Uchaguzi 2020 Kwa uelewa wake, Lissu anaamini kabisa kuwa atakuwa Rais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Kwa uelewa wake, Lissu anaamini kabisa kuwa atakuwa Rais wa Tanzania

Lazima CCM mtage mwaka huu!! Huyo ndo mteule wa Mungu Tundu Antiphas Lissu! Mtajua hamjui mwaka huu!
Lissu ni Mteule wa mabeberu siyo mungu. Uteule wa mungu tumeshauona miaka 5 iliyopita na sasa tunaelekea miaka 5 mingine ya baraka na ukuu wa mungu kupitia JPM.
 
Nilisikia sauti kutoka kwenye umati wa watu Sumbawanga na Kigoma wakati Lissu alipouliza kama nani watamchagua kuwa Rais, ikidai Magufuli sasa sielewi walikuwa wanamaanisha nini?
Magufuli ndo rais ,lissu aache kujifariji kwa kitu kisicho wezekana
 
Siku CCM ikiondoka madarakani Tanzania itakuwa nchi salama ya kuishi. Wamekuwa mamafia kwa muda mrefu sana hawa watu
Sio Leo wala kesho ,yaweza kuwa ni miaka 2000 ijayo
 
Wakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.

Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.

Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.

Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.

Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.

Lissu amekuwa akipinga maendeleo ya vitu lakini majuzi nadhani akiwa huko Tunduma alisema atawajengea barabara na wafuasi wake mataahira wakamshangilia, nikajiuliza, imekuwaje tena anaangalia maendeleo ya vitu badala ya maendeleo ya watu? Maana amekuwa akipinga hata ujenzi wa barabara na kumkejeli Rais kipenzi cha Watanzania kwamba atapigiwa kura na mabarabara. Kwa kweli Lissu sijawahi kumuelewa maana anatamka kile kitakachowafurahisha mashonga wenzie huko ng'ambo na si kwa ajili ya watanzania
 
Wewe ni mnufaika wa utawala wa udhalimu utawala wa uonevu uovu kuwabambikia kesi wapinzani huwezi kuwa na imani kuwa wapinzani wataingia ikulu lazima uwaze kuwa CCM ipo milele
Unaifanya nchi nzima kuwa ni CCM na wapinzani. Yaani wewe unaamini kama siyo CCM basi ni upinzani na ukweli unaamini upinzani ni CHADEMA, just say it! Kuna watu hatuhitaji CCM, CHADEMA, CUF, TLP, etc. Siyo lazima kuwa mpinzani.

Kama hali hairuhusu achana na upinzani. Hukuzaliwa uhangaike na siasa. Mbona tunalima maharage yakigoma tunaanza ufugaji? Kama wanafungwa waache wafungwe tu wamependa wenyewe kama mimi nifugae nguruwe kwa kupenda.
 
Fisadi Magufuli hawezi kuwa Rais wa Tanzania
Eicsi9KXsAEF7fI.jpg
 
Lissu awezi kuwa Rais,anachofanya ni kukamilisha tu ratiba ili na yeye aonekane ameshiriki kugombea Urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
 
Kumwelewa Tundu Lisu ubongo wako lazima uwe na GB na sio kama huo wako MB 0.5
Eti ubogo GB, sasa huyo lissu wenu nakutana na Magufuli mwenye ubongo TB,atabata tabu sana

Huyu tutamwadhibu Oct 28 ili arudi akasemelee kwa mabwana zake
 
Sasa unawania vipi kiti bila kuwa na imani ya kukipata?
Lissu ana andaa wasifu,pindi akifa lazima waseme kuwa amewahi kugombea urais kwa jamuhuri ya Tanzania na kupata asilimia 15.
 
Wakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.

Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.

Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.

Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.

Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.

We kwa ulewa wako udhani hawezi kuwa Rais , hizo ni propaganda dhaifu mno, kajifunze upya.
 
Wakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.

Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.

Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.

Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.

Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.

Hapa hatutafuti ufahamu we kibwengu ni kura za wananchi acha upoyoyo
 
We kwa ulewa wako udhani hawezi kuwa Rais , hizo ni propaganda dhaifu mno, kajifunze upya.
Hawezi kuwa rais kamwe,amini maneno yangu,labda kama anatengeneza wasifu hapo sawa
 
Ona hapa na sikiliza wewe ujambazi wa unayetaka kumrudisha ikulu!
Dola milioni 391 ni shilingi ngapi vile!? inabidi mafaili yaliyo vote 20 yafutwe/yachomwe kwa sababu Hapa kazi kumbe ni Hapa wizi tu


Mtu anaweka youtube maelezo kwa kichaga, na kumsifu Lissu wa CHADEMA ya wachaga halafu unaleta tukubaliane naye? Mutahangika sana kutaka kutawala nchi kwa kuungwa mkono kikabila, lakini mutafeli. Population yenu haiwawezeshi kutawala nchi!
 
Mtu anaweka youtube maelezo kwa kichaga, na kumsifu Lissu wa CHADEMA ya wachaga halafu unaleta tukubaliane naye? Mutahangika sana kutaka kutawala nchi kwa kuungwa mkono kikabila, lakini mutafeli. Population yenu haiwawezeshi kutawala nchi!
Mbona huzumzii kisukuma, acha hizo.
 
Back
Top Bottom