baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Watalii Tanzania ni Mix sina data ila I think bara ni Usa sitashangaa kama Urusi wametawala utalii hasa Znz, Export pia sina uhakika I think India ni zaidi, mazao mengi Tanzania tunauza India, Hata Madini Tanzanite yamejaa India,1. Watalii wa Tanzania wengi wanatoka nchi zipi?
2. Exports nyingi za Tanzania zinaenda nchi zipi?