Kwa takwimu hizi za Kariakoo Derby 11 Desemba 2021, nani kaupiga mwingi?

Kwa takwimu hizi za Kariakoo Derby 11 Desemba 2021, nani kaupiga mwingi?

Dunia nzima wenye akili tunajua mechi ikiisha akasifiwa beki ujue hiyo timu walizidiwa. Sasa kama wanaoimbwa ni onyango inonga, means something must be wrong. Simba wameongoza kwa kufanya faulo na kupata kadi za njano tu. Nje na hapo wameshangilia kutoka mayele
Shots on target na shots off target ndio zitakupa jibu
 
Yanga Jana Wachezaji Wamekuwa Na Ujanjaujanja Wa Kuanguka Halafu Refa Alitakiwa Aongeze Dakika Hata Kumi
 
Timu ya simba imejaa wavunja kuni watupu ukitaka kulijua hilo angalia hizo fouls, shots off target na Yellow cards
 
Humu kweli Kuna vilaza wa soka !!yani mtu anafikiri beki wakisifiwa maana yake kwamba timu yake ilizidiwa .

Timu yako inaweza kucheza vizuri na ikawashambulia mara nyingi na kusababisha hatari kwa wapinzani,

ila mabeki wako wanapoweza kuwadhibiti washambuliaji wa timu pinzani mara chache wanazofika golini kwako ndipo hapo wanasifiwa kwa ule udhibiti wao kua wamecheza vizuri.

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Timu ya simba imejaa wavunja kuni watupu ukitaka kulijua hilo angalia hizo fouls, shots off target na Yellow cards
Tukiondoa ushabiki maandazi pembeni.Simba ilikua ikisemwa sana kwa kutokua aggressive wanapocheza na Yanga.

Nafikiri waliamua jana kua aggressive na hizo namba of fouls unazoziona nafikiri ilisaidia kwasababu kama takwimu zinavyoonesha Yanga hakua tishio kama ilivyotarajiwa.

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Hizo on na off target za simba nyingi hazikua na madhara yoyote. Umaliziaji ulikua mbovu kinoma, dogo morrison analianzisha upande wake anawafikishia karibu na lango ila ni kama mabwenyenye tu wanapiga viahuti mtoto, mara wapige nje.
 
Dunia nzima wenye akili tunajua mechi ikiisha akasifiwa beki ujue hiyo timu walizidiwa. Sasa kama wanaoimbwa ni onyango inonga, means something must be wrong. Simba wameongoza kwa kufanya faulo na kupata kadi za njano tu. Nje na hapo wameshangilia kutoka mayele
Beki anakuwa sio sehemu ya timu? Kama ndivyo basi.
 
Tukiondoa ushabiki maandazi pembeni.Simba ilikua ikisemwa sana kwa kutokua aggressive wanapocheza na Yanga.

Nafikiri waliamua jana kua aggressive na hizo namba of fouls unazoziona nafikiri ilisaidia kwasababu kama takwimu zinavyoonesha Yanga hakua tishio kama ilivyotarajiwa.

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni mindset ya timu ndogo ambazo huwa zinakuja kucheza na Simba na Yanga ndio huwa wanacheza fouls nyingi na kukamia mechi

Ila timu kubwa siku zote itamiliki mpira vizuri na mchezo walocheza simba utauona kwa Namungo, prison and e. t. c
 
Duuuh ushabik mandaz huu Ni shida ,yanga ipi wachezaji walikua wanajilaza kupoteza muda? Kipindi Cha pili chote yanga alizidiwa mbinu had wakawa naomba mpira uishe, possession hiyo Ni kupiga pass nyuma ili kupoza mashambuliz toka kwa Simba na kuwatega ili wawafuate alafu wapige counter lakin Simba akawa anamwacha tu yanga ahangaike na tupass twake huko langon kwake na baadae kujilete wenyew then wanashambuliwa hatar ,.
Ukweli una Uma nabi alizidiwa mbinu na Pablo ,Hilo halina mjadala kabisa .
Game ya sare hakunaga aliyezidiwa mbinu.

Labda kama Simba SC alikuwa na shida na sare!
 
Dunia nzima wenye akili tunajua mechi ikiisha akasifiwa beki ujue hiyo timu walizidiwa. Sasa kama wanaoimbwa ni onyango inonga, means something must be wrong. Simba wameongoza kwa kufanya faulo na kupata kadi za njano tu. Nje na hapo wameshangilia kutoka mayele
Angalia nani ana shoots on goal nyingi, ndy utapata jibu lako.
 
Tusidanganyane mkuu, team kubwa kwasasa Africa mashariki ni Simba tu, hii si kwa upendeleo bali namba zinasema hivyo. Simba ipo miongoni mwa team kubwa 20 kama sy 15 Africa, inashiriki mashindano makubwa Africa kwa Sasa katika hatua ya makundi ( sijataja takwimu za misimu 3 nyuma katika mashindano haya), inazingumziwa na na waandishi mbalimbali Africa, ni miongoni mwa team chache ambazo hazikuanzia hatua ya mtoano club bingwa mwaka huu ( Hili si jambo la kubeza). Ni team pekee yenye fan base inayokuwa kwa kasi sana kwenye social media ikiwa kwa upande wa Africa ( takwimu zipo).

Team kubwa ina malengo makubwa kisoka, Simba kwasasa kwa level waliyofikia malengo yao si kuifunga Yanga, bali kuwa bora Africa na kufika mbali katika mashindano ya Africa kitu ambacho kinaisaidia team, kutengeneza wigo mpana wa mapato. Kama ilivyo kwa Harmonize au Ali Kiba kutembea na nyota ya Diamond, ndivyo Yanga anavyotembea na nyota ya Simba kwasasa.

Yanga ni team kongwe, lakini kwa nyakati hizi si team kubwa kama mashabiki wanavyoamini ni Sawa umchukue TID na Diamond, TID ni msanii mkongwe lakini si mkubwa, ukitaka uamini hilo angalia ushiriki wao katika mashindano ya kimataifa.

Huu ndy ukweli mchungu!
Hiyo ni mindset ya timu ndogo ambazo huwa zinakuja kucheza na Simba na Yanga ndio huwa wanacheza fouls nyingi na kukamia mechi

Ila timu kubwa siku zote itamiliki mpira vizuri na mchezo walocheza simba utauona kwa Namungo, prison and e. t. c
 
Tusidanganyane mkuu, team kubwa kwasasa Africa mashariki ni Simba tu, hii si kwa upendeleo bali namba zinasema hivyo. Simba ipo miongoni mwa team kubwa 20 kama sy 15 Africa, inashiriki mashindano makubwa Africa kwa Sasa katika hatua ya makundi ( sijataja takwimu za misimu 3 nyuma katika mashindano haya), inazingumziwa na na waandishi mbalimbali Africa, ni miongoni mwa team chache ambazo hazikuanzia hatua ya mtoano club bingwa mwaka huu ( Hili si jambo la kubeza).

Team kubwa ina malengo makubwa kisoka, Simba kwasasa kwa level waliyofikia malengo yao si kuifunga Yanga, bali kuwa bora Africa na kufika mbali katika mashindano ya Africa kitu ambacho kinaisaidia team, kutengeneza wigo mpana wa mapato. Kama ilivyo kwa Harmonize au Ali Kiba kutembea na nyota ya Diamond, ndivyo Yanga anavyotembea na nyota ya Simba kwasasa.

Yanga ni team kongwe, lakini kwa nyakati hizi si team kubwa kama mashabiki wanavyoamini ni Sawa umchukue TID na Diamond, TID ni msanii mkongwe lakini si mkubwa, ukitaka uamini hilo angalia ushiriki wao katika mashindano ya kimataifa.

Huu ndy ukweli mchungu!
Mkuu Nakukumbusha tu, ila tunazungumzia mechi ya jana na inabidi utoe maoni kutokana na takwimu za mchezo wa jana
 
Mkuu Nakukumbusha tu, ila tunazungumzia mechi ya jana na inabidi utoe maoni kutokana na takwimu za mchezo wa jana
Wewe umeifananisha na kuiweka Simba katika daraja Sawa na Namungo kitu ambacho siyo Sawa na kuipandisha Yanga katika daraja la juu kama team kubwa ( rejea comment yako). Kwahy nilichofanya mimi ni kukuamsha toka usingizini na kukumbusha kwa facts kwamba unachosema kinakinzana na Facts & Stats!
 
Wewe umeifananisha na kuiweka Simba katika daraja Sawa na Namungo kitu ambacho siyo Sawa na kuipandisha Yanga katika daraja la juu kama team kubwa ( rejea comment yako). Kwahy nilichofanya mimi ni kukuamsha toka usingizini na kukumbusha kwa facts kwamba unachosema kinakinzana na Facts & Stats!
Unajiita Timu kubwa halafu unaingia uwanjani kwa approach zinazotumia timu ndogo, unacheza fouls nyingi, kadi za njano nyingi

Mkuu Nakukumbusha tena tunachambua mechi kwa kupitia takwimu za jana, na kupitia takwimu hizo basi na ww ndio uchambue hiyo game
 
Agiza mirinda ya watoto na wagonjwa nakuja kulipia mkuu. Huu ni ukweli yaani Simba walijiandaa kupambana na Mayele
Huyo Mayele aliyekuwa akihangaika kuhama position kila mara akidhani atakutana na beki mwenye nafuu. Hakuna alichokifanya cha maana Mayele zaidi kila akipigiwa pasi basi inafikia miguuni mwa mabeki wa Simba wana lunyasi.
 
Yani tabu sana. Mfano kuna Makolo wanasema Mayele natuliza leo. Wanasahau kuwa Onyango alilazimika kucheza madhambi.....tena baada ya kupigwa bonge la tobo....na alikuwa anaachwa vibaya
Baada ya Onyango kuachwa unataka kudanganya umma kwamba hapakuwa na beki mwingine sio?Hapakuwa na athari yoyote kwa Mayele hata angefanikiwa kupita manake Varane alikuwepo tayari.
 
Back
Top Bottom