Kwa tunaofahamu, tuzo ya Sakho ni ya kimkakati

Kwa tunaofahamu, tuzo ya Sakho ni ya kimkakati

Kwa hiyo wakala aliyekuaa na uwezo wa kununua tuzo ni wakala wa Sakho pekee ?
Basi tumpe pongezi maana ana ubunifu.
 
Pongezi kwa mshabiki wa Simba kwa kumpigia kura za kutosha kijana na akashida japo goli la Gabadhino lilikuwa ni goli zuri zaidi kwa upande wangu ila nadhani kura hazikutosha
UTOPOLO MMGEMPIGIA KURA BASI HIVI NYIE MNA SHIDA GANI?MNAUFANYA MPIRA KUWA SEHEMU YA PROPAGANDA?
 
Haya huyu hapa aliyestahili, kashapewa tuzo yake. Furahi sasa.
Shougaaaaah angu, kwan uteseke? Kwann uumie??
Kunywa maji ya uvugu vugu, afu pumzikaaa.

Byuti byutii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2299595
We kasichana utalipia gharama z matibabu ya mbavu zangu
 
Punguza wendawazimu na chuki dhidi ya simba.
Daily unapuyanga utopolo wako juu ya simba na kutanabaisha mbele ya mabwana zako kuwa simba haina jema hata moja.

Huu ni upumbavu wa kiwango cha SGR.
Ifike hatua uamini na ukubali kuna gap kubwa kwa sasa kati ya utopolo na simba linapokuja suala la kimataifa.
gepu lipi mkuu? ?
hivi mwaka huu Yanga ikibeba kombe la Afrika si inafuta rekodi za miaka yote ya mahangaiko na taabu za Kolo fc kimataifa au?
 
Watu hawaamini

Hadi Azam katoka nje wao hela zote wamemlipa fulani
 
We kasichana utalipia gharama z matibabu ya mbavu zangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuuuuh na huku upooooo? Nawapiga spana utopoloooo. Nawachachua kidogooo.
 
🚨 KUTOKA KWA BUGATI

Kupanga ni kuchagua. Wakati Yanga akichukua Treble this season kwa kushinda Ngao Ya Jamii, Azam federation na Ligi kuu, Makolo Treble zao ni

👉Mpole Cup

👉Sopu Cup

👉Sakho Cup Kiufupi chake Treble ya Manyonyo inaitwa MSOSA.

Nb :: Tabu ipo pale pale Makolo,,hadi mtueleze kale katwenty mmekaficha wapi 🤪🤪 MSOSA KAMA MSOSA TREBLE 🤪🤪 Byuti Byuti 🏆🏆🏆
 
[emoji599] KUTOKA KWA BUGATI

Kupanga ni kuchagua. Wakati Yanga akichukua Treble this season kwa kushinda Ngao Ya Jamii, Azam federation na Ligi kuu, Makolo Treble zao ni

[emoji117]Mpole Cup

[emoji117]Sopu Cup

[emoji117]Sakho Cup Kiufupi chake Treble ya Manyonyo inaitwa MSOSA.

Nb :: Tabu ipo pale pale Makolo,,hadi mtueleze kale katwenty mmekaficha wapi [emoji2957][emoji2957] MSOSA KAMA MSOSA TREBLE [emoji2957][emoji2957] Byuti Byuti [emoji471][emoji471][emoji471]
Kumbe wenetu wana treble yao?,[emoji23][emoji23]
 
Kwa tunaojua mpango wa wakala Kwa Mchezaji wake halitutishtui hili.

Wakala yupo tayari kufanya chochote Mchezaji wake apate "mileage" Wakala alimleta Mchezaji Tanzania kama njia panda.

Wakala alishanunua sana "Airtime" ya Mchezaji wake katika Page Kubwa, Wakala hashindwi Kununua Tuzo.

Wakala yuko tayari kugharamia anything akijua wazi kuwa siku moja atakuja kunufaika na mauzo maradufu.

Mawakala wa Afrika Magharibi wanajua sana kuwapush wachezaji wao.
Wakala wa Sakho ana mikakati sana. Alifanya mpango mpira umfikie Kapombe akapiga kross halafu wakala akawa amewanunua wachezaji wa berkane ili wampishe Sakho. Wakala akaenda mbali zaidi akambinua Sakho tik taka bila kutazama goli. Wakala akaenda mbali zaidi akawanunua washabiki wa Simba wakampigia kura Sakho.
Wakala alivyo na miakakati akampanga Mane na kocha wake mbele kabisa ampokee Sakho halafu akafanya mbinu Okocha ndio ampatie tuzo Sakho.
 
Wakala wa Sakho ana mikakati sana. Alifanya mpango mpira umfikie Kapombe akapiga kross halafu wakala akawa amewanunua wachezaji wa berkane ili wampishe Sakho. Wakala akaenda mbali zaidi akambinua Sakho tik taka bila kutazama goli. Wakala akaenda mbali zaidi akawanunua washabiki wa Simba wakampigia kura Sakho.
Wakala alivyo na miakakati akampanga Mane na kocha wake mbele kabisa ampokee Sakho halafu akafanya mbinu Okocha ndio ampatie tuzo Sakho.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Umeiweka kitalaamu sana
 
Wakala wa Sakho ana mikakati sana. Alifanya mpango mpira umfikie Kapombe akapiga kross halafu wakala akawa amewanunua wachezaji wa berkane ili wampishe Sakho. Wakala akaenda mbali zaidi akambinua Sakho tik taka bila kutazama goli. Wakala akaenda mbali zaidi akawanunua washabiki wa Simba wakampigia kura Sakho.
Wakala alivyo na miakakati akampanga Mane na kocha wake mbele kabisa ampokee Sakho halafu akafanya mbinu Okocha ndio ampatie tuzo Sakho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetishaaaa mnoooo.
 
Back
Top Bottom