Kwa Tanzania; Kama Mwanamke hajawahi fika Ukanda wa Pwani ni hakika Hajui Kupika chakula kitamu

Kujua kupika ndio kukoje

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
  1. Kujua matumizi sahh ya viungo (kujua aina za spices, matumizi yake na jinsi ya kuvibalance).
  2. kujua kiwango sahh Cha joto linalotakiwa kuivishia chakula ili kisipoteze Radha, kujua mchanganyiko sahh wa vitu vinavyoitajika wakati wa upishi(mbali na viungo)
  3. kujua aina mbali mbali za vyakula na namna ya kuvipika na namna ya kuviandaa. Nk
Hapo sijazungumzia nje ya jiko maana upishi hauishi jikon tu.
Kama Kanda ya ziwa wengi hawajui kupika wanajua kuchemsha tu
 
Nakuunga mkono gwiji, ni majority hasa wale waliokulia maisha ya kawaida sio wale waliokua wanpikiwa na house girls
 
Kwa hilo hujakosea Tycoon wa Fasihi
 
Mfano wakelewe viazi vinapikwa na maganda yake

Msukuma ukimpatia dagaa huo mchuzi sasa hauna hata ushirikiano na hakunaga dagaa tamu zenye mchuzi

Kanda ziwa nzima hakuna wataalamu wa kupika wali uliochambuka kama huamini tembelea vimigahawa vya kijijini ujionee wali kama ugali

Hivyo vyakula vyote nilivyovisema vipo kanda ya ziwa enzi na enzi

Wasukuma wanachojua ni mrenda tu labda na maharage kidogo kwa vile wanayawekea karanga
 
Upo sahihi kupika nilifunzwa na Dada wa kidigo wakati tuna soma Tanga likizo naenda kwao mie kwetu bara hukoo!
 
Nakubaliana na ww kabsa pwani na watu wa mwambao huo kwel wanajua kupika na sio tu wanajua kupika wanajua pangilia viungo.
Katika mboga nisiyo ipenda ni dagaa ila wacha sku moja nmekutana na dagaa imepikwa na binti wa tanga wacha bana dagaa imewekwa nazi,royco sjui vingne viungo gan dagaa tamu nzuri
Uzuri na utamu wa chakula ni viungo na watu wa pwani ilo wanaliweza huwezilinganisha na watu wa kanda ya Ziwa ambako nmetoka uku kiungo ni Nyanya na kitunguu bas

Tz bana kla mkoa inasifa zake ilo halina ubishi watu wa mwambao wa pwani wanajua kupika iyo ndo moja ya sifa yao
Watu wa mara wanaaminika ni wakorofi ndio ata tanga wapo wakorofi ila sifa ya ukorofi iko Mara
 
Wanawake wa kanda ya ziwa ugali unasongwa na rungu
 
Aisee, huu mwaka tutasikia mambo mengi, watu wana stress ya kupanda bei bidhaa na mafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…