Kwa udogo wa eneo la Israel na Palestina kwanini tusiwapeleke JWTZ kutuliza ghasia?

Kwa udogo wa eneo la Israel na Palestina kwanini tusiwapeleke JWTZ kutuliza ghasia?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Israel na Palestina kwa sasa wapo vitani ila ni watu wachache sana kwenye eneo dogo sana, eneo lao linaingia mara 40 kwa Tanzania, eneo lao hata kwenye ramani ya dunia kama una matatizo ya macho inabidi uvae miwani.

Nmefikiria nmeona hata vijana wetu walio fiti wa jeshi letu wakienda huko sio ti watatuliza ghasia balo watapandisha hadho ya jeshi letu

Jeshi letu lipo fiti, tuliwazima Uganda, congo walituliza ghasia, visiwa flani (sio zanzibar) huko nako walituliza, Tuliwasaidia Mozambique kina Samora, n.k vitu kibao

zimbamagari_used-20210513-0001.jpg
 
Israel n aPalestina kwa sasa wapo vitani ila ni watu wachache sana kwenye eneo dogo sana, eneo lao hata kwenye ramani ya dunia kama una matatizo ya macho inabidi uvae miwani.

Nmefikiria nmeona hata vijana wetu walio fiti wa jeshi letu wakienda huko sio ti watatuliza ghasia balo watapandisha hadho ya jesho letu
Mmh wanajeshi hawa wa kibongo waende israel mkuu? Subutu ule mziki mwengine mkuu wangu waache wapambane wenyewe
 
Mkuu umewaza nje ya BOX.
[emoji23][emoji23][emoji23]

HAKIKA wazo lako si baya, ukizingatia tuna Askari makini nasi hapa nchini Alhamdulillah hatuna vitisho vikubwa vya Amani vya kuwashughulisha sana Askari wetu.

Lakini Mkuu kwa Uwezo wa kimafunzo, Teknolojia na Vifaa vya Jeshi letu haitakuwa rahisi kwenda kupambana na Jeshi la Wazayuni au Hamas kwani wao wameendelea sana Kiteknolojia (hasa Wazayuni).

Siku hizi katika Medani za kivita si idadi ya Askari tu ndo inayoamua Ushindi katika uwanja wa kivita bali na vitu vingine kama Teknolojia kuanzia Teknolojia ya Vifaa mpaka ya ukusanyaji Taarifa, yaani kujua adui yuko wapi? Ana silaha kiasi gani? Zenye uwezo gani? Analenga shabaha ya kutushambulia wapi? Na sisi tunapiga wapi?

Mathalan, Mossad (shirika la ujasusi la Israel) linasifika kuwa moja ya mashirika hatari kabisa Ulimwenguni hivyo sioni Urahisi wa Askari wetu na TISS wetu kufanikiwa katika kutuliza amani huko Palestina. Hata ikitokea tukaenda itatuwia vigumu sana kutimiza lengo.

Nadhani wazo lako tuligeuze maeneo ambayo kuna wepesi kwa Askari wetu kufanya kazi yaani kwa watu tuliowazidi mafunzo, Teknolojia, Vifaa na Uzoefu.

Btw Mkuu umewaza pakubwa sana, tunahitaji sana watu kama wewe.

255652546765_status_a12d7594a73f46ca87eed4fec8559385.jpg
images%20(2).jpg
 
Hawawzi, ukitaka kujua hawawezi fikiria Entebbe Raid wanajeshi wetu wangeweza? vita vya wale ni vya kidigitali na wanajeshi wetu hawajasoma
 
Israel na Palestina kwa sasa wapo vitani ila ni watu wachache sana kwenye eneo dogo sana, eneo lao linaingia mara 40 kwa Tanzania, eneo lao hata kwenye ramani ya dunia kama una matatizo ya macho inabidi uvae miwani.

Nmefikiria nmeona hata vijana wetu walio fiti wa jeshi letu wakienda huko sio ti watatuliza ghasia balo watapandisha hadho ya jeshi letu

Jeshi letu lipo fiti, tuliwazima Uganda, congo walituliza ghasia, visiwa flani (sio zanzibar) huko nako walituliza, Tuliwasaidia Mozambique kina Samora, n.k vitu kibao

View attachment 1783804

Una uwezo mdogo sana wa kuijua dunia, mdogo sana, it seems hata hujui kabisa nchi za dunia hii, military powers, economic powers, technological & political pwrs.. Hujui kabisa.
 
Kama umeangalia bbc swahili leo ushapata jibu...israel wanatumia technology katika vita ambayo ni ya hali ya juu sana...wamejizatiti vilivyo....wewe na jeshi lako hamta wezana.
 
Back
Top Bottom