Kwa tunaosafiri na mabasi, ni vitu gani huvizingatia kabla ya kufanya maamuzi ya kusafiri na basi husika

Kwa tunaokwenda Singidani ABC ndio basi letu pendwa

Ukiachilia mbali chaji na Bongomovie za mkojani na yule jamaa ana misemo balaa kingine unapewa Soda/maji biskuti na pipi [emoji23][emoji23]
 
Kwanza dereva apige resi/moshi tatu kwanza🤭🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…