mr jay4
Member
- Dec 17, 2019
- 19
- 48
Sasa apa ndio toka nasoma comenti ndio nimepaelewa please ndugu unaweza tupa zaidi hizo tv nch 32 kwa bei hizo au chini ya hapo tuna toa wap yani machimbo ya hizo tvFanya miamala mdg angu au njoo nunua tv hz za inch 32 kwa laki 180 ukauziee huko wasukuma kwa 250000 ukiwa na tv kumi na tufivaaa vya umeme kdg na tili la mpesa hapohapo utatokaa vzr tu Wala usinunue hayo magari Sasa hv
Nicheki nikupe muongozoo