Kwa takwimu hizi za Kariakoo Derby 11 Desemba 2021, nani kaupiga mwingi?

Yanga kaupiga mwingi simba alikua anazuia tu kaponea chupu chupukufungwa ...japo 2nd half alijitutumua
 
Yanga kaupiga mwingi simba alikua anazuia tu kaponea chupu chupukufungwa ...japo 2nd half alijitutumua
Duuuh ushabik mandaz huu Ni shida ,yanga ipi wachezaji walikua wanajilaza kupoteza muda? Kipindi Cha pili chote yanga alizidiwa mbinu had wakawa naomba mpira uishe, possession hiyo Ni kupiga pass nyuma ili kupoza mashambuliz toka kwa Simba na kuwatega ili wawafuate alafu wapige counter lakin Simba akawa anamwacha tu yanga ahangaike na tupass twake huko langon kwake na baadae kujilete wenyew then wanashambuliwa hatar ,.
Ukweli una Uma nabi alizidiwa mbinu na Pablo ,Hilo halina mjadala kabisa .
 
Namuhitaji mayele leo alikuwepo uwanjani au huyu kocha mpya wa Simba kajua tiba ya mayele[emoji1][emoji1]
 
Simba walizidiwa sana kimbinu .that's y faulo ni Mara mbili ya faulo za yanga...but walifanya attempts nying zisizo na madhara

Yanga walituliza Mpira na kufanya attempt za kasi sana
 
Agiza mirinda ya watoto na wagonjwa nakuja kulipia mkuu. Huu ni ukweli yaani Simba walijiandaa kupambana na Mayele
 
Simba walizidiwa sana kimbinu .that's y faulo ni Mara mbili ya faulo za yanga...but walifanya attempts nying zisizo na madhara

Yanga walituliza Mpira na kufanya attempt za kasi sana
Unaongelea Utopolo upi arifuu? Kipindi cha pili simba alikamata mechi, utopolo pumzi ilikata, kujiangusha kupoozesha mchezo...usiongelee ushabiki wako maaandazi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Mdaka mishale Leo kakutana mkuki kutoka kwa Kanoute mpaka kaomba po



###Onyango na Enonga wameupiga mwingi
Kolo unasifia mabeki hapo na bado utasema kolo mlicheza vizuri,diarra alipangua ile but manula aliikwepa kama ile ya zawadi mauya
 
Yani tabu sana. Mfano kuna Makolo wanasema Mayele natuliza leo. Wanasahau kuwa Onyango alilazimika kucheza madhambi.....tena baada ya kupigwa bonge la tobo....na alikuwa anaachwa vibaya
Air manula alikutana na shuti la saidooo hata kuona hakuliona ni mwamba tu umenusuru. Muwe mna balance matukio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…