Kwa tuhuma za Kabendera, ni wazi kuwa waliomtolea Nape bastola na kumpiga risasi Lisu walitumwa

Kwa tuhuma za Kabendera, ni wazi kuwa waliomtolea Nape bastola na kumpiga risasi Lisu walitumwa

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kipindi cha JPM palikuwa na wababe wa utekaji, uuaji na uporaji.

Ni ktk awamu hii ambapo tulishuhudia utamaduni mpya ukiibuka hapa nchini wa viongozi kutishiwa na bastola mchana kweupe na wengine kushambuliwa na bunduki.

Waliyo yafanya haya bila shaka ni wale wahuni ambao Erick Kabendera ametufumbua macho kuwa walikuwa wanamilikiwa na JPM.

Makonda kwa mfano aliyekuwa swahiba mkubwa wa JPM, aliweza kuvamia Clouds pasipo kujali uwepo wa CCTV camera na genge la wahuni (ambao bila shaka ndiyo wale Kabendera ametudokeza kuwa walimilikiwa na JPM.)

Lisu alishambuliwa kwa risasi mchana kweupe tena kwenye nyumba za serikali zenye CCTV camera na walinzi kibao. Lkn hadi hivi leo hakuna kesi wala mtu aliyekamatwa kama mshukiwa. Haya yaliwezekana yamkini kwasabb wahuni hawa walimilikiwa na rais (JPM).

Nape Nnauye aliitisha press aongee na watanzania. Akajitokeza hayawani mmoja akachomoa bastola ili kumzuia Nape asitimize wajibu wake wa kikatiba. JPM Mungu anamuona.

Nafahamu serikali imeanza kuchunguza waliozushiwa kesi za uhujumu uchumi ili warejeshewe fedha zao za "plea bargaining". Nashauri serikali pia ichunguze mauaji, utekaji na uporaji bila kusahau tukio la Lisu kushambuliwa na risasi.

JPM alikusudia kuiharibu nchi hii bila huruma..
 
Kipindi cha JPM palikuwa na wababe wa utekaji, uuaji na uporaji.

Ni ktk awamu hii ambapo tulishuhudia utamaduni mpya ukiibuka hapa nchini wa viongozi kutishiwa na bastola mchana kweupe na wengine kushambuliwa na bunduki.

Waliyo yafanya haya bila shaka ni wale wahuni ambao Erick Kabendera ametufumbua macho kuwa walikuwa wanamilikiwa na JPM.

Makonda kwa mfano aliyekuwa swahiba mkubwa wa JPM, aliweza kuvamia Clouds pasipo kujali uwepo wa CCTV camera na genge la wahuni (ambao bila shaka ndiyo wale Kabendera ametudokeza kuwa walimilikiwa na JPM.)

Lisu alishambuliwa kwa risasi mchana kweupe tena kwenye nyumba za serikali zenye CCTV camera na walinzi kibao. Lkn hadi hivi leo hakuna kesi wala mtu aliyekamatwa kama mshukiwa. Haya yaliwezekana yamkini kwasabb wahuni hawa walimilikiwa na rais (JPM).

Nape Nnauye aliitisha press aongee na watanzania. Akajitokeza hayawani mmoja akachomoa bastola ili kumzuia Nape asitimize wajibu wake wa kikatiba. JPM Mungu anamuona.

Nafahamu serikali imeanza kuchunguza waliozushiwa kesi za uhujumu uchumi ili warejeshewe fedha zao za "plea bargaining". Nashauri serikali pia ichunguze mauaji, utekaji na uporaji bila kusahau tukio la Lisu kushambuliwa na risasi.

JPM alikusudia kuiharibu nchi hii bila huruma..


Mkuu kwani leo ndio unajua hilo?
 
Kipindi cha JPM palikuwa na wababe wa utekaji, uuaji na uporaji.

Ni ktk awamu hii ambapo tulishuhudia utamaduni mpya ukiibuka hapa nchini wa viongozi kutishiwa na bastola mchana kweupe na wengine kushambuliwa na bunduki.

Waliyo yafanya haya bila shaka ni wale wahuni ambao Erick Kabendera ametufumbua macho kuwa walikuwa wanamilikiwa na JPM.

Makonda kwa mfano aliyekuwa swahiba mkubwa wa JPM, aliweza kuvamia Clouds pasipo kujali uwepo wa CCTV camera na genge la wahuni (ambao bila shaka ndiyo wale Kabendera ametudokeza kuwa walimilikiwa na JPM.)

Lisu alishambuliwa kwa risasi mchana kweupe tena kwenye nyumba za serikali zenye CCTV camera na walinzi kibao. Lkn hadi hivi leo hakuna kesi wala mtu aliyekamatwa kama mshukiwa. Haya yaliwezekana yamkini kwasabb wahuni hawa walimilikiwa na rais (JPM).

Nape Nnauye aliitisha press aongee na watanzania. Akajitokeza hayawani mmoja akachomoa bastola ili kumzuia Nape asitimize wajibu wake wa kikatiba. JPM Mungu anamuona.

Nafahamu serikali imeanza kuchunguza waliozushiwa kesi za uhujumu uchumi ili warejeshewe fedha zao za "plea bargaining". Nashauri serikali pia ichunguze mauaji, utekaji na uporaji bila kusahau tukio la Lisu kushambuliwa na risasi.

JPM alikusudia kuiharibu nchi hii bila huruma..
Mbona iko wazi sana !
 
..halafu walipomalizana naye wakamtupa maeneo ya jirani na wizara ya mambo ya ndani na makao makuu ya jeshi la polisi.
Uchezaji filamu ulikuwa wa kiwango cha chini sana.Kama movies za kihindi miaka ya sabini(1970's).Ikirushwa ngumi unasikia sauti ya kuchekesha...kadiiishhhh..kabuumbuuuum...giiiii!😂😂😂😂
 
Alizungukwa na waganga njaa ambao walimfanya ajione Mungu, walimdanganya kuwa hapaswi hata kusemwa vibaya au kukosolewa. Hao waganga njaa walifanya kila linalowezekana kumtenganisha na watu wenye akili na wenye uwezo wa kusema ukweli.

Hakuna kitu kibaya kwa Rais wa Nchi kama kuzungukwa na waganga njaa, usipokuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri na kupima unayoambiwa, utajiona Mungu mdogo.
 
Serikali hii iwarudishie haki zao wooote walonyanyaswa ikiwamo gharama zooote za matibabu ya Tundu Lissu aliyshambuliwa akiwa kazini na kiongozi wake supwika nduguyai kulifumbia macho jambo hilo ovu
 
Maneno ya kabendela nita yaamini nikiona ushahidi usio kua na shaka katika kile alicho kiandika tofauti na hapo ni chai isiyokua na sukari 🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
 
Serikali hii iwarudishie haki zao wooote walonyanyaswa ikiwamo gharama zooote za matibabu ya Tundu Lissu aliyshambuliwa akiwa kazini na kiongozi wake supwika nduguyai kulifumbia macho jambo hilo ovu
qRI8Gs7.gif
 
Back
Top Bottom