Uchaguzi 2020 Kwa uelewa wake, Lissu anaamini kabisa kuwa atakuwa Rais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Kwa uelewa wake, Lissu anaamini kabisa kuwa atakuwa Rais wa Tanzania

Hakuna mabaya yasiyo na mwisho walikuwepo akina Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, chiluba, mabutu, Abacha, Elbashiri, Iddy Amin Dada wapo wapi sasa?
 
Hakuna mabaya yasiyo na mwisho walikuwepo akina Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, chiluba, mabutu, Abacha, Elbashiri, Iddy Amin Dada wapo wapi sasa?
Mbona unaowaongelea wengine utadhani wewe una tiketi ya kuishi milele,tulia huu ni utawala wa CCM na CHADEMA tutaaza kuwafikiria kuiongoza hii nchi baada ya vizazi vitano kuanzia mtoto atakayezaliwa mwaka 2100
 
Mimi huenda nabishana na mtu mwenye matatizo ya akili si kwa pumba kama hizi mkuu
Wewe mwenyewe pumba Akili huna inashangaza hujajijua kuwa huna Akili timamu pengine Bangi zimekuzidi kichwani
 
hata lowassa walikuwaga wanasema hivyo pia
Mwaka 2015 watanzania hawakuwa na mateso wanayopata sasa mwaka 2020 watumishi wa umma wana miaka mitano pasipo nyongeza ya mshahara, kuna uonevu unyanyasaji mwingi kubambikiwa kesi, na ubaya kibao
 
Mwaka 2015 watanzania hawakuwa na mateso wanayopata sasa mwaka 2020 watumishi wa umma wana miaka mitano pasipo nyongeza ya mshahara, kuna uonevu unyanyasaji mwingi kubambikiwa kesi, na ubaya kibao
siyo kweli yaani watanzania sijui mnataka mfanyiwe nini mbona maishaa yamekuwa rahisisana kipindi hiki kulikoawali tatizo mnataka hela bila kufanya kazi
 
Wakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.

Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.

Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.

Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.

Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.

yaani wewe ni mweupe sana
 
siyo kweli yaani watanzania sijui mnataka mfanyiwe nini mbona maishaa yamekuwa rahisisana kipindi hiki kulikoawali tatizo mnataka hela bila kufanya kazi
Watumishi wanafanya kazi Mbona hizo hela za nyongeza hawazioni?
 
Watumishi wanafanya kazi Mbona hizo hela za nyongeza hawazioni?
hakuna kitu kikubwa kama kudhibiti mifumuko ya hovyo ya bidhaa hiyo inayoongezeka kwenye mshaharainakuwa inaishia kwenye ongezeko la bidhaa na haitosh bora kubaki na mshahara wa zamani kuliko nyongeza na mifumuko ya bei
 
Wee mama nadhani ume vocalize ndo maana huelewi ni kipi uchangie
Panic haishushi pressure utazidiwa ufe kwaniaba shauri yako. Ulimi nje na mnajua huyo TL kama hatoshinda sasa mnapanic nini ? Si mnyamaze kimya Kama sio upumbavu na ujinga nini kipya hapo
 
katika wagombea wapuuzi huyu ni no 1,aliyempiga risasi hizo hajulikani labda hata ni wenzie huko huko kwake kwa kujifanya mjuaji namn hii leo.

Wanyturu wanasifika kwaa kuuza matogwa na uchafu mwingi sana kwa chakula huu ni uchafu. huyu tunaambiw ni mwanasheria ngunguli hajui hata sheria ya kumkosea heshima JPM hadharani ambaye bado ana miaka mi5 hewani iliyosajiliwa anamalizia kwa kuteleza tu,
huyu mgombea karata yake sijui Ubelgiji alikoenda matibabu miezi 12 tu anajifanya anajua kila kitu Ulaya nzima huku kuna wanasiasa wana miaka 30+ hawana story na Africa wala siasa zake washakata tamaa.

Mwacheni tu akimaliza hii porojo ataomba ten ukimbizi kwmba ni sias zinamuandama then apewe visa na familia yake. sidhani kama kuna kingine anataraji zaidi ya hicho,
Mkuu hawa dawa yao ni kuwakutanisha kwenye mdahalo tu. Lazima Lissu atage mbele ya akili kubwa magufuli. Cdm tunataka mdahalo mleteni huyo Lissu kwenye mdahalo maguful amnyooshe
 
Lazima CCM mtage mwaka huu!! Huyo ndo mteule wa Mungu Tundu Antiphas Lissu! Mtajua hamjui mwaka huu!
Yaani wewe unaeongea huu utopolo na siku amani ya nchi hii ikipotea na lissu wako huyo ndo utaanza kutaga kabla ya wote,,
 
From Magufuli side I see a tyranny of numbers.

I don’t know who the Chadema propagandists are in social media platforms — but they are good. Damn good. They say money can buy anything, except love. I guess they are right.

But I have a feeling the good people of Tanzania will be celebrating in October. Magufuli is kilometers ahead in on the nation’s coveted prize.
Kuongea na kuandika english siyo kwamba umeongea point,kama hii ni pumba
 
Kwa hiyo kwa akili yako dhaifu Nyerere aliyewaita wazungu Mabeberu, kuwa ana akili ndogo?
Hiyo misaada magu anatoa wapi,wenzako wana ubongo kichwani ila wako umewekwa matakoni
 
CCM wakienda ulaya kuomba omba misaada kuwapigia magoti wazungu huwaita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wao hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike
 
Tunasubiri tarehe 28/10/2020 kwa hamu sana ili tumchinjie baharini msaliti Lissu ili arudi kwao Ubelgiji.
Naisubiri kwa hamu ili niwe sehemu ya kumuadhibu huyu pimbi .

Mungu atujalie uzima.
 
Za jiwe ni nini mkuu?

Kwa nyuma naona viti tupu visivyo na watuView attachment 1574610
Naona eti ana walinzi, wamevaa miwani myeusi, hawacheki kuonesha wanalinda mtu maarufu! Wanaamini atakuwa rais. Akishangiliwa anadhani ni nyongeza ya kura.
Aliporudi tu, alisimama Nairobi kusimulia COVID-19 inavyouwa watu TZ. Sasa hivi sijamuona hata siku moja akiwa na barakoa! Just a psychopathy!
 
Back
Top Bottom