Kwa takwimu hizi, hata tukizinguana na Mabeberu Hakuna Hasara Kama Nchi Tutapata.

Kwa takwimu hizi, hata tukizinguana na Mabeberu Hakuna Hasara Kama Nchi Tutapata.

Akili hizi unazikuta ccm pekee

Ni ujinga kuamini nchi za middle East ukiondoa nchi za mabeberu katika kushirikiana kiuchumi, kam nchi mnaweza kutoboa kiuchumi

Vijana wa ccm acheni bangi, shauri yenu
CCM hakuna nafasi ya vibaraka wa Mabeberu
 
CCM hakuna nafasi ya vibaraka wa Mabeberu
Mkuu, Kama Katiba iliitwa ni makatasi kama zilivyo karatasi zingine, na, unayoyatetea ni makatasi kama yalivyo makaratasi mengine,

Ni mjinga pekee wa kuamini nchi za kiarabu zinaweza kuzivusha nchi zetu hizi masikini katika uchumi wake
 
Huko huko ndiko tunako export

takwimu ziko wapi? kuwa soko siyo ishu utapata msururu wa nchi dunia nzima wakitaka kukuuzia bidhaa zao kwa maana kila inapenda kuzalisha ajira kwa watu wao, lkn ubabe uko kwenye exports, kwa maana exports ndiyo inayozalisha ajira na siyo uchukuzi wa gsm kariakoo …
 
takwimu ziko wapi? kuwa soko siyo ishu utapata msururu wa nchi dunia nzima wakitaka kukuuzia bidhaa zao kwa maana kila inapenda kuzalisha ajira kwa watu wao, lkn ubabe uko kwenye exports, kwa maana exports ndiyo inayozalisha ajira na siyo uchukuzi wa gsm kariakoo …
Wewe hakuna wa kutubabaisha Kwa Sasa huko Ubeberuni
Screenshot_20250116-192734.jpg
 
Mkuu, Kama Katiba iliitwa ni makatasi kama zilivyo karatasi zingine, na, unayoyatetea ni makatasi kama yalivyo makaratasi mengine,

Ni mjinga pekee wa kuamini nchi za kiarabu zinaweza kuzivusha nchi zetu hizi masikini katika uchumi wake
Katiba inakusaidia nini wewe?
 
unaelewa maana ya trade? trade ina pande mbili, data ulizoweka zinaonyesha imports, sasa sisi tunauza nini kwenda kwenye hizo nchi kama exports? nchi huwa zinahangaika kutafuta pa kuuzia bidhaa zao ( exports) na siyo kuwa soko la bidhaa za wengine, kuwa soko ndiyo kitu rahisi kuliko vyote ila wewe kuweza pia kuuza kwao bidhaa ndiyo kitu cha kujisifu, ndiyo maana huona nchi makini kiongozi akifanya ziara anakwenda na wafanyabiashara lengo huwa ni kuangalia jinsi ya kupata soko la bidhaa zao kwenye hiyo nchi, watu makini hawafanyi ziara na bongo movie unless kama unataka kuuza bongo movie kama exports kwenye hizo nchi.

isitoshe ngoja nikusaidie kidogo, ni hivi kila bidhaa unayonunua kariakoo gsm unazalisha ajira kule ilikotengenezwa, umeshawahi kujiuliza au hata tu kulielewa hilo ?
Hakuna Beberu kwenye listi yetu na hatubabaishwi na Beberu yeyote
Screenshot_20250116-192734.jpg
 
nimeelewa sana, hakuna binadamu dunia hii mwenye akili timamu anayeweza kujivunia imports, unaweza import ktk nchi yoyote ile dunia hii kwani kila nchi inapenda ku export ili kukuza chumi zao na hakuna anayegombania imports kwa maana imports zinaharibu uchumi wa nchi, ili nchi iendelee ni lzm ibalance exports vs exports, hivyo kama hizo nchi zinaongoza kuleta bidhaa tanzagiza ilipaswa na sisi pia tuuze bidhaa kwenye hizo kama exports hapo ndiyo mtu anaweza kujipiga kifua, lkn siyo kugeuzwa soko la bidhaa za wengine halafu unajisifu …
Trade is not and has Never been a Zero Sum Game....; Ila haimaanishi tununue hata vile tunavyoweza kutengeneza / kukidhi..., i.e. We should buy elsewhere what will cost us more to make than to buy..., Ila Upuuzi wetu ni mpaka ile miradi ambayo tungeweza kufanya na kutumia hata pesa zetu bado tunakopa (yaani sio tu kuhitaji / kutumia foreign currency, bali mwisho wa siku tunalipa Riba)

In short as things are right now, hatuna sababu yoyote ya kujisifia...
 
Kufurahia imports badala ya exports ni dalili ya changamoto ya afya ya akili.Punguza kula wanga asubuhi Hadi usiku Kila siku.kula ugali Kila siku Huwa unatabia ya kupunguza uwezo wa kufikiri
 
Kufurahia imports badala ya exports ni dalili ya changamoto ya afya ya akili.Punguza kula wanga asubuhi Hadi usiku Kila siku.kula ugali Kila siku Huwa unatabia ya kupunguza uwezo wa kufikiri
Aisee shangaa na wewe mimi nimepigwa na bumbuwazi huyu jamaa akili zake zipo Sawa?
 
Back
Top Bottom