Uchaguzi 2020 Kwa uelewa wake, Lissu anaamini kabisa kuwa atakuwa Rais wa Tanzania

Mtu anaweka youtube maelezo kwa kichaga, na kumsifu Lissu wa CHADEMA ya wachaga halafu unaleta tukubaliane naye? Mutahangika sana kutaka kutawala nchi kwa kuungwa mkono kikabila, lakini mutafeli. Population yenu haiwawezeshi kutawala nchi!
Hata mngekuwa mamilioni mangapi majambazi lazima yaachie ofisi ya uma
 
Lissu ana andaa wasifu,pindi akifa lazima waseme kuwa amewahi kugombea urais kwa jamuhuri ya Tanzania na kupata asilimia 15.
Nina wasiwasi na wewe kama ulifanya vizuri kwenye somo la uraia/ civics/general studies/development studies.
 
Nina wasiwasi na wewe kama ulifanya vizuri kwenye somo la uraia/ civics/general studies/development studies.
Nimesoma vizuri sana tu mkuu ndo maana hadi Leo ninao uwezo wa kubaini kuwa lissu hana elimu ya uraia na uzalendo kwa nchi yake ni zero kabisa huyu dubwana
 
Hata mngekuwa mamilioni mangapi majambazi lazima yaachie ofisi ya uma
Tatizo ni mpangilio wa vyama vya upinzani. Viko kama ad abracadabra ya watu wa mazingaombwe. Mi ningefurahi sana CCM wakiachia ofisi na kukabidhi Chama kama ilivyokuwa CUF ya Lipumba na Maalim. Lakini CHADEMA ya vijana wa form 6, nooo!
 
Huwezi kuambulia kitu kutoka hotuba za Lisu, mpaka uwe na akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiandaeni tu kuwa wapinzani. Na hata mkijipendekeza kwa Raisi Tundu Antiphas Lissu kumbukeni kuwa kwa Lissu hakutakuwa na ajira za rushwa na kujipendekeza na udc na urc
Una hoja nyingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…