Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote

Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote

Mungu wa wakristo haangalii wingi wa watu
Ndo maana israel ni kinchi kidogo ila kilwapiga mataifa 7 ya waarabu

Wakati mungu wenu allah anasubiria muwe wengi ndo aonyeshe nguvu zake
Mungu wa wakristo hata wakiwa wachache anaonekana as long unamwamini
Well said
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica


Sawa, upo sahihi, lakini ana Mama yake mzimq ndani, that is what matters, mpe jina lolote, lakini ana afya
 
Sasa unangoja nini ndugu kumfuata yesu achana na hadithi za uongo et mbinguni utaoa bikira 72 hakuna mungu anaefagilia uzinzi karibu ukristoni
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Itoshe kusema kuwa
HUNA AKILI ✅️
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Niseme wewe ni msengelema ulikubuhu
 
"Mama Imani Yako Itakuponya"
Hiki ndicho kitu cha kushikilia.

Tumuombe sana MUNGU atupe Imani.

Haya masuala ya dini hii sijui dini ile huwa sizingatii sana maana yanawafanya watu kubaguana.
Imani ndio mpango mzima.
Uounguze ujuaji wewe kima.

Unatembea umeoza maneno mengi.

Unashinxwa kumshukuru hata Mungu alitekuumba
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Hayajakukuta unadhani haya unayoandika huyu hayajui
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Ungesoma mpaka mwisho atleast tusingejua Kama wewe ni mwehu! Jitahid kupunguza stress na kutuliza akili kidogo ili ku maintain heshima yako!

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Mungu wa wakristo haangalii wingi wa watu
Ndo maana israel ni kinchi kidogo ila kilwapiga mataifa 7 ya waarabu

Wakati mungu wenu allah anasubiria muwe wengi ndo aonyeshe nguvu zake
Mungu wa wakristo hata wakiwa wachache anaonekana as long unamwamini
Kula tano [emoji2936][emoji2935]
 
Uingereza Ukristo unapukutika huko. Uislam unatanda.

Uingereza sio tena nchi ya Wakristo walio wengi

Tofauti na India, ambayo hutokea kuwa nchi ya kidunia, Uingereza ina dini rasmi ambayo ni Ukristo. Sasa, kulingana na takwimu za sensa za hivi karibuni zilizotolewa na Ofisi ya Takwimu za Kitaifa, Uingereza sio tena taifa la Wakristo wengi. Wito unatolewa ili kukomesha uwepo wa kanisa hilo katika bunge la nchi hiyo na taasisi za elimu.

Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2021, idadi ya watu wanaojitambulisha kama Wakristo nchini Uingereza na Wales imeshuka chini ya asilimia 50 na kwa sasa iko chini ya asilimia 46.2 kutoka asilimia 59.3 mwaka 2011. Kumekuwa na kupungua kwa milioni 5.5 kutoka sensa ya mwaka 2011, ambayo inamaanisha kupungua kwa 13.1%.

Waislamu - Wengi wapya

Kwa mujibu wa sensa, kumekuwa na ongezeko la idadi ya Waislamu. Waislamu nchini Uingereza wameongezeka kutoka asilimia 4.9 hadi 6.5. Idadi hiyo imeongezeka kutoka milioni 2.7 mwaka 2011 hadi milioni 3.9 mwaka 2021.

Kabla ya kuchanganyikiwa, wacha niweke nambari wazi. Idadi ya Waislamu imeongezeka kwa asilimia 44 katika kipindi cha muongo mmoja. Wakati miji mikubwa kama Leicester, Luton na Birmingham imebadilishwa kuwa ghettos wachache. Na juu ya yote, Urdu imekuwa lugha ya sita ya kawaida inayozungumzwa nchini Uingereza. Wakati idadi ya Wahindu inakaa kwa milioni moja tu na kuna lakh Sikhs 5.34 nchini.

Soma zaidi: The coming future will witness the rise of the Islamic State of Britain
Wakiwa wengi una faidika nini?
 
Back
Top Bottom