Hata mngekuwa mamilioni mangapi majambazi lazima yaachie ofisi ya umaMtu anaweka youtube maelezo kwa kichaga, na kumsifu Lissu wa CHADEMA ya wachaga halafu unaleta tukubaliane naye? Mutahangika sana kutaka kutawala nchi kwa kuungwa mkono kikabila, lakini mutafeli. Population yenu haiwawezeshi kutawala nchi!
Mazombie ya jiwe utayajua tu yakikosolewa kwa upuuzi wao yanaona matusi na sio contentHapa ndo mnakwama wafuasi wa dubwana like,ninyi kila sehemu ni matusi tu ,au ugumu wa maisha?
Nina wasiwasi na wewe kama ulifanya vizuri kwenye somo la uraia/ civics/general studies/development studies.Lissu ana andaa wasifu,pindi akifa lazima waseme kuwa amewahi kugombea urais kwa jamuhuri ya Tanzania na kupata asilimia 15.
He he he umepiga ikuluAkili ndogo hukimbilia kutaja taja mabeberu!
Nimesoma vizuri sana tu mkuu ndo maana hadi Leo ninao uwezo wa kubaini kuwa lissu hana elimu ya uraia na uzalendo kwa nchi yake ni zero kabisa huyu dubwanaNina wasiwasi na wewe kama ulifanya vizuri kwenye somo la uraia/ civics/general studies/development studies.
Tatizo ni mpangilio wa vyama vya upinzani. Viko kama ad abracadabra ya watu wa mazingaombwe. Mi ningefurahi sana CCM wakiachia ofisi na kukabidhi Chama kama ilivyokuwa CUF ya Lipumba na Maalim. Lakini CHADEMA ya vijana wa form 6, nooo!Hata mngekuwa mamilioni mangapi majambazi lazima yaachie ofisi ya uma
Huwezi kuambulia kitu kutoka hotuba za Lisu, mpaka uwe na akili.Wakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.
Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.
Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.
Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.
Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.
Kwa hiyo anazunguka mikoani kutafuta wenye akili awahutubie? Mbona ni upuuzi unaopatikana CDM tu!
Basi kazi ipo maana Lissu anaamini kuwa Tanzania hii ni yeye peke yake mwenye akili,kwa hali hiyo tutegemee kupata kura mbili au tatu kwa Tanzania mzima
Vipi jamaa yenu yuko wapiLazima CCM mtage mwaka huu!! Huyo ndo mteule wa Mungu Tundu Antiphas Lissu! Mtajua hamjui mwaka huu!
Umemsikia lakini rais wako? Kaua chama na sasa anajiandaa kwenda ubeligijiRaisi wako 2020 - 2025 ni Tundu Antiphas Lissu. Upende usipende
Mteule wa AmsterdamLazima CCM mtage mwaka huu!! Huyo ndo mteule wa Mungu Tundu Antiphas Lissu! Mtajua hamjui mwaka huu!
Kwahy sasa mteule wa Mungu amekanwa na Mungu mwenyewLazima CCM mtage mwaka huu!! Huyo ndo mteule wa Mungu Tundu Antiphas Lissu! Mtajua hamjui mwaka huu!
Kwa wote walilike hii, je, bado hii ni propaganda dhaifu?Propaganda dhaifu!
Tunaombeni taarifa sahihi za mteule wenu wa Mungu aliko muda huuLazima CCM mtage mwaka huu!! Huyo ndo mteule wa Mungu Tundu Antiphas Lissu! Mtajua hamjui mwaka huu!
Una hoja nyingine?Jiandaeni tu kuwa wapinzani. Na hata mkijipendekeza kwa Raisi Tundu Antiphas Lissu kumbukeni kuwa kwa Lissu hakutakuwa na ajira za rushwa na kujipendekeza na udc na urc
Umemsikia rais wa mioyo yenu? Anapanga kukimbilia ubeligiji baada ya kukipeleka chama kuzimuTarehe 28 mwezi ujao asubuhi, Magufuli tutamrudisha chato akapumzike. Rais ajaye ni Lissu.