Kwa takwimu hizi, hata tukizinguana na Mabeberu Hakuna Hasara Kama Nchi Tutapata.

Akili hizi unazikuta ccm pekee

Ni ujinga kuamini nchi za middle East ukiondoa nchi za mabeberu katika kushirikiana kiuchumi, kam nchi mnaweza kutoboa kiuchumi

Vijana wa ccm acheni bangi, shauri yenu
CCM hakuna nafasi ya vibaraka wa Mabeberu
 
CCM hakuna nafasi ya vibaraka wa Mabeberu
Mkuu, Kama Katiba iliitwa ni makatasi kama zilivyo karatasi zingine, na, unayoyatetea ni makatasi kama yalivyo makaratasi mengine,

Ni mjinga pekee wa kuamini nchi za kiarabu zinaweza kuzivusha nchi zetu hizi masikini katika uchumi wake
 
Huko huko ndiko tunako export

takwimu ziko wapi? kuwa soko siyo ishu utapata msururu wa nchi dunia nzima wakitaka kukuuzia bidhaa zao kwa maana kila inapenda kuzalisha ajira kwa watu wao, lkn ubabe uko kwenye exports, kwa maana exports ndiyo inayozalisha ajira na siyo uchukuzi wa gsm kariakoo …
 
Wewe hakuna wa kutubabaisha Kwa Sasa huko Ubeberuni
 
Mkuu, Kama Katiba iliitwa ni makatasi kama zilivyo karatasi zingine, na, unayoyatetea ni makatasi kama yalivyo makaratasi mengine,

Ni mjinga pekee wa kuamini nchi za kiarabu zinaweza kuzivusha nchi zetu hizi masikini katika uchumi wake
Katiba inakusaidia nini wewe?
 
Hakuna Beberu kwenye listi yetu na hatubabaishwi na Beberu yeyote
 
Beberu si ndio mwenye mbegu lakini?ukikubali kuwa jike lazima upandwe tuu
 
Trade is not and has Never been a Zero Sum Game....; Ila haimaanishi tununue hata vile tunavyoweza kutengeneza / kukidhi..., i.e. We should buy elsewhere what will cost us more to make than to buy..., Ila Upuuzi wetu ni mpaka ile miradi ambayo tungeweza kufanya na kutumia hata pesa zetu bado tunakopa (yaani sio tu kuhitaji / kutumia foreign currency, bali mwisho wa siku tunalipa Riba)

In short as things are right now, hatuna sababu yoyote ya kujisifia...
 
Kufurahia imports badala ya exports ni dalili ya changamoto ya afya ya akili.Punguza kula wanga asubuhi Hadi usiku Kila siku.kula ugali Kila siku Huwa unatabia ya kupunguza uwezo wa kufikiri
 
Tuna Halafu tunajivunia import apart from export? Hii nchi tumelogwa? Wao wana import halafu sisi tuna export nini?
 
Kufurahia imports badala ya exports ni dalili ya changamoto ya afya ya akili.Punguza kula wanga asubuhi Hadi usiku Kila siku.kula ugali Kila siku Huwa unatabia ya kupunguza uwezo wa kufikiri
Aisee shangaa na wewe mimi nimepigwa na bumbuwazi huyu jamaa akili zake zipo Sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…