Uchaguzi 2020 Kwa uelewa wake, Lissu anaamini kabisa kuwa atakuwa Rais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Kwa uelewa wake, Lissu anaamini kabisa kuwa atakuwa Rais wa Tanzania

Kuwa na heshima na Rais wa Watanzania huyo. Watanzania wote tunamchagua Tundu Lissu. Ndiye atakuwa Rais wa wanyonge. Wale wanyanyasaji tupilia mbali.
Watanzania wa wapi hao unaowazungumzia?
 
Umeandika kwa uchungu hadi umeliloanisha karatasi kwa michozi
cha msingi kuwa na uvumilivu we unaona kafanya Lissu anaona kaharibu
 
Umeandika kwa uchungu hadi umeliloanisha karatasi kwa michozi
cha msingi kuwa na uvumilivu we unaona kafanya Lissu anaona kaharibu
Lazima niwe na uchungu na taifa langu linalouzwa kwa mabeberu kuwa faida ya mtu mmoja,

Say no to T.lissu
 
Leta hapa za jiwe! halafu utulinganishie! Hivi unafikiri ni kwa nini jiwe anakimbia mdahalo? Ni vizuri tuwakutanishe tuwachambue uelewa wa sera zao! kama hututapata chekechea anayeogopa hata kusafiri kwa sababu ya kichwa box huku akisingizia anabana matumizi!
Sasa ndugu yangu, Kwani mdahalo utamuongezea au kumpunguzia nini? Yeye ni Rais kwa miaka mitano sasa, afanye mdahalo ili apate nini? Huyo mgombea WENU mwambieni afanye mdahalo na Membe na Hashim Rungwe hao ndio size yake.
 
Back
Top Bottom