Unafanya mzaha na jeshi la Islaeli? Wale wako mbali mkuu. Soma Vita yao Ile ya siku sita: The Arab-Islael war 1967, utajua wale jamaa ni balaa usilinganishe na majeshi ya kiafrika.Mziki wetu uliowatimua Uganda unaujua??
Washindwe kulinda madin yanayoibiwa ukuta wa mererani, waende israel kulinda amani? Tutarudisha miili ndugu zetu kwenye majeneza.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Unadhani kule wanapasua matofali kwa
kichwa
Hivi kweli mmeshindwa kuelewa logic ya hii thread?,hio ni kama kejeli kwa jeshi letuUna uwezo mdogo sana wa kuijua dunia, mdogo sana, it seems hata hujui kabisa nchi za dunia hii, military powers, economic powers, technological & political pwrs.. Hujui kabisa.