Well saidMungu wa wakristo haangalii wingi wa watu
Ndo maana israel ni kinchi kidogo ila kilwapiga mataifa 7 ya waarabu
Wakati mungu wenu allah anasubiria muwe wengi ndo aonyeshe nguvu zake
Mungu wa wakristo hata wakiwa wachache anaonekana as long unamwamini
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
NAKAZIANa mtumishi huyo ni Mwl Mwakasege.
A true man of God.
Mungu haangalii Dini zetu Bali Imani.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen
Itoshe kusema kuwaNi meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Niseme wewe ni msengelema ulikubuhuNi meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Uounguze ujuaji wewe kima."Mama Imani Yako Itakuponya"
Hiki ndicho kitu cha kushikilia.
Tumuombe sana MUNGU atupe Imani.
Haya masuala ya dini hii sijui dini ile huwa sizingatii sana maana yanawafanya watu kubaguana.
Imani ndio mpango mzima.
Hayajakukuta unadhani haya unayoandika huyu hayajuiNi meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Ungesoma mpaka mwisho atleast tusingejua Kama wewe ni mwehu! Jitahid kupunguza stress na kutuliza akili kidogo ili ku maintain heshima yako!Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Kula tano [emoji2936][emoji2935]Mungu wa wakristo haangalii wingi wa watu
Ndo maana israel ni kinchi kidogo ila kilwapiga mataifa 7 ya waarabu
Wakati mungu wenu allah anasubiria muwe wengi ndo aonyeshe nguvu zake
Mungu wa wakristo hata wakiwa wachache anaonekana as long unamwamini
Wakiwa wengi una faidika nini?Uingereza Ukristo unapukutika huko. Uislam unatanda.
Uingereza sio tena nchi ya Wakristo walio wengi
Tofauti na India, ambayo hutokea kuwa nchi ya kidunia, Uingereza ina dini rasmi ambayo ni Ukristo. Sasa, kulingana na takwimu za sensa za hivi karibuni zilizotolewa na Ofisi ya Takwimu za Kitaifa, Uingereza sio tena taifa la Wakristo wengi. Wito unatolewa ili kukomesha uwepo wa kanisa hilo katika bunge la nchi hiyo na taasisi za elimu.
Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2021, idadi ya watu wanaojitambulisha kama Wakristo nchini Uingereza na Wales imeshuka chini ya asilimia 50 na kwa sasa iko chini ya asilimia 46.2 kutoka asilimia 59.3 mwaka 2011. Kumekuwa na kupungua kwa milioni 5.5 kutoka sensa ya mwaka 2011, ambayo inamaanisha kupungua kwa 13.1%.
Waislamu - Wengi wapya
Kwa mujibu wa sensa, kumekuwa na ongezeko la idadi ya Waislamu. Waislamu nchini Uingereza wameongezeka kutoka asilimia 4.9 hadi 6.5. Idadi hiyo imeongezeka kutoka milioni 2.7 mwaka 2011 hadi milioni 3.9 mwaka 2021.
Kabla ya kuchanganyikiwa, wacha niweke nambari wazi. Idadi ya Waislamu imeongezeka kwa asilimia 44 katika kipindi cha muongo mmoja. Wakati miji mikubwa kama Leicester, Luton na Birmingham imebadilishwa kuwa ghettos wachache. Na juu ya yote, Urdu imekuwa lugha ya sita ya kawaida inayozungumzwa nchini Uingereza. Wakati idadi ya Wahindu inakaa kwa milioni moja tu na kuna lakh Sikhs 5.34 nchini.
Soma zaidi: The coming future will witness the rise of the Islamic State of Britain
Alafu kinatokea nini baada ya mgonjwa kumwomba Mungu kwa imani yake?Mgonjwa anamuomba Mungu kwa imani yake.
Kuondowa ubaguzi ambako kunaleta amani, maadili mema, mahaba kwa jamii.Wakiwa wengi una faidika nini?
Mama muda umefika kampe kisamvu cha kopo mmeo !Kuondowa ubaguzi ambako kunaleta amani, maadili mema, mahaba kwa jamii.
Mama'ko ndicho anachompa baba'ko?Mama muda umefika kampe kisamvu cha kopo mmeo !