digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
- Thread starter
- #161
Lissu rais wetu wa mitandaoni ya jamii,,usiseme lissu sema loketoLissu tayari ni rais kwa mujibu wa kura zilizopigwa mtandaoni ila kwa kura za vituoni bado sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu rais wetu wa mitandaoni ya jamii,,usiseme lissu sema loketoLissu tayari ni rais kwa mujibu wa kura zilizopigwa mtandaoni ila kwa kura za vituoni bado sana
Siwezi kumpachika jina nisilojua maana yakeLissu rais wetu wa mitandaoni ya jamii,,usiseme lissu sema loketo
Huoni hapo anajikuna?Siwezi kumpachika jina nisilojua maana yake
Ok!Halafu?
Duh.Huoni hapo anajikuna?View attachment 1575855
Acha ubwege wewe Tambua kuwa hasaki huruma kwani bila wewe kumpiga risasi asingekuwa huko Belgium, wewe ndiyo umetumwa na mabwana zako kutengeneza propaganda za kishamba shamba eti rasilimali za Nchi yetu? Nchi ipi yako? Nchi ya wote inaamini CCM ni mfirisi wa Taifa bila CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko South Africa China, German, America, India, Korea,Japan UK Oman na nyinginezo tajiri na Tanzania ingekuwa kwenye G5 na kuwa na kura ya veto, lakini chini ya CCM Nchi imefirisika, pesa nyingi inapotelea kwenye mambo yasiyo na tija kwa Taifa ikiwemo kuwabambikia kesi kudidimiza demokrasia na uonevu mwingi.Anautaka urais kwa kutanguliza huruma za kupigwa risasi ,na bado katumwa na mabwana zake na fadhira kwao ni raslimali za nchi yetu
Wewe ndiyo unaokoteza vitaarifa vya hovyo mitaaniMtaokotekeza vijitaarifa vya uongo lakini hamumkuti JPM
Wewe mwenyewe ni mgonjwa milembe unawezaje kujua mgonjwa asiyepo hapo Hosptal ulipolazwa?acha kutetea uteuzi wako kubali ukatae huyo mtukufu hawezi mdahalo hata na mzee Rungwe tuJPM hawezi kufanya midahalo na mtu mwenye faili milembe,utakuwa ni kumdhalilisha rais mteule
Walimuuzi January makamba mtaalam wa uchakachuaji, pengine watampigia magoti aandae uchakachuaji mpya akishirikoana na TumeccmSafari hii hawa sijui wataibia wapi kuraView attachment 1576003
Ugumu wa maisha umeletwa na CCM baada ya kuiba rasilimali zite NchiniCHADEMA maisha yenu magumu,kama mtu unafikikisha 25+ bado unawaza chai ujue kunasehemu unakwama,mimi kwa umri wangu sio mtu wa kuwaza chai tena,nawaza nifungue miradi gani itakayonipatia pesa zaidi
Liambieni dubwasha lenu likafanye midahalo na watu wa milembe kule lilikokimbia faili,kwanini lilazimishe kufanya midahalo na jpm tu,kwani mgombea urais ni magufuli tu,si kuna rungwe,lipumba nk.Wewe mwenyewe ni mgonjwa milembe unawezaje kujua mgonjwa asiyepo hapo Hosptal ulipolazwa?acha kutetea uteuzi wako kubali ukatae huyo mtukufu hawezi mdahalo hata na mzee Rungwe tu
Haya kila mmoja aseme mapungufu ya mwenzake, naanza na mapungufu ya CCM, la kwanza ni kudidimiza demokrasia kudidimiza maendeleo kutumia pesa za viwanda zote kwenda kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge, kutafuna trilion 1.5 kienyeji kisha kumtoa kafara CAG ununuzi wa Ndege kujaa ufisadi miradi yote mikubwa kujaa 10%.za wajanja wachache huko CCMWe kweli kituko ,unanikataza kuwasemea watanzania huku mwenyewe ukiwasemea kwa kusema kuwa watanzania wengi wanajua CCM..... ,wewe ni nani hadi uwasemee watanzania kuwa CCM inatengeza propaganda, acha kuwasemea
Lissu atavyolew upaa kwa kutumia vipande vya chupa
Huko milembe umelazwa na Ndungai? Maana aliwahi kusema ana file lake huko? Kaa huko utibiwe upone acha kulazimisha uwambukize ukichaa wako watu wengineLiambieni dubwasha lenu likafanye midahalo na watu wa milembe kule lilikokimbia faili,kwanini lilazimishe kufanya midahalo na jpm tu,kwani mgombea urais ni magufuli tu,si kuna rungwe,lipumba nk.
Ona hapa anajikuna matako View attachment 1576014
Mimi huenda nabishana na mtu mwenye matatizo ya akili si kwa pumba kama hizi mkuuAcha ubwege wewe Tambua kuwa hasaki huruma kwani bila wewe kumpiga risasi asingekuwa huko Belgium, wewe ndiyo umetumwa na mabwana zako kutengeneza propaganda za kishamba shamba eti rasilimali za Nchi yetu? Nchi ipi yako? Nchi ya wote inaamini CCM ni mfirisi wa Taifa bila CCM mda huu Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko South Africa China, German, America, India, Korea,Japan UK Oman na nyinginezo tajiri na Tanzania ingekuwa kwenye G5 na kuwa na kura ya veto, lakini chini ya CCM Nchi imefirisika, pesa nyingi inapotelea kwenye mambo yasiyo na tija kwa Taifa ikiwemo kuwabambikia kesi kudidimiza demokrasia na uonevu mwingi.
Kampeni ni lazima na sasa mungu yupo na tarehe 28 October Malaika atazuia ushetani wa Tumeccm ndipo ya Malawi Congo kenya ghana Gambia yataenda kutokea TanzaniaKuna haja gani ya CHADEMA kutumia mamilioni kwenye kampeni za uchaguzi huku wakijua kuwa ccm inabebwa na tume pamoja na vyombo dola?
Wewe mwenyewe pumba huna Akili hata ya kupigia mswaki unawezaje kubishana?acha kuvuta Bangi kisha kujidanganya una Akili nani kakuambia una Akili? au wavuta Bangi unaokesha nao gheto?Mimi huenda nabishana na mtu mwenye matatizo ya akili si kwa pumba kama hizi mkuu
Kwa uelewa wako mgombea wa CCM anaweza kushinda uchaguzi huu bila mbeleko hii?Wakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.
Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.
Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.
Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.
Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.
Kwa upeo wako kiduchu unadhani kutetea udhalimu wa utawala wa awamu ya tano ni Akili? Wapo wapi akina kange lugola? Yupo wapi aliyekuwa RPC wa Arusha?Mimi huenda nabishana na mtu mwenye matatizo ya akili si kwa pumba kama hizi mkuu