Ilebayee
Senior Member
- Aug 3, 2020
- 129
- 678
Amefanana nae kweli yule raisi wa ovyo 😂 usikute ni ndugu 🐒Huyu sio mwigizaji kweli? Kuna series moja ya THE OVAL kuna mwamba anaitwa hanter nahisi ndiye huyu huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefanana nae kweli yule raisi wa ovyo 😂 usikute ni ndugu 🐒Huyu sio mwigizaji kweli? Kuna series moja ya THE OVAL kuna mwamba anaitwa hanter nahisi ndiye huyu huyu.
Mbumbumbu kwenye one and twoSababu nyingine na ya msingi ni yeye Gamond kukataa viongozi wasinunue mechi na madawa/sindano za kusisimua misuli ya wachezaji hasa pale timu inaposhambuliwa kwa sababu kocha alikataa hayo yote kwa sababu yanadhoofisha vipaji vya wachezaji
Huyo huyo rais wa ovyo nna was was kama. Vile huyu nae anaweza kuwa kocha wa ovyo🤣🤣Amefanana nae kweli yule raisi wa ovyo 😂 usikute ni ndugu 🐒
Tulipe Igizo muda 😂Huyo huyo rais wa ovyo nna was was kama. Vile huyu nae anaweza kuwa kocha wa ovyo🤣🤣
Baada ya wiki mbili tu ataondoka Yanga huyu, usicheze na kibogoyo Mzee Mpili.TAKWIMU ZA SAED RAMOVIC LIGI KUU AFRIKA KUSINI AKIWA TS GALAXY.
.
🏟 — 76 Mechi
✅ — 27 Ushindi
🤝 — 22 Sare
❎ — 27 Vipigo
⚽ — 82 Magoli ya kufunga
🥅 — 68 Magoli ya kufungwa
🚫 — 31 Clean Sheet
OFFICIAL: Yanga SC 🇹🇿 imemtangaza rasmi aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya TS Galaxy,Saed Ramovic kuwa Kocha Mkuu wa Klabu hiyo akichukua nafasi ya Miguel Gamondi aliyevunjiwa Mkataba hii leo.
.
Msimu uliopita Saed Ramovic aliiwezesha TS Galaxy kumaliza nafasi ya sita kwenye Msimamo wa Ligi Kuu Nchini Afrika Kusini.
View attachment 3153102
Wewe mjerumani gani anaitwa Said RamadhaniHatoboi Christmas huyu
mzee unafukua nyuzi za ujio, kwani nini kimetokea?Tunakumbushia..
Jamaa tayari keshaaga. Inasemwa Belouizdad wamemtaka.mzee unafukua nyuzi za ujio, kwani nini kimetokea?