Poleni na majukumu wakuu na hope mko na afya njema, wanaosumbulia na maradhi namuomba mwenyezi MUNGU awaponye na warudi kwenye hali zao za kawaida.
Basi bhana! Wazo la kuandika uzi huu limekuja baada ya kuingia huko ajira portal nikiwa ninadhumuni la kuangalia matokeo ya written interview ya TRA iliyofanyika hivi karibuni.
Kama tunavofahamu tatizo la ajira linaloikumba nchi sikuona mchangao wa idadi kubwa ya watu ambao wamekua wameitwa na pia kuwa non-selected basi nikapata wazo la kuchungulia ndugu zetu wa ng’ambo kuona nao hali ikoje kule.
Ikilichonishangaza sana ni idadi ndogo sana ya watu waloitwa kwenye written interview ukizingatia hichi ni kipindi ambacho kuna graduates wengi mataani.
Pili, wanaoitwa hawafaulu mitihani yao, imenisikitisha kuona kati ya watu wa tano walioitwa wote wanashindwa kuvuka kwenda hatua inayofuata.
Hizi sababu mbili zinanifanya Niamin visiwani kwa 95% hakuta tatizo la ajira.
Hivyo tunaposema tatizo la ajira tuitaje Tanganyika na sio Tanzania.
Basi bhana! Wazo la kuandika uzi huu limekuja baada ya kuingia huko ajira portal nikiwa ninadhumuni la kuangalia matokeo ya written interview ya TRA iliyofanyika hivi karibuni.
Kama tunavofahamu tatizo la ajira linaloikumba nchi sikuona mchangao wa idadi kubwa ya watu ambao wamekua wameitwa na pia kuwa non-selected basi nikapata wazo la kuchungulia ndugu zetu wa ng’ambo kuona nao hali ikoje kule.
Ikilichonishangaza sana ni idadi ndogo sana ya watu waloitwa kwenye written interview ukizingatia hichi ni kipindi ambacho kuna graduates wengi mataani.
Pili, wanaoitwa hawafaulu mitihani yao, imenisikitisha kuona kati ya watu wa tano walioitwa wote wanashindwa kuvuka kwenda hatua inayofuata.
Hizi sababu mbili zinanifanya Niamin visiwani kwa 95% hakuta tatizo la ajira.
Hivyo tunaposema tatizo la ajira tuitaje Tanganyika na sio Tanzania.