Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote

Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote

Uache ujinga huu.
Hata Yesu hakuponya watu wote bali waliponywa waliotakq kuponywa.

Yesu huponya na huponya wenye imani.
Ukubali ukatae

Mtu anasahau mkasi kwenye mwili wa mwenzake?, Hii inakuwa dokta kalewa au

Hao jamaa usije hata mara moja ukawasikiliza naamini kwa uelewa wa kawaida mtu anaekaa akatafakari jambo hawezi elewa huo ujinga,ridhiki zetu anapanga Mungu sasa kuna nini cha ziada kinafanyika hadi mimi tu niuze?je siku nikijisikia week nzima nipike mapishi yaliyojaa kutosha mzunguko wa wateja wa mtaa husika ni kusema hawa wenzangu watalala njaa si ndiyo?

Mungu gani anafanya kazi kwa namna hii?ktk hii scene utaona kinachofanya kazi ni kikombe kipya na siyo jina la Mungu sasa hapa inabidi kuhoji hiki kikombe kina nguvu gani na hizo nguvu kimezitoa wapi?wapo wajinga wanaokamatwa kizembe kuziamini hizi drama na kwenda kununua hivyo vikombe kwa gharama kubwa,zaidi ya kuwaita wajinga hakuna jina lingine la kuwafaa.
Hii michezo ina fanana na ile wanayocheza wahuni, wanaweka TV, Pikipiki na vitu vingine, alafu wanatumia wenzao wanajifanya Wameshinda ili kuwavuta Wajinga, nao wacheze.
 
Hii michezo ina fanana na ile wanayocheza wahuni, wanaweka TV, Pikipiki na vitu vingine, alafu wanatumia wenzao wanajifanya Wameshinda ili kuwavuta Wajinga, nao wacheze.
Bahati mbaya tungedhani haya yangeishia kwenye kamari huko mitaani lakini leo yapo mpaka kwenye dini.
 
Siku ukiugua ukaanza kujinyea na madaktari wameshindwa utamtaka Yesu bila kupenda
Siyo kweli, kwani walokole hawaumwi ama hawafi.
Kuna jamaa alikua na kanisa lake, na alikua mchungaji pale kanisani kwake, alipata ugonjwa wa gafla, kimbizwa hasptali ila Mungu akampenda zaidi.

Hivyo kuumwa kupo na kifo kipo Muhimu ni kuomba Mungu.
 
Ndugu mtoa Uzi usitegemee baath ya watu watakuamini kwa hbr ya uponyaji, wkt WA Yesu walikua wanaona life na hawamini.
Watu wanaamini Mungu ila wanaxikana nguvu zake
 
Mkuu kuna vitu nilikuwa siviamini dunia hii ila Mungu aliniponipitisha nikajifunza kufunga mdomo.

Waombee tu wasijifunze in a hard way
FAmilia yangu imeingia Uktisto nikiwa na umti mdogo, ndugu zetu kwa 98% ni waislam na baba mkubwa ni shekhe.
Baba na familia yangu iliingia Ukristo kwa baba kuponywa ugonjwa uliomtesa kwa muda.

Nimeshuhudia kwa macho watu wakiponywa.
Nimeona watu wakiponywa nikiwa zero distance.
Nimeona miujiza mingi isiyoelezeka.

Hivyo kwangu...Yesu ni mponyaji
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Mkuu una Bichwa kama Furushi la ushirombo...
 
Amina amina kubwaaa!
Nyieee mungu yupo na ana nguvu sana!

Msalimie sana your sweetmom!
Aishi miaka mingi
 
FAmilia yangu imeingia Uktisto nikiwa na umti mdogo, ndugu zetu kwa 98% ni waislam na baba mkubwa ni shekhe.
Baba na familia yangu iliingia Ukristo kwa baba kuponywa ugonjwa uliomtesa kwa muda.

Nimeshuhudia kwa macho watu wakiponywa.
Nimeona watu wakiponywa nikiwa zero distance.
Nimeona miujiza mingi isiyoelezeka.

Hivyo kwangu...Yesu ni mponyaji
Hadithi zinaendelea Muwe mnaenda hospitalini basi
 
Hii iinafundisha sana, maana kuna mitazamo, eti ukimjadili shekhe au mchungaji maslahi, eti unakashifu dini ys watu.
 

Attachments

  • Screenshot_20230919_194227_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20230919_194227_WhatsApp.jpg
    206.9 KB · Views: 4
waislam pia wana matatizo kijana,ni miongoni mwa raia 60mln wa tz,wanakula ugari na dagaa kama wakristo.

kwani familia ngapi zina mseto wa dini mpaka wewe umkatalie mletamada utadhani hakuna kitu cha namn hiyo???

halafu ulivyo wa ajabu jamaa hajasema kabadili dini,si yeye,nduguze wala baba yake,amesisitiza tu kuwaheshimu wakristo.unaumia[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni mkristo analazimishi hata andika yake unajua tu😅😅😅.

Mkristo akiandika badla ashukuru Mungu utasikia anasema Yesu ..
 
Back
Top Bottom