Ntovye
Senior Member
- Apr 18, 2021
- 124
- 199
Unafanya mzaha na jeshi la Islaeli? Wale wako mbali mkuu. Soma Vita yao Ile ya siku sita: The Arab-Islael war 1967, utajua wale jamaa ni balaa usilinganishe na majeshi ya kiafrika.Mziki wetu uliowatimua Uganda unaujua??