inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mbolea zinatoka urusi,uwe unaongea vitu unavyovijuaPutin anahusikaje hapo?? mifumuko ya bei ya vyakula kwa hapa tz ni upuuzi tu wa viongozi tuliowapa dhamani kuna zao gani halistawi hapa hadi tutegemee chakula kutoka nje!??
Hauna akili, Urusi anapigana na Ukraine kipindi hicho chote kisha apate jeuri ya kupigana na USA?Mnajisemea tu, yaani mnafikiri Urusi inaiiogopa Merikani hata ikipuuza onyo lake na kupandisha bendera mshenzi za meli kukatisha Black Sea kwenda Odessa,, US ikikihuka onyo la Russia huondio utakuwa chazo cha WW3 ambacho wala Merikani haiwezi kushinda, itatandikwa kweli kweli na mataifa rafiki kuchangia,msifikiri Urusi haina marafiki wakubwa wenye uwezo mkubuwa kijeshi..
Tunaaema mata nyingi kwamba Urusi si banana Republic, sasa subilini muome kama Meli za Merikani zitajitia kupupelia amri ya Urusi kwa kupepelerusha bendera za Merikani eti zisiguswe na Urusi,zitazamishwa zote na Russian formidable anti ship missiles, Urusi kidogo anaweza kuzirihusu Meli za Uturuki lakini kwa hali ulivyo sasa hivi unaweza. kumuamini nani umuache nani,kama wajaja wanatumia hata meli za Uturuki kusafirisha silaha za kuvita kwa kificho wa kutumia kisingizio cha usafirishai wa ngano unafikiri Warusi wafanyeje kukomesha ujinga huu.
Warusi hawana utani hata kidogo - kama Merikani inataka taifa lake lichakazwe basi wajaribu kuichezea Urusi - Waerika wakifanya ujinga huo watajuta kuzaliwa, sisemi Urusi haiwezi kupata madhara lakini wao walisha wafundisha raia wao kwa miaka mingi sana jinsi ya kujikinga pamoja na ku-deal na thermonuclear war exchange wanaposikia mlio wa certain type ya vingora - sina uhakika kama Merikani hilo walisha lifikiria hata kidogo zaidi ya kuchimba maandaki ya kuwalinda viongozi wa Whitehouse tu na si raia, uanadamu huo hawana kabisa hata taifa lao likigeuzwa thermonuclear wasteland wao wana ona na sawa watu - vipngozi wao wataishi tu na ku-tell the tale the morning
after ie ni nuclear proof!!
Tofauti kabisa na Warusi ambao miaka nenda rudi walikuwa wanajenga under ground infrastructure za kuwalinda raia wake karibu wote dhidi ya thermonuclear missiles/bombs nchi nzima ina facilities kama hizo.
unaandika ukiwa wapi waambie wapeleke waone kitakachotokeaMbona hiyo rahisi tu mzigo unasafirishwa na Ukraine ila meli inakuwa na bendera ya marekani au uturuki kwahiyo putin akishambulia meli anakuwa ameishambulia marekani au uturuki.
Unapajua minjingu?Mbolea zinatoka urusi,uwe unaongea vitu unavyovijua
Tayari yuko vitani nae muda mrefu chini kwa chini mpaka Marekani ametangaza kuishiwa na silaha inabidi ipeleke Ukraine shehena ya mabomu haramu.Hauna akili, Urusi anapigana na Ukraine kipindi hicho chote kisha apate jeuri ya kupigana na USA?
wengine hudai eti Ukrain anasaidiwa na washirika wa NATO kwani Urusi yeye hasaidiwi?
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kati ya wewe na huyo ulomjibu ni nan hana akili jibu ni wewe maana baada ya kujibu hoja unamtukana hivi umelelewaje wewe!!!Hauna akili, Urusi anapigana na Ukraine kipindi hicho chote kisha apate jeuri ya kupigana na USA?
wengine hudai eti Ukrain anasaidiwa na washirika wa NATO kwani Urusi yeye hasaidiwi?
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Mnajisemea tu, yaani mnafikiri Urusi inaiiogopa Merikani hata ikipuuza onyo lake na kupandisha bendera mshenzi za meli kukatisha Black Sea kwenda Odessa,, US ikikihuka onyo la Russia huondio utakuwa chazo cha WW3 ambacho wala Merikani haiwezi kushinda, itatandikwa kweli kweli na mataifa rafiki kuchangia,msifikiri Urusi haina marafiki wakubwa wenye uwezo mkubuwa kijeshi..
Tunaaema mata nyingi kwamba Urusi si banana Republic, sasa subilini muome kama Meli za Merikani zitajitia kupupelia amri ya Urusi kwa kupepelerusha bendera za Merikani eti zisiguswe na Urusi,zitazamishwa zote na Russian formidable anti ship missiles, Urusi kidogo anaweza kuzirihusu Meli za Uturuki lakini kwa hali ulivyo sasa hivi unaweza. kumuamini nani umuache nani,kama wajaja wanatumia hata meli za Uturuki kusafirisha silaha za kuvita kwa kificho wa kutumia kisingizio cha usafirishai wa ngano unafikiri Warusi wafanyeje kukomesha ujinga huu.
Warusi hawana utani hata kidogo - kama Merikani inataka taifa lake lichakazwe basi wajaribu kuichezea Urusi - Waerika wakifanya ujinga huo watajuta kuzaliwa, sisemi Urusi haiwezi kupata madhara lakini wao walisha wafundisha raia wao kwa miaka mingi sana jinsi ya kujikinga pamoja na ku-deal na thermonuclear war exchange wanaposikia mlio wa certain type ya vingora - sina uhakika kama Merikani hilo walisha lifikiria hata kidogo zaidi ya kuchimba maandaki ya kuwalinda viongozi wa Whitehouse tu na si raia, uanadamu huo hawana kabisa hata taifa lao likigeuzwa thermonuclear wasteland wao wana ona na sawa watu - vipngozi wao wataishi tu na ku-tell the tale the morning
after ie ni nuclear proof!!
Tofauti kabisa na Warusi ambao miaka nenda rudi walikuwa wanajenga under ground infrastructure za kuwalinda raia wake karibu wote dhidi ya thermonuclear missiles/bombs nchi nzima ina facilities kama hizo.
Minjingu sijajua mbolea zao wanauza wapi,maana sokoni tz haipo,sokoni ni can,sa,urea,npk na za proportion hizo kwa upande wa yaraUnapajua minjingu?
Pentagon Spokesman John Kirby made clear the US will not send warships to escort commercial vessels from Ukraine.Mbona hiyo rahisi tu mzigo unasafirishwa na Ukraine ila meli inakuwa na bendera ya marekani au uturuki kwahiyo putin akishambulia meli anakuwa ameishambulia marekani au uturuki.
Pentagon Spokesman John Kirby made clear the US will not send warships to escort commercial vessels from Ukraine.Mnajisemea tu, yaani mnafikiri Urusi inaiiogopa Merikani hata ikipuuza onyo lake na kupandisha bendera mshenzi za meli kukatisha Black Sea kwenda Odessa,, US ikikihuka onyo la Russia huondio utakuwa chazo cha WW3 ambacho wala Merikani haiwezi kushinda, itatandikwa kweli kweli na mataifa rafiki kuchangia,msifikiri Urusi haina marafiki wakubwa wenye uwezo mkubuwa kijeshi..
Tunaaema mata nyingi kwamba Urusi si banana Republic, sasa subilini muome kama Meli za Merikani zitajitia kupupelia amri ya Urusi kwa kupepelerusha bendera za Merikani eti zisiguswe na Urusi,zitazamishwa zote na Russian formidable anti ship missiles, Urusi kidogo anaweza kuzirihusu Meli za Uturuki lakini kwa hali ulivyo sasa hivi unaweza. kumuamini nani umuache nani,kama wajaja wanatumia hata meli za Uturuki kusafirisha silaha za kuvita kwa kificho wa kutumia kisingizio cha usafirishai wa ngano unafikiri Warusi wafanyeje kukomesha ujinga huu.
Warusi hawana utani hata kidogo - kama Merikani inataka taifa lake lichakazwe basi wajaribu kuichezea Urusi - Waerika wakifanya ujinga huo watajuta kuzaliwa, sisemi Urusi haiwezi kupata madhara lakini wao walisha wafundisha raia wao kwa miaka mingi sana jinsi ya kujikinga pamoja na ku-deal na thermonuclear war exchange wanaposikia mlio wa certain type ya vingora - sina uhakika kama Merikani hilo walisha lifikiria hata kidogo zaidi ya kuchimba maandaki ya kuwalinda viongozi wa Whitehouse tu na si raia, uanadamu huo hawana kabisa hata taifa lao likigeuzwa thermonuclear wasteland wao wana ona na sawa watu - vipngozi wao wataishi tu na ku-tell the tale the morning
after ie ni nuclear proof!!
Tofauti kabisa na Warusi ambao miaka nenda rudi walikuwa wanajenga under ground infrastructure za kuwalinda raia wake karibu wote dhidi ya thermonuclear missiles/bombs nchi nzima ina facilities kama hizo.
Hao sijui akina us marine, wote walikimbizwa na wavaa kobazi plus majoho na mitandio kama wamamsai,aka watalabani. aahah hahaa haaa aaah aaahaaaNchi ambayo prigo naye ni amiri jeshi mkuu. Seriously yani boss wa kiwango security atishie kwenda chamwino halafu aendelee kuishi [emoji1787][emoji1787]
Ndiyo ije ipambane na hawa
US Army
US marine
US Airforce
US Navy
US coast guard
Plus Navy SEAL (Team 6)
Ni huruma kwa kweli
Jibu zuri kabisa nimefurahi sana naona hapo bado baadhi hujaziweka kuna amidas/microp/premium na nyinginezo brother na zote tuna importMinjingu sijajua mbolea zao wanauza wapi,maana sokoni tz haipo,sokoni ni can,sa,urea,npk na za proportion hizo kwa upande wa yara
Fursa kwa wafanyabiashara, si ndiyo? Kwa nini isiwe fursa kwa wakulima? Miaka ya nyuma tulikuwa tunasikia Arusha wanalima ngano, au?Huu mwezi hauishi subiri kuona bidhaa zinazotengenezwa na ngano zitakavyopanda bei.
Fursa kwa wafanyabiashara.
Fursa kwa wafanyabiashara, si ndiyo? Kwa nini isiwe fursa kwa wakulima? Miaka ya nyuma tulikuwa tunasikia Arusha wanalima ngano, au?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Binafsi umufananisha sana vitendo vya John Kirby na Zelensky - wote waigizaji mahili.Pentagon Spokesman John Kirby made clear the US will not send warships to escort commercial vessels from Ukraine.
Following the recent decision to cancel the grain deal between Russia and Ukraine, U.S. has officially announced its decision not to use warships to escort commercial ships leaving Ukrainian ports. "We have only one way left - land. This involves the