Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
World Bank na IMF ndio wakopeshaji wetu wakubwa zaidi.Mkuu influence inaendana zaidi na uchumi.
China yule aliyekuwa anatujengea reli ya Tazara kinyonge akiitwa na " ma men yellow man ndio China huyu huyu ana batiza Western power kwa makaa ya uchumi wa kisasa.