Amefanana nae kweli yule raisi wa ovyo π usikute ni ndugu πHuyu sio mwigizaji kweli? Kuna series moja ya THE OVAL kuna mwamba anaitwa hanter nahisi ndiye huyu huyu.
Mbumbumbu kwenye one and twoSababu nyingine na ya msingi ni yeye Gamond kukataa viongozi wasinunue mechi na madawa/sindano za kusisimua misuli ya wachezaji hasa pale timu inaposhambuliwa kwa sababu kocha alikataa hayo yote kwa sababu yanadhoofisha vipaji vya wachezaji
Huyo huyo rais wa ovyo nna was was kama. Vile huyu nae anaweza kuwa kocha wa ovyoπ€£π€£Amefanana nae kweli yule raisi wa ovyo π usikute ni ndugu π
Tulipe Igizo muda πHuyo huyo rais wa ovyo nna was was kama. Vile huyu nae anaweza kuwa kocha wa ovyoπ€£π€£
Baada ya wiki mbili tu ataondoka Yanga huyu, usicheze na kibogoyo Mzee Mpili.TAKWIMU ZA SAED RAMOVIC LIGI KUU AFRIKA KUSINI AKIWA TS GALAXY.
.
π β 76 Mechi
β β 27 Ushindi
π€ β 22 Sare
β β 27 Vipigo
β½ β 82 Magoli ya kufunga
π₯ β 68 Magoli ya kufungwa
π« β 31 Clean Sheet
OFFICIAL: Yanga SC πΉπΏ imemtangaza rasmi aliyekuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya TS Galaxy,Saed Ramovic kuwa Kocha Mkuu wa Klabu hiyo akichukua nafasi ya Miguel Gamondi aliyevunjiwa Mkataba hii leo.
.
Msimu uliopita Saed Ramovic aliiwezesha TS Galaxy kumaliza nafasi ya sita kwenye Msimamo wa Ligi Kuu Nchini Afrika Kusini.
View attachment 3153102
Wewe mjerumani gani anaitwa Said RamadhaniHatoboi Christmas huyu
mzee unafukua nyuzi za ujio, kwani nini kimetokea?Tunakumbushia..
Jamaa tayari keshaaga. Inasemwa Belouizdad wamemtaka.mzee unafukua nyuzi za ujio, kwani nini kimetokea?