rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Amri kuu ni upendo hayo Mambo mengine ya dini ni ya wanadamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uache ujinga huu.
Hata Yesu hakuponya watu wote bali waliponywa waliotakq kuponywa.
Yesu huponya na huponya wenye imani.
Ukubali ukatae
Mtu anasahau mkasi kwenye mwili wa mwenzake?, Hii inakuwa dokta kalewa au
Hii michezo ina fanana na ile wanayocheza wahuni, wanaweka TV, Pikipiki na vitu vingine, alafu wanatumia wenzao wanajifanya Wameshinda ili kuwavuta Wajinga, nao wacheze.Hao jamaa usije hata mara moja ukawasikiliza naamini kwa uelewa wa kawaida mtu anaekaa akatafakari jambo hawezi elewa huo ujinga,ridhiki zetu anapanga Mungu sasa kuna nini cha ziada kinafanyika hadi mimi tu niuze?je siku nikijisikia week nzima nipike mapishi yaliyojaa kutosha mzunguko wa wateja wa mtaa husika ni kusema hawa wenzangu watalala njaa si ndiyo?
Mungu gani anafanya kazi kwa namna hii?ktk hii scene utaona kinachofanya kazi ni kikombe kipya na siyo jina la Mungu sasa hapa inabidi kuhoji hiki kikombe kina nguvu gani na hizo nguvu kimezitoa wapi?wapo wajinga wanaokamatwa kizembe kuziamini hizi drama na kwenda kununua hivyo vikombe kwa gharama kubwa,zaidi ya kuwaita wajinga hakuna jina lingine la kuwafaa.
Bahati mbaya tungedhani haya yangeishia kwenye kamari huko mitaani lakini leo yapo mpaka kwenye dini.Hii michezo ina fanana na ile wanayocheza wahuni, wanaweka TV, Pikipiki na vitu vingine, alafu wanatumia wenzao wanajifanya Wameshinda ili kuwavuta Wajinga, nao wacheze.
Siku ukiugua ukaanza kujinyea na madaktari wameshindwa utamtaka Yesu bila kupendaHii michezo ina fanana na ile wanayocheza wahuni, wanaweka TV, Pikipiki na vitu vingine, alafu wanatumia wenzao wanajifanya Wameshinda ili kuwavuta Wajinga, nao wacheze.
Siyo kweli, kwani walokole hawaumwi ama hawafi.Siku ukiugua ukaanza kujinyea na madaktari wameshindwa utamtaka Yesu bila kupenda
Kama uchawa upo basi na uponyaji upo maana vyote ni Imani.Mnatapeliwa tu na uchawi wa Kinigeria
Kama uchawa upo basi na uponyaji upo maana vyote ni Imani.
Ndugu mtoa Uzi usitegemee baath ya watu watakuamini kwa hbr ya uponyaji, wkt WA Yesu walikua wanaona life na hawamini.
Watu wanaamini Mungu ila wanaxikana nguvu zake
Siku ukiugua ukaanza kujinyea na madaktari wameshindwa utamtaka Yesu bila kupenda
Mkuu kuna vitu nilikuwa siviamini dunia hii ila Mungu aliniponipitisha nikajifunza kufunga mdomo.Siku ukiugua ukaanza kujinyea na madaktari wameshindwa utamtaka Yesu bila kupenda
FAmilia yangu imeingia Uktisto nikiwa na umti mdogo, ndugu zetu kwa 98% ni waislam na baba mkubwa ni shekhe.Mkuu kuna vitu nilikuwa siviamini dunia hii ila Mungu aliniponipitisha nikajifunza kufunga mdomo.
Waombee tu wasijifunze in a hard way
Wachache watakuelewa ila huu ndio ukweli.tuna shida sana kwenye nchi yetu...Hii ni hadithi ya kutunga ili kumproti huyo nabii feki. Jitahidi utawapata wenye roho nyepesi
Mkuu una Bichwa kama Furushi la ushirombo...Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Hadithi zinaendelea Muwe mnaenda hospitalini basiFAmilia yangu imeingia Uktisto nikiwa na umti mdogo, ndugu zetu kwa 98% ni waislam na baba mkubwa ni shekhe.
Baba na familia yangu iliingia Ukristo kwa baba kuponywa ugonjwa uliomtesa kwa muda.
Nimeshuhudia kwa macho watu wakiponywa.
Nimeona watu wakiponywa nikiwa zero distance.
Nimeona miujiza mingi isiyoelezeka.
Hivyo kwangu...Yesu ni mponyaji
Nenda wewe na ukoo wakoHadithi zinaendelea Muwe mnaenda hospitalini basi
Huyo ni mkristo analazimishi hata andika yake unajua tu😅😅😅.waislam pia wana matatizo kijana,ni miongoni mwa raia 60mln wa tz,wanakula ugari na dagaa kama wakristo.
kwani familia ngapi zina mseto wa dini mpaka wewe umkatalie mletamada utadhani hakuna kitu cha namn hiyo???
halafu ulivyo wa ajabu jamaa hajasema kabadili dini,si yeye,nduguze wala baba yake,amesisitiza tu kuwaheshimu wakristo.unaumia[emoji23][emoji23][emoji23]