Kwa takwimu hizi za Kariakoo Derby 11 Desemba 2021, nani kaupiga mwingi?

Kwa takwimu hizi za Kariakoo Derby 11 Desemba 2021, nani kaupiga mwingi?

MBUMBUMBU WAPUMBAVU KWELI KWELI....YANI HAYAKUBALI KAMA YAMEZIDIWA PUMBAVU SANA

Utopolo hebu kunywa maji ya baridi usije tufia hapa kwa stress.Maneno yalikuwa mengi kabla ya mechi,sasa hivi mmebaki kubweka hovyo na lugha zisizo na staha,na bado Ubingwa unakwenda Msimbazi.
 
We jamaa Ni kilaza wa kutukuka jamaa kakupa fact unaanza sijui unajiita timu kubwa.No hazidanganyi na hapa unapingana na no wazwaz ,point ya Simba na yanga Nan mkubwa kwa mwenzie ipo pale jamaa alipokupa mfano hai wa daimond ,konde na Ally kiba.

For sure yanga inatembelea upepo wa Simba ,Mara mje na porojo kuwa derby ya yanga ni pale anapokutana na Azam lakin ukweli mnaujua kabisa ,Ni sawa na konde anavyojitutumua kwa diamond lakin ukweli unabak pale pale mondi Ni mkubwa kwa konde kwa statistics.

Huo ukubwa wa yanga upo kwenye kipengele kipi bwashee ,club bingwa mmetolewa mapema Sana kwa kupigwa nje na ndani ,kwenye rank za vilabu Bora bado yanga kaachwa mbali na Simba Sasa huo ukubwa Ni upi? Misimu minne Simba anabeba ndoo mbele ya yanga Tena mfululizo huo ukubwa Ni upi? Ifike mahali tuache ushabik wa kindez ukubwa hauji kwa game moja tu . Unachotaka kusema hapa Basi Namungo Ni kubwa kwa yanga màana anawasumbua Sana mnapokutana na juz kidogo mlie ,refa akatumia hekima ili kuepusha aibu.
Au mfano mwingine Simba huwa anasumbuliwa Sana na Ruvu shooting wanapokutana je hiyo ndio iwe hoja ya kuhalalisha kwamba ruvu Ni mkubwa kwa Simba?watu wa yanga ifike muda tuongee mpira na sio kujitutumua ili tu kulazimisha muonekane wakubwa mbele ya Simba. Kwa Sasa hata rais wa mpira Africa akiambiwa achukue timu kubwa moja kwa kila nchi je Kati ya Simba na yanga Nani atachukuliwa?

Daah mpira wa bongo unahitajika uwe umeshiba udaga kuuzungumzia yaan mtu unaona kabisa hii Ni moja lakin mwingine anakwambia hapana hii Ni Tisa[emoji23][emoji23][emoji23] yaan ukubwa wa timu unaonekana kwa kukutana timu na timu Bali si mjumuiko wa statistics. Toka usingizin acha porojo kubali no zinasema Nini huo ndio ukubwa sio game moja moja.
Nimeamua nisiendelee tena kucomment baada ya kuona vitu hivi toka kwake:

Ball possession anasema ball position

Team kuwa Quarter finalist siyo jambo kubwa na wala si mafanikio, anasahau Simba ndiyo inazipigania nafasi 4 za ushiriki kwa nchi kwa Sasa.
 
Duuuh ushabik mandaz huu Ni shida ,yanga ipi wachezaji walikua wanajilaza kupoteza muda? Kipindi Cha pili chote yanga alizidiwa mbinu had wakawa naomba mpira uishe, possession hiyo Ni kupiga pass nyuma ili kupoza mashambuliz toka kwa Simba na kuwatega ili wawafuate alafu wapige counter lakin Simba akawa anamwacha tu yanga ahangaike na tupass twake huko langon kwake na baadae kujilete wenyew then wanashambuliwa hatar ,.
Ukweli una Uma nabi alizidiwa mbinu na Pablo ,Hilo halina mjadala kabisa .
foul anaongoza shimba
 
Dunia nzima wenye akili tunajua mechi ikiisha akasifiwa beki ujue hiyo timu walizidiwa. Sasa kama wanaoimbwa ni onyango inonga, means something must be wrong. Simba wameongoza kwa kufanya faulo na kupata kadi za njano tu. Nje na hapo wameshangilia kutoka mayele
Siyo Kutoka Mayele tu, Bali pia hiyo sare wamesherehekea mwanzo mwisho, huko ni kukiri Simba walizidiwa.
 
Tusidanganyane mkuu, team kubwa kwasasa Africa mashariki ni Simba tu, hii si kwa upendeleo bali namba zinasema hivyo. Simba ipo miongoni mwa team kubwa 20 kama sy 15 Africa, inashiriki mashindano makubwa Africa kwa Sasa katika hatua ya makundi ( sijataja takwimu za misimu 3 nyuma katika mashindano haya), inazingumziwa na na waandishi mbalimbali Africa, ni miongoni mwa team chache ambazo hazikuanzia hatua ya mtoano club bingwa mwaka huu ( Hili si jambo la kubeza). Ni team pekee yenye fan base inayokuwa kwa kasi sana kwenye social media ikiwa kwa upande wa Africa ( takwimu zipo).

Team kubwa ina malengo makubwa kisoka, Simba kwasasa kwa level waliyofikia malengo yao si kuifunga Yanga, bali kuwa bora Africa na kufika mbali katika mashindano ya Africa kitu ambacho kinaisaidia team, kutengeneza wigo mpana wa mapato. Kama ilivyo kwa Harmonize au Ali Kiba kutembea na nyota ya Diamond, ndivyo Yanga anavyotembea na nyota ya Simba kwasasa.

Yanga ni team kongwe, lakini kwa nyakati hizi si team kubwa kama mashabiki wanavyoamini ni Sawa umchukue TID na Diamond, TID ni msanii mkongwe lakini si mkubwa, ukitaka uamini hilo angalia ushiriki wao katika mashindano ya kimataifa.

Huu ndy ukweli mchungu!
Timu kubwa INAONGOZWA kwenye ligi?
 
Ww kweli hauna akili, ebu kunywa maji mengi ili kichwa chako kipoe kwanza

Eti Yanga sio kubwa, haya mafanikio ya miaka minne yasikusahalishe ukubwa wa timu ya Yanga

Tumeshinda Derby nyingi zaidi za simba na Yanga
Tuna makombe mengi zaidi ya ligi kuu Tanzania Bara
Tumekufunga magoli mengi zaidi

Hizo bangi mnazovutia kwenye choo zinamadhara sana
Huyu haelewi. Simba na Yanga ULIKUWA mchezo wao wa 107. Yanga ameshinda mara 38, Simba Mara 33, sare 36. Yanga kamfunga Simba magoli 151, Simba kamfunga Yanga magoli 136. Yanga kachukua ubingwa wa ligi Mara 27, Simba mara 22. Sasa ukubwa wa Simba nu upi?
 
Huyu haelewi. Simba na Yanga ULIKUWA mchezo wao wa 107. Yanga ameshinda mara 38, Simba Mara 33, sare 36. Yanga kamfunga Simba magoli 151, Simba kamfunga Yanga magoli 136. Yanga kachukua ubingwa wa ligi Mara 27, Simba mara 22. Sasa ukubwa wa Simba nu upi?
Hizi statics hawazitaki
 
Hapa hakuna muafaka. Simba ilicheza sana sasa mnataka waache kwani kazi za mabeki ni nini?.kila mtu aipambe timu yake..
 
Back
Top Bottom