baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Watalii Tanzania ni Mix sina data ila I think bara ni Usa sitashangaa kama Urusi wametawala utalii hasa Znz, Export pia sina uhakika I think India ni zaidi, mazao mengi Tanzania tunauza India, Hata Madini Tanzanite yamejaa India,1. Watalii wa Tanzania wengi wanatoka nchi zipi?
2. Exports nyingi za Tanzania zinaenda nchi zipi?
Tuonyeshe tuna export nnHuko huko ndiko tunako export
Soma humuTuonyeshe tuna export nn
Hivi wewe una akili timamu kweli wewe? Maskini taifa tanganyika daaah
Akili gani unazozizungumzia wewe punguani?Hivi wewe una akili timamu kweli wewe? Maskini taifa tanganyika daaah
Kwa lipi?Beberu akikaza kamba kwa mwezi mmoja hapa tutalimia meno, tusijidanganye hata kidogo🐼
Nadhani mleta hoja anatufahamisha kuwa nchi za magharibi zimeishapoteza influence kwa nchi nyingi za Africa ikiwemo Tanzania kwa nchi za Asia na Arabuni.hizo ni imports halafu unajivunia? watanzagiza bhana akili zoote gsm hadi huruma, na una export nini na wapi ?
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni.Ni wazi Tanzania inashirikiana zaidi kiuchumi na Nchi za Asia ya mbali na Middle East Kibiashara na kiuchumi kuliko Nchi za Mabeberu.
Kwa data hizi hakuna Nchi yeyote ya Kibeberu inaweza yumbisha Tanzania.
Huu ni ujumbe tosha Kwa vibaraka wao ,wasome na waelewe.👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DE5ADBGIgTK/?igsh=bjVwejJ2bDN3dW1r
Nadhani mleta hoja anatufahamisha kuwa nchi za magharibi zimeishapoteza influence kwa nchi nyingi za Africa ikiwemo Tanzania kwa nchi za Asia na Arabuni.
Hata ukiangalia Ulaya na Marekani ya leo ukailinganisha Miundo mbinu ya China,Singapore, UAE,Japan,South Korea unagundua jua linachomoza kutokea mashariki kwenda magharibi.
Sawa so inahusika vipi na mada?Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni.
Maneno mengi yasiyo na mantiki.🇹🇿 Sio tena koloni la Mabeberu,hatuna ishu naoJapan ni western kundi moja na usa na eu isitoshe hizo nchi ulizozitaja zote main trading partners wao ni western Christian countries na siyo afrika au unafikiri uae anategemea soko la kuuza mafuta yake kwa wingi afrika? unafikiri china anauza wapi bidhaa zake? hivyo tunarudia kule kule tulikotoka na kwa nini sisi bado ni backward tunabakia hivyo, dunia nzima inatrade wanabadishana technology and know how na kuboresha maisha ya watu wao, afrika inagombea na kubadilisha mabwana kila siku mara mashariki, mara sijui kusini tumekuwa tukifanya hivyo tangia uhuru na bado ni backward tu.
kwa taarifa tu >80% ya mint students kwenye elite universities za usa ni asians, kwa nini unafikiri? kwa nini isiwe afrika? kwanza afrika hata wanasoma english maisha yote klk china …
Maneno mengi yasiyo na mantiki.🇹🇿 Sio tena koloni la Mabeberu,hatuna ishu nao
My dear comrade umetoa majibu.Japan ni western kundi moja na usa na eu isitoshe hizo nchi ulizozitaja zote main trading partners wao ni western Christian countries na siyo afrika au unafikiri uae anategemea soko la kuuza mafuta yake kwa wingi afrika? unafikiri china anauza wapi bidhaa zake? hivyo tunarudia kule kule tulikotoka na kwa nini sisi bado ni backward tunabakia hivyo, dunia nzima inatrade wanabadishana technology and know how na kuboresha maisha ya watu wao, afrika inagombea na kubadilisha mabwana kila siku mara mashariki, mara sijui kusini tumekuwa tukifanya hivyo tangia uhuru na bado ni backward tu.
kwa taarifa tu >80% ya mint students kwenye elite universities za usa ni asians, kwa nini unafikiri? kwa nini isiwe afrika? kwanza afrika hata wanasoma english maisha yote klk china …
Influence ni pamoja naNadhani mleta hoja anatufahamisha kuwa nchi za magharibi zimeishapoteza influence kwa nchi nyingi za Africa ikiwemo Tanzania kwa nchi za Asia na Arabuni.
Hata ukiangalia Ulaya na Marekani ya leo ukailinganisha Miundo mbinu ya China,Singapore, UAE,Japan,South Korea unagundua jua linachomoza kutokea mashariki kwenda magharibi.
Sawa tuna trade nao trade ni two way traffic ... To na fro... Unavyofurahi kuingiza vingi nchini unaelewa madhara yake katika Balance of trade na Balance of payments kwenye uchumi wa nchi unaoagiza sana kuliko kuuza!?? .... Na unafurahia. AseeUna matatizo ya uelewa wewe,hapo lengo la mada ni kuonesha Nchi tunazo trade nazo Kwa asilimia kubwa.
Mkuu influence inaendana zaidi na uchumi.Influence ni pamoja na
Dini
Michezo
Muziki
Filamu
Mavazi
Chakula, vinywaji
Misaada
Mikopo
Vitabu
Vyuo,scholarships
WhatsApp, Twitter/X, FB, Instagram, YouTube, Microsoft, Google, Visa Card, Mastercard,