Kwa tunaowajua haiwezekani Upinzani kususia bunge, huu ni utani tu!

Kwa tunaowajua haiwezekani Upinzani kususia bunge, huu ni utani tu!

Ile kauli ya Mzee Baba kuwa “nimechoka kuapisha” imemkata kilimilimi Mzee wetu Pascal Mayalla, siku hizi kasusia kuporomosha mapambio humu... wewe komaa tu.

MaDC na maRC chapeni kazi.
Hiyo kauli wewe ndo unaielewa vibaya,
Alisema kwa wale watakao staafu na wale wazembe wataondolewa,
Kwa maana hiyo atawaapisha wengine na kama nafasi ya mayala ipo basi atapata tu kwani shida iko wapi?
Tunataka watu wanaodhani kuna haja ya wao.kutumikia nchi hii kwa uzalendo.
 
Hiyo kauli wewe ndo unaielewa vibaya,
Alisema kwa wale watakao staafu na wale wazembe wataondolewa,
Kwa maana hiyo atawaapisha wengine na kama nafasi ya mayala ipo basi atapata tu kwani shida iko wapi?
Tunataka watu wanaodhani kuna haja ya wao.kutumikia nchi hii kwa uzalendo.

Bado unaona Paskali akibwabwaja humu? Kalagabaho!
 
Upinzani ungekuwa umekomaa kama wananchi mngekuwa mnawaunga mkono kwenye maazimio yao.

Zamani ccm ilikuwa inatarget upinzani collectively sasa hivi inawatarget viongozi wa upinzani individually hii ni hatari sana kwa maisha yao.

Sauti yao haiwezi kusikika kama wananchi hamko tayari kupigania demokrasia.
 
Bila kupuuza angalizo lako, hiyo mifano uliyotoa huko nyuma ni kweli, lakini siku za nyuma viongozi walikuwa wanaamua watakavyo na sisi wafuasi tulikuwa kimya. Ila kwa sasa viongozi wanapaswa kuamua kwa kufuata matakwa yetu sisi wafuasi wao.

Na iwapo watakwenda kushiriki hilo bunge kibogoyo, lililopatikana kwa umwagaji damu na wizi wa kura, ndio wasahau support yetu.

Wanaweza kuamua watakavyo lakini sisi wafuasi wao Misimamo yetu iko wazi. Ingekuwa bunge lenyewe lina meno hapo afadhali, sio hilo bunge kibogoyo.
Waliamua mtoke kwenda kuandamana kupinga dhulma ya uchaguzi mlitoka ?
 
Maelezo marefu hayana maana yoyote, kelele za mabadiliko ya hii mifumo ya uchaguzi ni toka 1992, ni kilio gani hakijasikika mpaka ionekane kitasikika sasa? Kama unaona hakuna upinzani imara, hebu anzisha wakwako tuuone uimara wako.
Jibu zuri hakuna mpinzani mwenye njaa vinginevyo kwa waliyofirisiwa wangekuwa walishaunga juhudi.
 
Mie sio mwanaharakati wala mwanasiasa, hapa natoa maoni yangu binafsi na sio lazima yafanane na yako au mtu mwingine yeyote yule, hiyo haki nnayo.

Twende taratibu, ikuwa walizira kumtambua rais wa awamu ya nne, kitu gani kiliwafanya wamtambue baadae?

Ikiwa mara zote wanasema tume ya uchaguzi si huru na katiba ina tatizo, kwanini wanashiriki chaguzi badala ya kushughulikia utatuzi wa hayo mambo?

Kama wanatumia mbinu zile zile kudai katiba mpya wataendelea kupata matokeo yale yale.
Kwa ufupi inabidi wabadili mikakati yao.
Tume huru ni kwa manufaa ya wapinzani pekee ?

Katiba mpya ni kwa manufaa ya wapinzani pekee ?

Walimtambua rais Kiwkete baada ya kuingia kwenye reconciliation ya yeye kutangaza mabadiliko ya katiba na sheria nyingi kandamizi.
 
Huoni waliwakamata viongozi na waratibu kabla mipango haijaiva!
Hiyo provocative action ya polisi ndiyo ilikuwa stepping stone ya maandamano kupinga kukamatwa kwao na uchaguzi.

Tuwe wakweli watanzania tumeangusha sana viongozi wa upinzani na tumewapa uhalali ccm wakutufanyia chochote anachokitaka including killing.

Kukamatwa kwao ilikuwa sababu tosha ya kutoka kwa wingi wetu kuandamana bila kikomo
 
Bado hatuna upinzani imara, bado sana.

Inakuaje unamkataa rais au kumtambua mteuliwa na kususia bunge lakini uchaguzi ukiitishwa unashiriki bila mambo uliyotaka yabadilishwe hayajafanyiwa chochote?

Zanzibar sheria ya kupiga kura siku mbili imepitishwa tokea 2018, hawa wapinzani kwanini walikaa kimya au kuwaelewesha wafuasi wao badala ya kuwapotosha wengine wamepoteza maisha na wengine kuambulua ulemavu?

Mbaya zaidi walisusa uchaguzi wa marudio kwa madai tume ilikataa kuwatangaza uchaguzi ukafutwa na hawakushiriki, kipi kimewasukuma kushiriki huu wa 2020 ikiwa tume na muundo wake ni ule ule?

Hapa cha msingi washirikiane na serikali na kuona namna ya kushawishi mapendekezo yao. Kuonyesha jeuri nusu nusu itawaasamvaratisha na kuwapoteza kabisa kwenye medani za siasa.

Masikini hana kiapo.
Kumbe mnatambua watu wameuwawa zanzibar na vyombo vya dola kwa amri ya Magufuli eeh?
Zanzibar nao ni wapuuzi,wanakubalije kila uchaguzi askari wanatoka bara kwenda kuua ndugu zao?Kwanini wasijisimamie wenyewe?
 
Kumbe mnatambua watu wameuwawa zanzibar na vyombo vya dola kwa amri ya Magufuli eeh?
Zanzibar nao ni wapuuzi,wanakubalije kila uchaguzi askari wanatoka bara kwenda kuua ndugu zao?Kwanini wasijisimamie wenyewe?
Ni kwa sababu Askari wana bunduki na wako tayari kuua.
Siku raia wakiruhusiwa kuwa na silaha kama Marekani, ushenzi na uonevu wa vyombo vya dola kwa raia utaishia hapo!
 
Walikuwa tayari kuua raia, Wananchi tunaogopa kupigwa risasi. Hatuna silaha kama wao, tungekuwa nazo tungetoka tu
Wangeua yes lakini tungepata suluhisho la kudumu.

Sasa hivi tumeshawapa uhalali wa kufanya chochote na hatuna cha kuwafanya.
 
Walikuwa tayari kuua raia, Wananchi tunaogopa kupigwa risasi. Hatuna silaha kama wao, tungekuwa nazo tungetoka tu
Mkishabeba silaha mnakuwa unlawful combatant na wao wanapata sababu ya kuwaua.

Civilians wakibeba silaha anakosaje legal protection wanakuwa unlawful combatants
 
Mkishabeba silaha mnakuwa unlawful combatant na wao wanapata sababu ya kuwaua.

Civilians wakibeba silaha anakosaje legal protection wanakuwa unlawful combatants
Hivi hivi bila hata kubeba Silaha bado wanakuchukulia kuwa ni unlawful combatant, wanakupiga risasi ndiyo maana raia hawaandamani!. Yaani serikali inawatangazia vita wananchi wske yenyewe!
 
Back
Top Bottom