Ila bado sielewi Mwijaku ni Msanii wa aina gani jambo la ajabu ana wafuasi wa kutoshaSauv at least hii tasnia ina digital comedian ....maaja tz sijui nani aliwaambia kua kua uchekeshe ni uvae mavazi ya kike mara kuvaa mataputapu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu wapo tu mtandaoni na hiyo ndio impact ya utandawaziIla bado sielewi Mwijaku ni Msanii wa aina gani jambo la ajabu ana wafuasi wa kutosha
Hilo lisikushangaze sana mkuu....imagine mtu ni wa Yanga ila ka follow page ya simba ....lengo ni nini haswa??Ila bado sielewi Mwijaku ni Msanii wa aina gani jambo la ajabu ana wafuasi wa kutosha
Hii avatar yako tamu sana, huwa unabadilisha mara kwa mara lakini hii kwangu huwa inanivutia sana,hebu ni PM kwanza Coca[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Em sema kweli?? Nshakuja tayariii!!Hii avatar yako tamu sana, huwa unabadilisha mara kwa mara lakini hii kwangu huwa inanivutia sana,hebu ni PM kwanza Coca