Uchaguzi 2020 Kwa uelewa wake, Lissu anaamini kabisa kuwa atakuwa Rais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Kwa uelewa wake, Lissu anaamini kabisa kuwa atakuwa Rais wa Tanzania

Siwezi kumpachika jina nisilojua maana yake
Huoni hapo anajikuna?
FB_IMG_1600451590441.jpg
 
Anautaka urais kwa kutanguliza huruma za kupigwa risasi ,na bado katumwa na mabwana zake na fadhira kwao ni raslimali za nchi yetu
Acha ubwege wewe Tambua kuwa hasaki huruma kwani bila wewe kumpiga risasi asingekuwa huko Belgium, wewe ndiyo umetumwa na mabwana zako kutengeneza propaganda za kishamba shamba eti rasilimali za Nchi yetu? Nchi ipi yako? Nchi ya wote inaamini CCM ni mfirisi wa Taifa bila CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko South Africa China, German, America, India, Korea,Japan UK Oman na nyinginezo tajiri na Tanzania ingekuwa kwenye G5 na kuwa na kura ya veto, lakini chini ya CCM Nchi imefirisika, pesa nyingi inapotelea kwenye mambo yasiyo na tija kwa Taifa ikiwemo kuwabambikia kesi kudidimiza demokrasia na uonevu mwingi.
 
JPM hawezi kufanya midahalo na mtu mwenye faili milembe,utakuwa ni kumdhalilisha rais mteule
Wewe mwenyewe ni mgonjwa milembe unawezaje kujua mgonjwa asiyepo hapo Hosptal ulipolazwa?acha kutetea uteuzi wako kubali ukatae huyo mtukufu hawezi mdahalo hata na mzee Rungwe tu
 
CHADEMA maisha yenu magumu,kama mtu unafikikisha 25+ bado unawaza chai ujue kunasehemu unakwama,mimi kwa umri wangu sio mtu wa kuwaza chai tena,nawaza nifungue miradi gani itakayonipatia pesa zaidi
Ugumu wa maisha umeletwa na CCM baada ya kuiba rasilimali zite Nchini
 
Hivi inakuwaje mwenyekiti wa chama cha majimbo haonekani katika kampeni? Tumeanza kusoma tu kuwa kachukua milioni 50 za michango ya kampeni. Kuna nini kinaendelea huko?
 
Wewe mwenyewe ni mgonjwa milembe unawezaje kujua mgonjwa asiyepo hapo Hosptal ulipolazwa?acha kutetea uteuzi wako kubali ukatae huyo mtukufu hawezi mdahalo hata na mzee Rungwe tu
Liambieni dubwasha lenu likafanye midahalo na watu wa milembe kule lilikokimbia faili,kwanini lilazimishe kufanya midahalo na jpm tu,kwani mgombea urais ni magufuli tu,si kuna rungwe,lipumba nk.

Ona hapa anajikuna matako
FB_IMG_1600451590441.jpg
 
We kweli kituko ,unanikataza kuwasemea watanzania huku mwenyewe ukiwasemea kwa kusema kuwa watanzania wengi wanajua CCM..... ,wewe ni nani hadi uwasemee watanzania kuwa CCM inatengeza propaganda, acha kuwasemea

Lissu atavyolew upaa kwa kutumia vipande vya chupa
Haya kila mmoja aseme mapungufu ya mwenzake, naanza na mapungufu ya CCM, la kwanza ni kudidimiza demokrasia kudidimiza maendeleo kutumia pesa za viwanda zote kwenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, kutafuna trilion 1.5 kienyeji kisha kumtoa kafara CAG ununuzi wa Ndege kujaa ufisadi miradi yote mikubwa kujaa 10%.za wajanja wachache huko CCM
 
Liambieni dubwasha lenu likafanye midahalo na watu wa milembe kule lilikokimbia faili,kwanini lilazimishe kufanya midahalo na jpm tu,kwani mgombea urais ni magufuli tu,si kuna rungwe,lipumba nk.

Ona hapa anajikuna matako View attachment 1576014
Huko milembe umelazwa na Ndungai? Maana aliwahi kusema ana file lake huko? Kaa huko utibiwe upone acha kulazimisha uwambukize ukichaa wako watu wengine
 
Acha ubwege wewe Tambua kuwa hasaki huruma kwani bila wewe kumpiga risasi asingekuwa huko Belgium, wewe ndiyo umetumwa na mabwana zako kutengeneza propaganda za kishamba shamba eti rasilimali za Nchi yetu? Nchi ipi yako? Nchi ya wote inaamini CCM ni mfirisi wa Taifa bila CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko South Africa China, German, America, India, Korea,Japan UK Oman na nyinginezo tajiri na Tanzania ingekuwa kwenye G5 na kuwa na kura ya veto, lakini chini ya CCM Nchi imefirisika, pesa nyingi inapotelea kwenye mambo yasiyo na tija kwa Taifa ikiwemo kuwabambikia kesi kudidimiza demokrasia na uonevu mwingi.
Mimi huenda nabishana na mtu mwenye matatizo ya akili si kwa pumba kama hizi mkuu
 
Kuna haja gani ya CHADEMA kutumia mamilioni kwenye kampeni za uchaguzi huku wakijua kuwa ccm inabebwa na tume pamoja na vyombo dola?
Kampeni ni lazima na sasa mungu yupo na tarehe 28 October Malaika atazuia ushetani wa Tumeccm ndipo ya Malawi Congo kenya ghana Gambia yataenda kutokea Tanzania
 
Mimi huenda nabishana na mtu mwenye matatizo ya akili si kwa pumba kama hizi mkuu
Wewe mwenyewe pumba huna Akili hata ya kupigia mswaki unawezaje kubishana?acha kuvuta Bangi kisha kujidanganya una Akili nani kakuambia una Akili? au wavuta Bangi unaokesha nao gheto?
 
Wakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.

Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.

Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.

Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.

Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.

Kwa uelewa wako mgombea wa CCM anaweza kushinda uchaguzi huu bila mbeleko hii?
FB_IMG_1582080397242.jpg
 
Mimi huenda nabishana na mtu mwenye matatizo ya akili si kwa pumba kama hizi mkuu
Kwa upeo wako kiduchu unadhani kutetea udhalimu wa utawala wa awamu ya tano ni Akili? Wapo wapi akina kange lugola? Yupo wapi aliyekuwa RPC wa Arusha?
 
Back
Top Bottom