Kwa Tsh. Milioni 5 nifungue Uwakala wa Benki ama ninunue Toyota Probox niipeleke ruti za vijijini?

Kwa Tsh. Milioni 5 nifungue Uwakala wa Benki ama ninunue Toyota Probox niipeleke ruti za vijijini?

fanya hivi milioni tatu wekeza UTT mfuko wa bond fund.

milioni Moja fanya biashara yoyote yenye low risk kama chips,kuuza matunda.

Laki tano weka kwenye forex broker wa kawaida kama oanda,exness,deriv hii ni to risk lakini unaweza poteza pesa Yako au kupata high return.

Laki tano Tena nunua forex pro firm challenge ya Dola 25,000 hapa nayo to risk ila ukipass challenge unaweza kula mema ya Dunia.

hapo nimefanya diversification ya milioni 5.

ikitokea mambo yameenda vizuri capital ikapanda Hadi 12 milioni.. unaweza yote UTT mfuko wa BOND hapo pesa Yako itakuwa free risk utakuwa unakula interest ya 120,000 kwa mwezi kwa maisha yako yote, na pesa Yako ikiwa safe.unaweza pia ukafanya reinvestment ukawa unachukuwa riba unayopokea kwa mwezi unairudisha Tena kwenye mfuko wa BOND, so itakuwa return inaongezeka taratibu kwa miaka mitano mbele utakuwa umefika mbali sana.. hii ndio nguvu ya passive income kama muhandishi mashuhuru kiyosaki anavotushauri.

Na ikitokea mambo yameenda vibaya utapoteza milioni mbili tu, na milioni tatu itakuwa safe maana itakuwa UTT.





Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Utt bond unanunua wapi na procedures ni zipi ? Risks zipoje?
 
Fanya research movie studio,siyo biashara ya mtaji mkubwa sana lakini ina hela. Kuingiza movies,nyimbo ukajiongeza na memory card,flas (usb sticks).
 
Wasalaam.

Title yajieleza. Tsh 5M nataka kuizalisha.

Nawaza hizo ideas mbili, aidha (a) Kufungua Uwakala wa Bank ama (b) Kununua Toyota probox (mkononi mwa mtu) na kuipeleka route za vijijini.

Location: Ndani ya Mkoa wa Geita.

NB: Ideas hizo zote mbili ni mgeni nazo, sijawahi kuzifanya kabla.

Ushauri wenu wazoefu.
Nielekeze wanapouza probox ml 5...nije ninunue...

Hiyo itakuwa probox kweli!? Ama BOX mkuu!?
 
Hilii swala nimekuwa nikijiuliza sana, hivi unakuwaje mkoa ambao bado ndio unachipukia ukawa na wizi na matukio ya kikatili kuliko majiji makubwa?

Na hii hali imekuja kuongezeka kuanzia mwaka 2021.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nashangaa kuhusu hali ya usalama mkoani Geita,hapiti wiki bila tukio la kikatili kutokea. RPC yule mama ajitathmini.
 
Nunua ng’ombe mbili za maziwa zenye mimba kwa milion 2@ halafu 1M tengenezea banda la kuwatunzia kww kuanzia majani utakata mwenyewe.
 
Wasalaam.

Title yajieleza. Tsh 5M nataka kuizalisha.

Nawaza hizo ideas mbili, aidha (a) Kufungua Uwakala wa Bank ama (b) Kununua Toyota probox (mkononi mwa mtu) na kuipeleka route za vijijini.

Location: Ndani ya Mkoa wa Geita.

NB: Ideas hizo zote mbili ni mgeni nazo, sijawahi kuzifanya kabla.

Ushauri wenu wazoefu.
mkuu Kayanda ulifanikiwa kuanzisha business yako ?
 
Back
Top Bottom