Kwa takwimu hizi za Kariakoo Derby 11 Desemba 2021, nani kaupiga mwingi?

Kwa takwimu hizi za Kariakoo Derby 11 Desemba 2021, nani kaupiga mwingi?

Dah hatari. Yaani washabiki wa simba ni mbumbumbu. Wanawasifia mabeki kwa kucheza vizuri alafu hapo hapo wanaisema yanga kua ilizidiwa mbinu ikapaki basi. Dah
Wewe nawe huelewi,mabeki walicheza vizuri kwasababu Yanga mlikuwa mkitumia counter attack basi ila mbinu zingine zote mlidhibitiwa hadi kujiangusha kupooza game na kupoteza muda.
 
Timu ya simba imejaa wavunja kuni watupu ukitaka kulijua hilo angalia hizo fouls, shots off target na Yellow cards
Sijaona ukizungumzia shots on targets maana hicho ni kipimo cha mashambulizi mengi langoni mwa timu pinzani.
 
Hiyo ni mindset ya timu ndogo ambazo huwa zinakuja kucheza na Simba na Yanga ndio huwa wanacheza fouls nyingi na kukamia mechi

Ila timu kubwa siku zote itamiliki mpira vizuri na mchezo walocheza simba utauona kwa Namungo, prison and e. t. c
Ball position ya Yanga kwa kiasi kikubwa ilichangiwa na wao kucheza back passes tu wakiogopa kupeleka mpira mbele maana mabeki wa Simba walikuwa imara sana wangechukua mpira nakuanzisha tena mashambulizi dhidi ya Yanga.

Ball position sio kipimo cha kumiliki mchezo mzee maana mnaweza mnaweza kupigiana pass langoni mwenu mara umrudishie kipa mara beki kisha kwa kipa hiyo yote inahesabiwa ni ball position.
 
We uliangalia mpira upi? Ule mpira sheikh siyo mchezo wa ma ready au tennis kwamba msigusane, faul ni part ya mchezo, nitajie mechi gani duniani ilichezwa bila faulo.
Unajiita Timu kubwa halafu unaingia uwanjani kwa approach zinazotumia timu ndogo, unacheza fouls nyingi, kadi za njano nyingi

Mkuu Nakukumbusha tena tunachambua mechi kwa kupitia takwimu za jana, na kupitia takwimu hizo basi na ww ndio uchambue hiyo game
 
Ball position ya Yanga kwa kiasi kikubwa ilichangiwa na wao kucheza back passes tu wakiogopa kupeleka mpira mbele maana mabeki wa Simba walikuwa imara sana wangechukua mpira nakuanzisha tena mashambulizi dhidi ya Yanga.

Ball position sio kipimo cha kumiliki mchezo mzee maana mnaweza mnaweza kupigiana pass langoni mwenu mara umrudishie kipa mara beki kisha kwa kipa hiyo yote inahesabiwa ni ball position.
Build up ya mpira wa Yanga huijui na ndio Maana unaongea hivyo

Most of goals kwa upande wa Yanga build up Goalkeeper au Centre back, rejea goal la Mayele kule Mbeya kwanza pasi imetoka kwa Golie-Bakari-Mayele-Ntibanzonkiza-Feisal-Mayele baaam inakuwa goal. Vile goal la ngao ya hisani Golie anapiga mpira mrefu anagusa Mayele na anampa faridi huku akiingia nao kwenye box na kupiga V pass kwa Mayele ni baaam inakuwa goal

Kwahyo zinapigwa Sideway pass na back pass nyingi ili msogee kwenye mtego halafu tumalize shughuli M, rejea mpira alioteleza Manula na kuukosa mpira na kuanguka na mpira uliogongwa mwamba wa saidoo ndio utaelewa namna build up ya yanga inavyo oparate

Halafu sio ball position ni ball possession ww kolo wa kiume

Takwimu wala huwa haziongopi na zinaeleza namna halisi game ilivyokuwa
 
We uliangalia mpira upi? Ule mpira sheikh siyo mchezo wa ma ready au tennis kwamba msigusane, faul ni part ya mchezo, nitajie mechi gani duniani ilichezwa bila faulo.
Sijakataa ila chukua game stats za mechi za man City, Liverpool na Chelsea pale Uingereza ndio timu zinaongoza kwa kuchezewa fouls nyingi
na huku possessions ya mpira ikiwa kwao

Timu kubwa sikuzote Inachezewa fouls nyingi kwasababu inakamiwa na timu ndogo ambayo haina uwezo, rejea mechi za simba na timu za mkoani utaona namna anavyochezewa fouls nyingi ndio Utaelewa concept yangu
 
Sijakataa ila chukua game stats za mechi za man City, Liverpool na Chelsea pale Uingereza ndio timu zinaongoza kwa kuchezewa fouls nyingi
na huku possessions ya mpira ikiwa kwao

Timu kubwa sikuzote Inachezewa fouls nyingi kwasababu inakamiwa na timu ndogo ambayo haina uwezo, rejea mechi za simba na timu za mkoani utaona namna anavyochezewa fouls nyingi ndio Utaelewa concept yangu
We mzee haya mahaba yatakuua, nimeshakwambia Yanga si team kubwa achana na habari za kuangalia mechi moja, Yanga hy possession ya 51, ni sababu ya kucheza back pass nyingi na kucheza pass nyingi eneo lao na hazina madhara tofauti na Simba ambao walikuwa wakifanya pressing sana langoni mwa Yanga na ndy maana walifika golini mwa Yanga mara 10 dhidi ya 3 za Yanga.
 
Unajiita Timu kubwa halafu unaingia uwanjani kwa approach zinazotumia timu ndogo, unacheza fouls nyingi, kadi za njano nyingi

Mkuu Nakukumbusha tena tunachambua mechi kwa kupitia takwimu za jana, na kupitia takwimu hizo basi na ww ndio uchambue hiyo game
Kwani Simba kamzidi Yanga kadi ngapi kwa game ya jana?
 
Tumepata point moja wamepata point moja tusonge mberee kuangalia mechi zijazo [emoji617][emoji617]
 
We mzee haya mahaba yatakuua, nimeshakwambia Yanga si team kubwa achana na habari za kuangalia mechi moja, Yanga hy possession ya 51, ni sababu ya kucheza back pass nyingi na kucheza pass nyingi eneo lao na hazina madhara tofauti na Simba ambao walikuwa wakifanya pressing sana langoni mwa Yanga na ndy maana walifika golini mwa Yanga mara 10 dhidi ya 3 za Yanga.
Ww kweli hauna akili, ebu kunywa maji mengi ili kichwa chako kipoe kwanza

Eti Yanga sio kubwa, haya mafanikio ya miaka minne yasikusahalishe ukubwa wa timu ya Yanga

Tumeshinda Derby nyingi zaidi za simba na Yanga
Tuna makombe mengi zaidi ya ligi kuu Tanzania Bara
Tumekufunga magoli mengi zaidi

Hizo bangi mnazovutia kwenye choo zinamadhara sana
 
He, he he, JF bwana! Yaani hata nyie watoto wa ugali wa shikamoo mnatuita baba zenu hatuna akili na maana mnalaaniwa mnalawitiana.

Anyway, skiliza Son, ukubwa au umwamba wa team unapimwa kwa mafanikio ya ndani na nje ya nchi yake, angalia kamafanya nini kimataifa na impact aliyoleta kisha linganisha na Simba.
Ww kweli hauna akili, ebu kunywa maji mengi ili kichwa chako kipoe kwanza

Eti Yanga sio kubwa, haya mafanikio ya miaka minne yasikusahalishe ukubwa wa timu ya Yanga

Tumeshinda Derby nyingi zaidi za simba na Yanga
Tuna makombe mengi zaidi ya ligi kuu Tanzania Bara
Tumekufunga magoli mengi zaidi

Hizo bangi mnazovutia kwenye choo zinamadhara sana
 
He, he he, JF bwana! Yaani hata nyie watoto wa ugali wa shikamoo mnatuita baba zenu hatuna akili na maana mnalaaniwa mnalawitiana.

Anyway, skiliza Son, ukubwa au umwamba wa team unapimwa kwa mafanikio ya ndani na nje ya nchi yake, angalia kamafanya nini kimataifa na impact aliyoleta kisha linganisha na Simba.
Mafanikio ya kimataifa ni kuchukua makombe hayo na sio kufika sijui makundi, sijui robo fainali Coz timu kibao tu zipo hatua hiyo ila issue ni kubeba makombe hayo

Siku moja ukinikuta natoka na taulo kwenye chumba cha Mama yako ndio utajua mm ni Baba yako kolo ww
 
Unajiita Timu kubwa halafu unaingia uwanjani kwa approach zinazotumia timu ndogo, unacheza fouls nyingi, kadi za njano nyingi

Mkuu Nakukumbusha tena tunachambua mechi kwa kupitia takwimu za jana, na kupitia takwimu hizo basi na ww ndio uchambue hiyo game
We jamaa Ni kilaza wa kutukuka jamaa kakupa fact unaanza sijui unajiita timu kubwa.No hazidanganyi na hapa unapingana na no wazwaz ,point ya Simba na yanga Nan mkubwa kwa mwenzie ipo pale jamaa alipokupa mfano hai wa daimond ,konde na Ally kiba.

For sure yanga inatembelea upepo wa Simba ,Mara mje na porojo kuwa derby ya yanga ni pale anapokutana na Azam lakin ukweli mnaujua kabisa ,Ni sawa na konde anavyojitutumua kwa diamond lakin ukweli unabak pale pale mondi Ni mkubwa kwa konde kwa statistics.

Huo ukubwa wa yanga upo kwenye kipengele kipi bwashee ,club bingwa mmetolewa mapema Sana kwa kupigwa nje na ndani ,kwenye rank za vilabu Bora bado yanga kaachwa mbali na Simba Sasa huo ukubwa Ni upi? Misimu minne Simba anabeba ndoo mbele ya yanga Tena mfululizo huo ukubwa Ni upi? Ifike mahali tuache ushabik wa kindez ukubwa hauji kwa game moja tu . Unachotaka kusema hapa Basi Namungo Ni kubwa kwa yanga màana anawasumbua Sana mnapokutana na juz kidogo mlie ,refa akatumia hekima ili kuepusha aibu.
Au mfano mwingine Simba huwa anasumbuliwa Sana na Ruvu shooting wanapokutana je hiyo ndio iwe hoja ya kuhalalisha kwamba ruvu Ni mkubwa kwa Simba?watu wa yanga ifike muda tuongee mpira na sio kujitutumua ili tu kulazimisha muonekane wakubwa mbele ya Simba. Kwa Sasa hata rais wa mpira Africa akiambiwa achukue timu kubwa moja kwa kila nchi je Kati ya Simba na yanga Nani atachukuliwa?

Daah mpira wa bongo unahitajika uwe umeshiba udaga kuuzungumzia yaan mtu unaona kabisa hii Ni moja lakin mwingine anakwambia hapana hii Ni Tisa[emoji23][emoji23][emoji23] yaan ukubwa wa timu unaonekana kwa kukutana timu na timu Bali si mjumuiko wa statistics. Toka usingizin acha porojo kubali no zinasema Nini huo ndio ukubwa sio game moja moja.
 
Ww kweli hauna akili, ebu kunywa maji mengi ili kichwa chako kipoe kwanza

Eti Yanga sio kubwa, haya mafanikio ya miaka minne yasikusahalishe ukubwa wa timu ya Yanga

Tumeshinda Derby nyingi zaidi za simba na Yanga
Tuna makombe mengi zaidi ya ligi kuu Tanzania Bara
Tumekufunga magoli mengi zaidi

Hizo bangi mnazovutia kwenye choo zinamadhara sana
Huo ukubwa wako unajulikana wapi? Ndio nyie washamba wa vijijin huko ,ukikaa na washamba wenzio unajiona mjanja kumbe hujafika mjini waliko wajanja ,ndicho anachokifanya yanga ,et Ni mkubwa kuliko Simba.
Ivi unadhan gsm angekuwa anaidhamin Simba angehangaika Tena kutaka kuwa mdhamin mwenza wa ligi? Target ya gsm Ni Simba baada ya kuona yanga kwasasa Hana ujanja wa kumtangaza gsm kimataifa .
Huu ukubwa wa yanga Ni kwenye kipi yaan ,ooh sisi tumechukua makombe mengi Mara tumekufunga Mara kibao hiyo ndio justification ya kukufanya uwe mkubwa ?
Kwahiyo caf wanawaonea nyie kuwa wa 386 kwa ubora huku Simba akiwa 105?

Daah ngoja tukuache na mahaba yako na timu yako ,endelea kuamin timu yako Ni kubwa kuliko simba
 
Huo ukubwa wako unajulikana wapi? Ndio nyie washamba wa vijijin huko ,ukikaa na washamba wenzio unajiona mjanja kumbe hujafika mjini waliko wajanja ,ndicho anachokifanya yanga ,et Ni mkubwa kuliko Simba.
Ivi unadhan gsm angekuwa anaidhamin Simba angehangaika Tena kutaka kuwa mdhamin mwenza wa ligi? Target ya gsm Ni Simba baada ya kuona yanga kwasasa Hana ujanja wa kumtangaza gsm kimataifa .
Huu ukubwa wa yanga Ni kwenye kipi yaan ,ooh sisi tumechukua makombe mengi Mara tumekufunga Mara kibao hiyo ndio justification ya kukufanya uwe mkubwa ?
Kwahiyo caf wanawaonea nyie kuwa wa 386 kwa ubora huku Simba akiwa 105?

Daah ngoja tukuache na mahaba yako na timu yako ,endelea kuamin timu yako Ni kubwa kuliko simba
Ukubwa wa timu yako wewe ni jini sasa?
 
We jamaa Ni kilaza wa kutukuka jamaa kakupa fact unaanza sijui unajiita timu kubwa.No hazidanganyi na hapa unapingana na no wazwaz ,point ya Simba na yanga Nan mkubwa kwa mwenzie ipo pale jamaa alipokupa mfano hai wa daimond ,konde na Ally kiba.

For sure yanga inatembelea upepo wa Simba ,Mara mje na porojo kuwa derby ya yanga ni pale anapokutana na Azam lakin ukweli mnaujua kabisa ,Ni sawa na konde anavyojitutumua kwa diamond lakin ukweli unabak pale pale mondi Ni mkubwa kwa konde kwa statistics.

Huo ukubwa wa yanga upo kwenye kipengele kipi bwashee ,club bingwa mmetolewa mapema Sana kwa kupigwa nje na ndani ,kwenye rank za vilabu Bora bado yanga kaachwa mbali na Simba Sasa huo ukubwa Ni upi? Misimu minne Simba anabeba ndoo mbele ya yanga Tena mfululizo huo ukubwa Ni upi? Ifike mahali tuache ushabik wa kindez ukubwa hauji kwa game moja tu . Unachotaka kusema hapa Basi Namungo Ni kubwa kwa yanga màana anawasumbua Sana mnapokutana na juz kidogo mlie ,refa akatumia hekima ili kuepusha aibu.
Au mfano mwingine Simba huwa anasumbuliwa Sana na Ruvu shooting wanapokutana je hiyo ndio iwe hoja ya kuhalalisha kwamba ruvu Ni mkubwa kwa Simba?watu wa yanga ifike muda tuongee mpira na sio kujitutumua ili tu kulazimisha muonekane wakubwa mbele ya Simba. Kwa Sasa hata rais wa mpira Africa akiambiwa achukue timu kubwa moja kwa kila nchi je Kati ya Simba na yanga Nani atachukuliwa?

Daah mpira wa bongo unahitajika uwe umeshiba udaga kuuzungumzia yaan mtu unaona kabisa hii Ni moja lakin mwingine anakwambia hapana hii Ni Tisa[emoji23][emoji23][emoji23] yaan ukubwa wa timu unaonekana kwa kukutana timu na timu Bali si mjumuiko wa statistics. Toka usingizin acha porojo kubali no zinasema Nini huo ndio ukubwa sio game moja moja.
Huo ukubwa wa simba upo wapi sasa wewe kolo?

Una kombe lolote la Mashindano ya Afrika?

Je una mzidi Yanga vikombe vya ligi kuu?

Mafanikio ya timu ni vikombe ww kolo wa kiume
 
MBUMBUMBU WAPUMBAVU KWELI KWELI....YANI HAYAKUBALI KAMA YAMEZIDIWA PUMBAVU SANA
 
Back
Top Bottom