Kwa Tanzania/Dunia ya leo Katiba kuruhusu Darasa la Saba kuwa Mbunge ni aibu kwa Taifa

Itategemeana na uwezo wako wa kuelewa
 
Tz ni nchi ya ajabu sana. Mtu kama Msukuma & Lusinde wanasifa ya kuwa wabunge lakini hawana sifa za kuwa wenyeviti wa kamati ya shule!!! Hivi unajua kama sifa mojawapo ya kuwa mwenyekiti wa kamati ya shule ni kuhitimu kidato cha 4? Sasa kama kigezo chako sometimes Msukuma anaongea point kuliko Kalamagamba basi hata Wehu pia sometimes huwa wanakuwa poa ndiyo maana huwa wanakula na kunywa maji nao tuwape ubunge?
 
Basi ili lifanyike kisheria kwamba huyo mbunge wa darasa la saba lazima awe na wataalamu wenye ubobezi na elimu zaidi yake ili wamsaidie

Je hao wabunge wanafanya hivyo?
Bila hata kisheria,kila mbunge ana karibu yupo permanent kwenye ofisi ya mbunge
 
Umeshaanza kwa dharau japo unatuaminisha kua hujadharau elimu ya wengine,elimu yenyewe hii unayosema iloyojaa misingi ya kigeni isiyo msaidia mTanzania? Ktk nchi za kiafrika huoni wasio na elimu ndiyo wanaoweza kuendesha mambo kwa uzuri na kufuata misingi ya kiafrika, kila mwenye shule huko bungeni huwaoni wanaochemka na PHD zao?

Bure kabisa wewe
 
Usimshangae huyu..hawa ni wale walioenda vyuoni na baada ya hapo wanazurula na vyeti kwenye makampuni ya watu ambao hawakusoma
 
wengi wanashindwa kutofautisha kati ya elim na akili, elim ni bora bt akili ni bora zaidi coz elim inatokana na akili, hivo tusiwachukulie poa ambao hawakwenda shule coz wana miliki akili ambayo ndo chanzo cha elim inayotufanya tuwaone wajinga.
 
Basi aende Kenya au Uganda akaonyeshe logic yake! Naunga mkono hoja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…