Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Yaani tumezoea shidaHaya sasa yashazoeleka.
Acha wakwibe tu.
Wananchi tujitahidini kuwa wazalendo kwa kulipa kodi.
Mengine tumuachie Mungu
Tutafute pesa tuNdo maana watu wanatembelea ma prado new model tuu mtaani 😎
Hii tofauti ni kubwa sana hata kama huu uwanja (Mkapa) ulijengwa miaka 20 ilyopita..Ni zaidi ya miaka 15 ishapita tangu uwanja wa Mkapa ujengwe lakini tofauti ni kubwa sana mbali na kwamba Uwanja wa Samia ni nusu ya Uwanja wa Mkapa
Hii inaonesha na ni ushahidi piq kuwa mambo mengi yamebadilika na gharama za maisha zimepanda pia hivyo kuna haja ya watumishi kuangaliwa maslahi yao pia
Ingawa pia inawezekana ubora wa uwanja wa Samia uko juu zaidi lakini si kwa Tofauti hii ni lazima gharama za maisha zimebadilika au kuna harufu ya upigaji .View attachment 2941817
Ndio maana anasema ikiwa kila kitu kimepanda bei, basi maslahi ya wafanyakazi yaangaliwe upya!Wengi wanaolalamikia gharama za huu uwanja wanatumia hisia kuliko factual analysis. 15 years ni muda mrefu kwa teknolojia, standard za uwanja kubadilika.
Mfano, Uwanja Mpya wa Alasaine Ouattara, umejengwa kwa Bilion takribani 600. Hiki ni 60,000 seaters vs Arusha 30,000 seaters. Na kwa kuwa vyote ni AFCON Modern Standards, it's logical hicho cha Arusha, kucost about half of alasaine's.
Kama kuna ongezeko la gharama za maisha basi na watumishi wote hayo maongezeko yawe yanaonekanaHii tofauti ni kubwa sana hata kama huu uwanja (Mkapa) ulijengwa miaka 20 ilyopita..
Ingekuwa unagharimu kati ya 100 na 150b ingeweza kueleweka kwa kigezo cha thamani ya fedha yetu kwa kipimo cha dola ya Marekani kushuka sana..
Lakini kwa gharama hii, I doubt kuwa kuna kuongezwa kwa gharama hapa kama walivyofanya kwenye reli ya SGR..
That's a different case, na uko sahihi!Ndio maana anasema ikiwa kila kitu kimepanda bei, basi maslahi ya wafanyakazi yaangaliwe upya!
Mimi si mfanyakazi, sitaweza kulijibia hili. Nilikua nachip-in kwenye hoja yake.That's a different case, na uko sahihi!
By the way, maslahi hayo leo yako sawa na yalivyokua 15 yrs ago?
Kwenye mipango yao wanasema gharama zimeongezeka ila kwa maslahi ya Wananchi wanasema Pigeni kazi hakuna mwaka maisha yamekuwa rahisi.Ni zaidi ya miaka 15 ishapita tangu uwanja wa Mkapa ujengwe lakini tofauti ni kubwa sana mbali na kwamba Uwanja wa Samia ni nusu ya Uwanja wa Mkapa
Hii inaonesha na ni ushahidi piq kuwa mambo mengi yamebadilika na gharama za maisha zimepanda pia hivyo kuna haja ya watumishi kuangaliwa maslahi yao pia
Ingawa pia inawezekana ubora wa uwanja wa Samia uko juu zaidi lakini si kwa Tofauti hii ni lazima gharama za maisha zimebadilika au kuna harufu ya upigaji .View attachment 2941817