Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania wa wapi hao unaowazungumzia?Kuwa na heshima na Rais wa Watanzania huyo. Watanzania wote tunamchagua Tundu Lissu. Ndiye atakuwa Rais wa wanyonge. Wale wanyanyasaji tupilia mbali.
JiongezeHapa wapi?
Lazima niwe na uchungu na taifa langu linalouzwa kwa mabeberu kuwa faida ya mtu mmoja,Umeandika kwa uchungu hadi umeliloanisha karatasi kwa michozi
cha msingi kuwa na uvumilivu we unaona kafanya Lissu anaona kaharibu
Jipunguze.Jiongeze
Mtu akikupuuza uwe unaelewa mapema,kichwa panzi!Jipunguze.
Lofa mkubwa wewe.Mtu akikupuuza uwe unaelewa mapema,kichwa panzi!
Kapuni!!!!!!!Lofa mkubwa wewe.
Halafu?Kapuni!!!!!!!
Kapuni!Halafu?
Kwa hiyo?Kapuni!
hiyo!Kwa hiyo?
Halafu?hiyo!
Sasa ndugu yangu, Kwani mdahalo utamuongezea au kumpunguzia nini? Yeye ni Rais kwa miaka mitano sasa, afanye mdahalo ili apate nini? Huyo mgombea WENU mwambieni afanye mdahalo na Membe na Hashim Rungwe hao ndio size yake.Leta hapa za jiwe! halafu utulinganishie! Hivi unafikiri ni kwa nini jiwe anakimbia mdahalo? Ni vizuri tuwakutanishe tuwachambue uelewa wa sera zao! kama hututapata chekechea anayeogopa hata kusafiri kwa sababu ya kichwa box huku akisingizia anabana matumizi!
Mungu yupiLazima CCM mtage mwaka huu!! Huyo ndo mteule wa Mungu Tundu Antiphas Lissu! Mtajua hamjui mwaka huu!
Aliyemponya kwenye risasi zenu 16. Mungu wa Mussa, Ibrahimu na Yakobo!Mungu yupi
Yeye anajua vizuri risasi zilikuwa za naniAliyemponya kwenye risasi zenu 16. Mungu wa Mussa, Ibrahimu na Yakobo!