OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mungu ni mkuu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikipata tatizo kubwa, mfano changamoto ya magonjwa yaliyoshindikana hospital mtu wa dini akaniponya, nitaamini anachoamini.
Jumapili iliyopita ni kiwa kwenye gari moja, nilisikia shuhuda mbalimbali toka kwenye radio ya gati, sijui ilikua radio gani, ila kuna mchungaji ana kikombe kipya, kupitia kikombe kipya, watu hupata uzazi, kuona magonjwa, biashara yako kama huuzi unauza.
Ila kilichoniacha hoi simulizi ya Dada mmoja, aliejitambulisha kwa majina mawili ambayo waislamu hutumia, Yeye ni Dada lishe alikua hauzi ila tangu apate kikombe kipya, maji yake akaenda kumwagia sehemu ya biashara, wateja wote wanakula kwake tu, kwa wengine mpaka amalize yeye.
Nikatafari nikajiuliza inayofanya kazi ni nguvu ya Yesu au nguvu ya ulozi.
Point kubwa ya kuchukua ni kutodharau imani za watu...kaa kwny imani yako ila heshimu imani za watu
Aseee n hatar,watu hawatak habar njema,huu n uchawi wa wazizi wazi.Siku hizi kuna vijana hasa wa kiume wana makasiriko na wivu wa ajabu kabisa.
Mtu akipata mafanikio kifedha au kupona ugonjwa wanaumia sana mioyoni mwao.
Ila angekuwa mtu kaja hapa analia matatizo, huwezi ona mtu anasema ni uongo.
Ila ndio hao wanakuwa wa kwanza kumwambia tafuta hela huku wao wanalala kwenye sebule za shemeji zao.
Roho za kichawi kabisa.
Halafu utasikia uislamu ni unyenyekevu ila matendo yao sasa!Huyo ni Muislam na mara nyingi ana kashfu Ukristo naye ni kupinga kila kitu. Dunia ni ngumu sana hii na kuna vitu kwa jinsi ya kibinadamu haiwezekani na hadi madokta wanakuambia kama una Mungu muite akusaidie. Nimeshuhudia kwa macho yangu mambo mengi sana Mungu akitenda pitia maombezi. Dunia hii watu wana shida sana kama.wewe u mzima shukuru Mungu na usilete ujuaji.
Simlizi za kiimani hamna ugonjwa unao itwa sauti kupotea hizo zote ni comedy za wafuasi wa hizo imani kuvutia wengineMwenyewe siamini hizo mambo ila miaka ya 2000 kuna mama jirani yetu sauti yake ilipotea kimuujiza. Yaani alikua mtu anayeweza kuongea then sauti ikapotea Kwa miaka...siku moja kakobe akaja kwenye mkutano wa injili yule mama aliongea. Na tunajua alikua na Hilo tatizo kwa miaka mingi.... Hivi vitu vinachanganya sana
Wengine wachaw humu ata usihangaike nao,zikija mda ya kipuuz wako vzur kwel kuchangia.Ila mada za maana au Mambo ya Mungu wanajua kupinga Kama Wendawazim flan ivii,mm naona nguvu ya Mungu ina wachoma.Kumetokea kundi la vijana ambalo kazi yao ni kupinga chochote kinachoelezea kuhusu Mungu. Sasa kama wao wanapinga, watuache sisi tunaofuatilia na kukiri matendo ambayo Mungu ametutendea wao waendelee na threads zingine.
Muongo mkubwa lengo lake lilikua kudhalilisha uislamu tu hamba jingine, kulikua na haja gani kutaja dini nyingine, watu kama hao wana chuki na dini ya uislamu bila kuitaja taja hawapati usingizi.Kitendo cha kuhuusisha uislam kwenye hiyo hadithi yako tiyari kunaharibu maana ya huo ushuhuda wako na kuonekana ni uongo.
Kingine huwezi kuwa mwislam alafu usijue nn maana ya kafri neno kafri sio tusi wala kashifa bali neno kafri ni neno la kiarabu lenye maana ya wapingaji kwa kiswahili sasa hapo kuna tusi gani?, Kwa hiyo kumbe chadema wakiitwa wapinzani hayo ni matusi na kashifa?
Ww ni mrokole uliye changamka ambaye umetunga uongo ili kuleta ubishani wa kidini humu.
Mwisho unasema eti heshimu dini ya mwingine ww ungekuwa na heshima na dini za watu usinge uhusisha uislam kwenye huu utopolo wako, nyinyi mnajisikia vibaya kuitwa makafri ila nyinyi mnapo shinda makanisani kwenu mkiwananga waisilam kuwa ni wafuga majini mnaona ni sawa.
Kwa ninavodhanii sikuiz watumish wapo wengii...wapo piaaa wanaotumika na nguvu za giza kwa kivuli cha dini (hii sijamshtumu mtu ila wapo wengi tu) lakini pia waliotumwa kufanya kazi ya Mungu kiukweli pia wapo...My take...tuheshimu dini za wenzetu ata kama hatuamini katika dini izo....Simama na imani yako ila heshimu dini nyingine....Kudhihaki au kushtumu dini nyingine direct ni Dhambi
Mimi naamini Mungu, anaponya kwa kumuomba au kuombewa, ila mpaka uwe unaamini Mungu, usiwe Muamini Miujiza.Simlizi za kiimani hamna ugonjwa unao itwa sauti kupotea hizo zote ni comedy za wafuasi wa hizo imani kuvutia wengine
Labda mie sijui maana huyo mama kaigiza for all these years ili kakobe akija aende kuombewa? Labda.Simlizi za kiimani hamna ugonjwa unao itwa sauti kupotea hizo zote ni comedy za wafuasi wa hizo imani kuvutia wengine
mwaka 2010 mwaposa alikuwa analima mpunga kyela.Unaamini ujinga?[emoji1787][emoji1787] Hamna ukweli hapo hao wakina mwamposa ..
Mnaitwa dm mkamjue huyo mtumishi kwanza..Matapeli hao .[emoji1787]
Ndio ujue utapeli unalipa ...mwaka 2010 mwaposa alikuwa analima mpunga kyela.
Sawa, naomba nijifunze, je mungu unayemuamini hawezi okoa nankuponya wajoli wake? Je vipi kuhusu shuhuda za Sharif Majini na mashehe wengine zenyewe zipoje? Je allah hawezi tumia wanaomuamini kuponya hata mdondo kwenye kuku?Kataa matapeli 🤣🤣🤣hakuna shuhuda za kweli maana tunao wengi hapa tunachangia pesa za matibabu ..
Kama unakili kuna watumishi wengine wanatumia mpaka ulozi, kuna tofauti gani na nilichokiandika.Kwa ninavodhanii sikuiz watumish wapo wengii...wapo piaaa wanaotumika na nguvu za giza kwa kivuli cha dini (hii sijamshtumu mtu ila wapo wengi tu) lakini pia waliotumwa kufanya kazi ya Mungu kiukweli pia wapo...My take...tuheshimu dini za wenzetu ata kama hatuamini katika dini izo....Simama na imani yako ila heshimu dini nyingine....Kudhihaki au kushtumu dini nyingine direct ni Dhambi ya kujitakiaa kabisa
Hakuna shekhe majini ,kqtaa utapeli 🤣🤣Sawa, naomba nijifunze, je mungu unayemuamini hawezi okoa nankuponya wajoli wake? Je vipi kuhusu shuhuda za Sharif Majini na mashehe wengine zenyewe zipoje? Je allah hawezi tumia wanaomuamini kuponya hata mdondo kwenye kuku?
Uache ujinga huu.Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Mungu anaponya kwa maombi, ila hao akina Sharif majini ni aina ya hao wachungaji wanauza mafuta fulani, maji kikombe cha pili.Sawa, naomba nijifunze, je mungu unayemuamini hawezi okoa nankuponya wajoli wake? Je vipi kuhusu shuhuda za Sharif Majini na mashehe wengine zenyewe zipoje? Je allah hawezi tumia wanaomuamini kuponya hata mdondo kwenye kuku?
kama hakuna anayepoteza wala mlalamikaji wewe unakaa wapi hapo mkuu???Ndio ujue utapeli unalipa ...