Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kwamba watapata huruma baada ya kuua, kuwa sasa hebu tutende haki?Suluhisho la kudumu lingepatikana lazima wanafanya reforms tu ikiwemo kurudia uchaguzi
Kitu pekee kibachoweza kuwafanya watumie akili ni lose-lose situation, kwamba waone nao kuna kitu cha kupoteza, Nje ya hapo usitegemee wawe na huruma au busara ambayo hswakuwa nayo in the first place!