Kwa taarifa za uhakika zilizonifikia hivi punde tu ni kwamba

Rwanda kuna barafu kumbe, nshakuelewa unachotafta ni comments nyingi ile ukapokee buku jero yako lumumba, sio mbaya komaa utapata hata hela ununue Passo tu
 
Rwanda kuna barafu kumbe, nshakuelewa unachotafta ni comments nyingi ile ukapokee buku jero yako lumumba, sio mbaya komaa utapata hata hela ununue Passo tu

Huna UWEZO Wa Kufanya KAZI Ninayoifanya Na Nakushauri Kuliko Kupoteza Muda Wako Na Mimi Sasa Hivi Humu JF Jitahidi Kwanza Upambane Na Hao INZI Wanaotoka Ktk Hilo DAMPO La Jirani Ili Uweze Kulala. Kodi Yako Ndiyo Inanifanya Nile BATA Hivi Huku Wewe UMASIKINI Ukikutawala Hadi Ktk Kope Zako Za Machoni.
 
Ludicrous-so foolish or unreasonable as to be amusing... Ooh!!
 
wana PASSO tukutane mlimani city tarehe 23.04.2016 saa 11 jioni pale samaki samaki, tuzungumzie athari za mvua kwenye magari yetu.
 
Nachelea kusema umefanya grouping kwa kukurupuka tunaposema tofauti ya magari na vyombo vya usafiri tunazungumzia thamani! Kama gari yako ni chini ya million 20 wewe unatumia usafiri kama ni zaidi ya hapo wewe unamiliki gari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…