakia historia.
JPM anaweza kuonekana hakufanya la maana, lakini ametuachia msingi mzuri wa kuipeleka nchi hii katika uchumi wa kati na ule wa juu zaidi. Aendelee kupumzika kwa amani.
Ndege ikiingia inaonekana moja kwa moja katika mitambo ya TCAA inayoziongoza hizo rada. Tofauti sana na miaka ya nyuma.Nikweli.. lakini je.. mamlaka zikiona ndege inaingia zitakwambia ?
Rada haijui hiyo habari ya Osama au beberu. Tambua kuwa nchi yetu inatazamwa yote na mamlaka ya anga TCAA.
JPM alinunua rada nne zenye kumilika kila kona ya TZ, hakuna hata mdudu anayeweza kuruka angani akaingia nchini asionekane.
Hakuna uwezekano wa ndege kuingia na kuondoka tu, hii ni Tanzania mpya sio ile ya miaka ya nyuma kila Alhamisi ndege zinaingia mgodini na kuchukua vipande vya dhahabu na kuondoka.Mada ya mawazo hasi ni mada mpya,uliyoiibua ww,
Soma content nzima ya mada na uielewe itakusaidia kupunguza hizi chuki na hasira zako.Nenda kazikwe naye
Samia atawakwaza wengi na wataumia wengi na atakapoondoka ikulu madhambi mengi tutayajua, hivyo hao wa kuzikwa nae watakuwepo tu.JPM alishakufa hayupo tena. Kuna aliowakwaza sana ndugu. Wengine leo ni wajane na yatima. Ukisikia mapendekezo kwenda kuzikwa naye uwe unaelewa.
Bila shaka siyo kuonywa tu bali pia kuongea na rubani wa chombo hiko. Akileta fyoko fyoko jeshi letu la wananchi linamshughulikia huko huko angani. Hivyo nchi iko salaama maeneo yote ie ardhini, majini na angani. JPM kweli alikuwa anapaisha Tanzania.Hakuna kinachoingia ndani ya anga la TZ kisionwe na rada hizo, hakipo kwa sasa na siku zijazo
Yaani shillingi billioni 67 ni chini ya bei ya aliyokodi January kwa mwaka ile software ya tekohama ya Mahindra kwenye grid yetu ya umeme ambayo wala haifanyi kazi.Zipo nne zilinunuliwa shilingi bilioni 67 zote kwa pamoja.
Zile Trillions 1.5 alizoiba zingeweza kununua radar kama hizo 80Heshima kwako JPM
Una uhakika?Tuna rada tuli-develope wenyewe na jamaa wa udsm tangu late 80s,inaona mpaka Ethiopia,mkapa alipiga hela kupitia rada,una uhakika gani huyo unayemsifu hakupiga hela kwenye hizo rada!?
Kuna kutumia elimu nakutumia akili, akili inakufanya kuwa na ujasiri wa kuhoji kila unachokiona ,na elimu ni formula fulani hv, wsemavyo "elimu isipotosha ongezea akili"Hakuna uwezekano wa ndege kuingia na kuondoka tu, hii ni Tanzania mpya sio ile ya miaka ya nyuma kila Alhamisi ndege zinaingia mgodini na kuchukua vipande vya dhahabu na kuondoka.
Ushahidi huwezi kuuweka wazi kama ukiombwa na mamlaka za kiserikali, ni maneno tu ya mtaani.Zile Trillions 1.5 alizoiba zingeweza kununua radar kama hizo 80
Huko kuboronga ni mtaji wa poor minds. Aliofanya ni makubwa kuliko huko kuboronga mnakomkandia hebu oneni aibu dili, wizi, ujanja janja, vyeti feki na ukwepaji kodi sio sifa kwa taifa.Amefanya baadhi mazuri ila mengi kaboronga sana!! Penye ukweli pasemwe tu bila kubwabwaja!!
Nahisi angekuwa na viongozi washauri wazuri angefanya vizuri sana!! Ila viongozi aina ya makonda na sabaya ndo walikuwa washauri wakuu lazima aboronge tu!!
Hana ushahidi, ni majungu tu kama ilivyo ada.Ushahidi huwezi kuuweka wazi kama ukiombwa na mamlaka za kiserikali, ni maneno tu ya mtaani.
Yana ukweli kwa % kubwaAmefanya baadhi mazuri ila mengi kaboronga sana!! Penye ukweli pasemwe tu bila kubwabwaja!!
Nahisi angekuwa na viongozi washauri wazuri angefanya vizuri sana!! Ila viongozi aina ya makonda na sabaya ndo walikuwa washauri wakuu lazima aboronge tu!!
Malengo ya hizo ni mazuri ila haimaanishi hatutoibiwa! Kwa maana wanaoiba ni viongozi wakuu ambao wana mamlaka ya moja kwa moja yakutoa oda kuwa ao wanaokuja wasikaguliwe.Kuna watu hapa JF wanakariri habari za miaka ya nyuma halafu wanazileta sasa bila ya kujua nini haswa wanachokiandika.
Ni hawa wanaopenda kuandika habari za nchi kuibiwa, na habari za ndege kuonekana huko maporini. Hawa kuna mahali hawaelewi labda hawafahamu kuwa TZ ya sasa imenunua rada nne zinazotumika kuilinda nchi nzima kwa ujumla wake.
Bilioni takriban 67 zilitengwa na serikali ya awamu ya tano ya hayati JPM na zikanunuliwa rada nne kutoka kampuni moja ya Ufaransa, zikafungwa na zinafanya kazi ya kuilinda nchi.
Hakuna kinachoingia ndani ya anga la TZ kisionwe na rada hizo, hakipo kwa sasa na siku zijazo. Faida nyingine ya rada hizo ni kuongeza pato la taifa. Kila ndege inayokatiza katika anga letu inatazamwa moja kwa moja na mamlaka ya anga halafu invoice inatumwa kwa mamlaka ya anga ya nchi ambayo ndege inatoka.
Anga letu ni mali yetu kwa asilimia mia moja tofauti na miaka ile ambayo Paul Kagame alidhani anatuzidi akili alipo hodhi sehemu ya magharibi ya anga wakati sisi tupo tu.
Wanaoleta nyuzi za kichonganishi kwa kusema ndege zinatua huko porini waje na taarifa sahihi na zilizokamilika waachane na hizi kasumba za kufanya siasa nyepesi za kichonganishi.
Kwa sasa hakuna ndege inayoweza kutua ndani ya JMT bila ya kuonwa na mamlaka ya anga, hakipo kitu hicho. Hizi sio nyakati za zile ndege za kwenda mgodini kuchukua dhahabu kila alhamisi, zama hizo zimebakia historia.
JPM anaweza kuonekana hakufanya la maana, lakini ametuachia msingi mzuri wa kuipeleka nchi hii katika uchumi wa kati na ule wa juu zaidi. Aendelee kupumzika kwa amani.