Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe ni hao hao mnaojazana kwa akina Mwamposa !! Brainwash tupu!!Kwamba unamaanisha Mungu hana uwezo wa kufanya mtoa mada alichokisema?
Mungu yupo na anatenda hata leo hii upo nyuma ya CM yako unampinga lakini bado anatenda kazi na ANAKUPENDA SANA.
Amemalizia Kwa kusema heshimu Imani za wengine. Kosa ni lipi hapo?Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Uponyaji wa Imani unafanyika Kwa Imani. Sasa anaendaji Ocean road Kwa wagonjwa ambao hawajawa na Imani hiyo????Na wewe ni hao hao mnaojazana kwa akina Mwamposa !! Brainwash tupu!!
Kama akina Mwamposa wana huo uwezo kwa nini waende pale Kawe badala ya kwenda Ocean Road au Muhimbili ambako kuna wagonjwa wa kiukweli?
Haya majitu yanawachanganya na uchawi wa Nigeria na mistari ya biblia nanyi mnapumbazika mnajaa kama nzige kununua maji na udongo. Mwenzenu kaishajenga 3 Star hotel pale Mbalizi Mbeya
imagine unambishia mtu usiyemjua wala kumwona kwa kisa chake yeye binafsi[emoji23][emoji23][emoji23].Uongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hivi kawaida sana ....Jamani jaribu muende hata hospital mkaone wagonjwa .
Unaanza wewe ni muislamu hakuna ukweli labda kama ni jina ila sio halisi.....Hizi stories zipo kibao hazina ukweli ni fake kuna kipind kabisa cha ushuhuda.[emoji1787]
Haina haja ya kubishana nae huyo hayajamkuta na siku yakimkuta ataelewa ulikuwa unamaanisha nini.Hospitali walishachemka wanamkimbia ulitaka tumpeleke wapi
Jibu swali acha kurukaruka kama maharage.Na wewe ni hao hao mnaojazana kwa akina Mwamposa !! Brainwash tupu!!
Kama akina Mwamposa wana huo uwezo kwa nini waende pale Kawe badala ya kwenda Ocean Road au Muhimbili ambako kuna wagonjwa wa kiukweli?
Haya majitu yanawachanganya na uchawi wa Nigeria na mistari ya biblia nanyi mnapumbazika mnajaa kama nzige kununua maji na udongo. Mwenzenu kaishajenga 3 Star hotel pale Mbalizi Mbeya
Unaamini ujinga?🤣🤣 Hamna ukweli hapo hao wakina mwamposa ..imagine unambishia mtu usiyemjua wala kumwona kwa kisa chake yeye binafsi[emoji23][emoji23][emoji23].
hakika tz ina wagonjwa wengi wa akili.
Huyu si nabii ila ni mwalimuHii ni hadithi ya kutunga ili kumproti huyo nabii feki. Jitahidi utawapata wenye roho nyepesi
Bro inaonekana kichwa yako ina shida. Sasa unachopenda ni nini? Watu kuponywa na nguvu za Mungu au huo uchawi wa kinaijeria unaouona una nguvu? Kwahiyo Mungu ashindwe kuponya ila uchawi wa kinaijeria uponyaji? Nashauri, sio kila thread unatakiwa ucomment. Nyingine pita pembeni kwani unazidi onyesha uchi wa akili yako.Na wewe ni hao hao mnaojazana kwa akina Mwamposa !! Brainwash tupu!!
Kama akina Mwamposa wana huo uwezo kwa nini waende pale Kawe badala ya kwenda Ocean Road au Muhimbili ambako kuna wagonjwa wa kiukweli?
Haya majitu yanawachanganya na uchawi wa Nigeria na mistari ya biblia nanyi mnapumbazika mnajaa kama nzige kununua maji na udongo. Mwenzenu kaishajenga 3 Star hotel pale Mbalizi Mbeya
Sasa akituita wewe inakuuma nini? Mbona kwenye kula tunda kimasihara mnaendaga inbox kuna mtu anawakataza? Hizi chuki za kidini sijui zitawasaidia nini? Yaani mnataka kuona na kuandika habari mbaya tu za Ukristo ndio sio utapeli? Very funny.Unaamini ujinga?🤣🤣 Hamna ukweli hapo hao wakina mwamposa ..
Mnaitwa dm mkamjue huyo mtumishi kwanza..Matapeli hao .🤣
Kumetokea kundi la vijana ambalo kazi yao ni kupinga chochote kinachoelezea kuhusu Mungu. Sasa kama wao wanapinga, watuache sisi tunaofuatilia na kukiri matendo ambayo Mungu ametutendea wao waendelee na threads zingine.Jibu swali acha kurukaruka kama maharage.
MUNGU HAWEZI KUFANYA AMBACHO MTOA MADA AMEANDIKA?
mi ni muumini wa YESU KRISTO sio wa mwamposa kwanza simfagilii kiviile lkn hata ingekua kweli haimuusu mtu.
Kama wewe unae mungu wako basi acha kuponda Mungu wa wenzio. Pita zako hivi uende kwenye majukwaa ya waabudu mizimu wenzio kimyakimya.
Matapeli hao nenda inbox ukapewe namba ya mchungaji 🤣🤣upigwe pesa ..Sasa akituita wewe inakuuma nini? Mbona kwenye kula tunda kimasihara mnaendaga inbox kuna mtu anawakataza? Hizi chuki za kidini sijui zitawasaidia nini? Yaani mnataka kuona na kuandika habari mbaya tu za Ukristo ndio sio utapeli? Very funny.
Sasa wewe kina kuuma nini mimi kutapeliwa? Pesa ni yako au ya mama yako? Haya nitumie namba ya Mazinge au Sharif Majini maana yeye sio tapeli. Pumbavu kabisa wewe maamuma.Matapeli hao nenda inbox ukapewe namba ya mchungaji 🤣🤣upigwe pesa ..
Narudia tena ni matapeli.